Tunaosubiri namba E tukutane hapa

Tunaosubiri namba E tukutane hapa

Kwa soko la bongo ni kwel inashusha mana bongo wengi hawaangalii ubora wa gari hasa engine wengi wenye gari private wanacheza na namba tu

Watu wa magari ya biashara ndo hawajali kuhusu namba... ila namba E ikianza, hakuna atakayenunua IST ya namba C kwa zaidi ya 6million hapo bado namba D za mwanzon nazo

Ngoja tuandae budget
 
E mwezi ujao
Screenshot_20220801-193608_Instagram.jpg
 
Kuangalia usajili wa plate namba za gari kisha kukadiria bei(thamani) ya gari sio sahihi na nikukosa uweledi wa kujua thamani halisi ya chombo. Sababu kuna watu wana gari zilizosajiliwa kwa B... zpo vizuri zaidi kuliko DVW.

Kipimo sahihi kujua thamani ya gari husika kwa ajili ya resale. Inatakiwa iwe;

1. Uchakavu wa gari husika (body, engine na interior)

2. Mwaka wa uzalishaji gari

3. Kama imeshawahi pata ajali (kama imepata ajili bei lazima iwe chini)

4. Umbali uliotembea (hapa unakuta crown imetembea 150,000KM na bado watu wanauziwa kwa bei sawa na iliyotembe umbali wa 50,000KM)[emoji31]

5. Record za service

UKIJUA THAMANI YA HELA YAKO HUTAKUBALI KUUZIWA GARI JUST BASED ON REGISTRATION PLATES.
Sasa kama unajua yote hayo na unaijua thamani ya hela kwanini usiende showroom au ukaagiza mwenyewe Japan..gari yenye usajili wa A, B, C hata usajili wa bima comprehensive depreciation rate yake ni 80%
 
Nakubaliana nawe, Dsm unapishana na gari new Model ila Kisahani namba A...[emoji848][emoji848][emoji848]
Nimekuwa nikijiuliza sana jambo hili, kumbe Kazi maalum...
ni kawaida kabisa kukuta gari new model ina namba A na ikawa ya mtu binafsi kwa sababu ukiwa na gari yako hata ikiwa namba A kama imesha chakaa au umeuza kama chuma chakavu inatakiwa urudi TRA kufuta usajili na namba hiyo atapewa mtu mwingine.
 
ni kawaida kabisa kukuta gari new model ina namba A na ikawa ya mtu binafsi kwa sababu ukiwa na gari yako hata ikiwa namba A kama imesha chakaa au umeuza kama chuma chakavu inatakiwa urudi TRA kufuta usajili na namba hiyo atapewa mtu mwingine.
Acha uongo
 
Back
Top Bottom