Google Diggers
JF-Expert Member
- Aug 29, 2015
- 944
- 1,138
UCHI Itafuka tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna V8 iliyosajiliwa namba A. V8 zimeanza kutoka 2007 nafikiri kulikuwa namba b au c.Inaweza kuwa ni updated body kit .. Kuna garages wameanza utukutu huo.. LC 100/200 zinavuliwa body inapandishwa 300. Exterior na interior .
Ndo mjue wanasubiri namba E wanahela za mawazo au hawana hela kabisa. Mtu kaweka mzigo wake million 400+ na kasajili Dzz
Unamaanisha V8 L200?maana matoleo ya nyuma pia yalikuwa yana injini za V8 tofauti ni kuwa yalikuwa ni petrol tu(kwa LC)ya sasa hivi yana petrol na diesel.Hakuna V8 iliyosajiliwa namba A. V8 zimeanza kutoka 2007 nafikiri kulikuwa namba b au c.
LC2OO V8 ni toleo la Cruiser la mwaka 2OO8 na mengi yaliingia kama kilimo kwanza serikalini. Mwaka huo nafikiri usajili ulikuwa ushafika B. Hadi raia wengi wanakuwa na uwezo wa kuyamiliki yalikuwa yashafika namba C maana wabongo wengi uwezo wa kununua gari ni baada ya miaka 4 tangu litoke kiwandani😂Hakuna V8 iliyosajiliwa namba A. V8 zimeanza kutoka 2007 nafikiri kulikuwa namba b au c.
Siku hizi wanachakachua tu4. Umbali uliotembea (hapa unakuta crown imetembea 150,000KM na bado watu wanauziwa kwa bei sawa na iliyotembe umbali wa 50,000KM
HahahahaWajanja watanyuti kwanza E isogee kidogo walau hata kama ni EA.... ila iwe EAD au EAH mbele mbele kidogo[emoji23]!
Si tunasubiria DZ tuuziwe bei za kizalendo.
Kuna jamaa kauza Crown Athlete namba DPZ ya mwaka 2006 iliyomgharimu Milioni 18 mwaka 2019 Leo hii 2022 kauza kwa Milioni 6.8Shida ndio hiyo unanunua gari kwa pesa ya kubana mambo ya msingi ie.ada, kodi, malipo ya mikopo lazima baada ya muda mfupi uuze..na kama umenunua gari kama crown utaona kila rangi from madalali..haha..
Atajijua mwenyewe. Soko halinaga huruma ni mipango yako mwenyewe na papara zake.Kuna jamaa kauza Crown Athlete namba DPZ ya mwaka 2006 iliyomgharimu Milioni 18 mwaka 2019 Leo hii 2022 kauza kwa Milioni 6.8
Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
Je number E itashusha thamani ya magari namba D? Kwasisi wanunuaji used
Nakubaliana nawe, Dsm unapishana na gari new Model ila Kisahani namba A...[emoji848][emoji848][emoji848]Ina tegemea na aina ya gari, Kuna gari zinawekwaga namba A zikiwa kwenye special mission ila ukiiona tu nafsi yako inakataa kuwa hii sio namba A
I na O huwa system ina Skip kwenye sajili za Plate Numbers.Mimi nasubir mpka ifike MBO
Dsm zimejaa sana Gari kali plate number ANa hayo ndio makosa makubwa sana wanayofanya watu wetu wa usalama, kwa style hiyo kila mtu anawashtukia
Siyo kwa haraka labda mpaka ifike ED au EJ huko.Kwa soko la bongo ni kwel inashusha mana bongo wengi hawaangalii ubora wa gari hasa engine wengi wenye gari private wanacheza na namba tu
Watu wa magari ya biashara ndo hawajali kuhusu namba... ila namba E ikianza, hakuna atakayenunua IST ya namba C kwa zaidi ya 6million hapo bado namba D za mwanzon nazo