Zile Marcopolo zimetulia haswa, wakirekebisha ndani zinazidi Yutong namba DVKama namba C imesimama nachukua namba C hata B au A fresh tu.
Angalia namba A zile bus za Kilimanjaro halafu linganisha na hizi namba D za mabasi mengine.
500,000 ndo hutumika kufanya reserve au special numberMkuu mfano saivi nikitaka T 111 EAA naweza kuwekewa? Na gharama yake sh ngapi?
Huwezi chonga bila kuwa na kadi...Hatujaifikia hio namba bado, ikumbukwe kuchonga kibao ni elfu 2O tu
Mfano unataka namba ya mbele zaidi wakati bado gari hazijafika mfano wataka uwe na gari ambazo namba zake zote ni 777/666/999/222Laki 5 yote yanini wakati vibao hata ukitaka cha namba B unatoa upya kama chako kimechakaa elfu 2O tu kwa rasta anakufyatulia kipya. Sogea maeneo ya TRA ilipo wachonga namba hawakosekani. Hio ya jamaa mchezo aliofanya ndio huo huo, official numbers ziko DZV kwa sasa.
Hio unayosemea wewe ni special number. Kama zile za Jpm 2O2O.
Hio crown ilikua na hali gani? Ni 2500CC, 3000CC au 3500CC ili tujue? Mwaka 2019 Crown ya 2006 ushuru ilikua ni 6,555,000 kwamba yeye aliinunua 11,000,000 huko Japenga au imekaaje hapo mkuu...?Kuna jamaa kauza Crown Athlete namba DPZ ya mwaka 2006 iliyomgharimu Milioni 18 mwaka 2019 Leo hii 2022 kauza kwa Milioni 6.8
Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
Eeh hio kihalali ila kama cha mchongo tu unatengeneza mtaani unapigia picha ila inakuwa sio official.Mfano unataka namba ya mbele zaidi wakati bado gari hazijafika mfano wataka uwe na gari ambazo namba zake zote ni 777/666/999/222
Inakubidi ulipie hiyo pesa wanakutupa namba hizo
Mteja hawezi kuelewa kanunua gari yard afu umpe namba ya zamani wakati rafiki yake kaagiza Japan kapewa namba mpyaIpo simple tu.
Ikishushwa ipewe namba.
Hata ikija kutolewa huko bonded atatoka na namba yake aliyopewa siku anashusha.
Hao sidhani kama wamevalisha, hadi kurudisha namba nyuma hao yawezekana ni wale waleeeeeInaweza kuwa ni updated body kit .. Kuna garages wameanza utukutu huo.. LC 100/200 zinavuliwa body inapandishwa 300. Exterior na interior .
Itabidi usubirie magari zaidi ya 500,000+Namba E ikianza utaanza Uzi wa kusubiria namba F [emoji23]
Photoshop ya kifakaraHaya Haya View attachment 2313777
Hata trafic akisearch huletaGari mpya namba za zamani zinajulikana za akina Nani. ILA sio za mtu binafsi eti kanunua gari mpya apewe namba ya zamani.
Ipo DZZ 998 T. Sio hapo tu Hata EAA 168 T ipoDZZ wewe umeziona ngapi tofauti na ile T777DZZ?
Na ukioona iogope sana. Kama haijaingia kimagumashi basi vipenyo wanakluwa ndani yakeIla ukifuatilia kwa makini Gari mpya zenye Namba A, kwanza sio gari za 20 to 10M ni ndinga za pesa ya kwenda. Then hili suala la kusema unapewa... Mmmhhh!
Kwamba gari ilipata ajali nikauza kama skrepa then... blah blah wakupe Registration ya nyuma. Kwa Tanzania inawezekana ila Kwa Tanzania Haiwezekani
Hapa nimekupata Kwa umakiniNa ukioona iogope sana. Kama haijaingia kimagumashi basi vipenyo wanakluwa ndani yake
Namba D zimekaa miaka mingi, tangu 2012 mpka leo, takribani miaka 9 na ushee...
Namba D ndo inaishia ukingoni, Jana Gari zilizosajiliwa zilikua DWV.
View attachment 1888026
Sijui kwa herufi moja huneba magari mangapi mpk kuhamia herufi nyingine...
Nilisikia sijui ni magari 1000, yani ukitoka DW kwenda DX..
Jana tumesikia magari zaidi ya 3000 yameingia kwa mkupuo, ofcoz sio yote ni ya TZ, ila i bet 2000 yatakua ya hapa Tz...[emoji3]
Kwa idadi hiyo basi DZ inaingia mtaani mwezi huu na kudumu kwa miezi miwili...
Namba E rasmi October, D inakua yazamani [emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna ambae anasubiri namba E kama mimi tuvute mkoko japani????
Mkuu sasa hivi namba hizi 111/222/333/444/555/666/777/888/999/123/456/789 zimeingizwa kwamba ni special namba kwaio hizo kuzipata ni 500,000 yani system inaisoma kama 500,000 hio hatari sana....Mfano unataka namba ya mbele zaidi wakati bado gari hazijafika mfano wataka uwe na gari ambazo namba zake zote ni 777/666/999/222
Inakubidi ulipie hiyo pesa wanakutupa namba hizo
Tumevuka malengo kama makusanyo ya Halmashauri awamu ya sita.[emoji16].
Hatufiki hata September!