Tunaosubiri namba E tukutane hapa

Tunaosubiri namba E tukutane hapa

Kama namba C imesimama nachukua namba C hata B au A fresh tu.

Angalia namba A zile bus za Kilimanjaro halafu linganisha na hizi namba D za mabasi mengine.
Zile Marcopolo zimetulia haswa, wakirekebisha ndani zinazidi Yutong namba DV
 
Laki 5 yote yanini wakati vibao hata ukitaka cha namba B unatoa upya kama chako kimechakaa elfu 2O tu kwa rasta anakufyatulia kipya. Sogea maeneo ya TRA ilipo wachonga namba hawakosekani. Hio ya jamaa mchezo aliofanya ndio huo huo, official numbers ziko DZV kwa sasa.

Hio unayosemea wewe ni special number. Kama zile za Jpm 2O2O.
Mfano unataka namba ya mbele zaidi wakati bado gari hazijafika mfano wataka uwe na gari ambazo namba zake zote ni 777/666/999/222
Inakubidi ulipie hiyo pesa wanakutupa namba hizo
 
Kuna jamaa kauza Crown Athlete namba DPZ ya mwaka 2006 iliyomgharimu Milioni 18 mwaka 2019 Leo hii 2022 kauza kwa Milioni 6.8

Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
Hio crown ilikua na hali gani? Ni 2500CC, 3000CC au 3500CC ili tujue? Mwaka 2019 Crown ya 2006 ushuru ilikua ni 6,555,000 kwamba yeye aliinunua 11,000,000 huko Japenga au imekaaje hapo mkuu...?
 
Inaweza kuwa ni updated body kit .. Kuna garages wameanza utukutu huo.. LC 100/200 zinavuliwa body inapandishwa 300. Exterior na interior .
Hao sidhani kama wamevalisha, hadi kurudisha namba nyuma hao yawezekana ni wale waleeeee
 
Ila ukifuatilia kwa makini Gari mpya zenye Namba A, kwanza sio gari za 20 to 10M ni ndinga za pesa ya kwenda. Then hili suala la kusema unapewa... Mmmhhh!
Kwamba gari ilipata ajali nikauza kama skrepa then... blah blah wakupe Registration ya nyuma. Kwa Tanzania inawezekana ila Kwa Tanzania Haiwezekani
Na ukioona iogope sana. Kama haijaingia kimagumashi basi vipenyo wanakluwa ndani yake
 
Namba D zimekaa miaka mingi, tangu 2012 mpka leo, takribani miaka 9 na ushee...

Namba D ndo inaishia ukingoni, Jana Gari zilizosajiliwa zilikua DWV.

View attachment 1888026


Sijui kwa herufi moja huneba magari mangapi mpk kuhamia herufi nyingine...
Nilisikia sijui ni magari 1000, yani ukitoka DW kwenda DX..

Jana tumesikia magari zaidi ya 3000 yameingia kwa mkupuo, ofcoz sio yote ni ya TZ, ila i bet 2000 yatakua ya hapa Tz...[emoji3]

Kwa idadi hiyo basi DZ inaingia mtaani mwezi huu na kudumu kwa miezi miwili...

Namba E rasmi October, D inakua yazamani [emoji23][emoji23][emoji23]

Kuna ambae anasubiri namba E kama mimi tuvute mkoko japani????

Wewe mshamba kabisa! E ni herufi wala siyo namba! Nenda shule tena hata kama ni ya ngumbaro!
 
ndo hiyo DZM IPO njiani tayari
Screenshot_20220806-193708_Instagram.jpg
 
Mfano unataka namba ya mbele zaidi wakati bado gari hazijafika mfano wataka uwe na gari ambazo namba zake zote ni 777/666/999/222
Inakubidi ulipie hiyo pesa wanakutupa namba hizo
Mkuu sasa hivi namba hizi 111/222/333/444/555/666/777/888/999/123/456/789 zimeingizwa kwamba ni special namba kwaio hizo kuzipata ni 500,000 yani system inaisoma kama 500,000 hio hatari sana....
 
Back
Top Bottom