Tunaosubiri namba E tukutane hapa

Number E zipo mtaani ila chache sn, uko wapi mkuu? Nikipata picha nitakuwekea hapa.
 
Disemba tunaweza lala na dz maana dx inaisha mda si mrefu.. dy hatuwezi iianza January
Dy january hio mzee...DZ Mpaka mwezi wa 3 au wa 4 huko...kumbuka January hapo mambo hua magumu. Ko kuanzia December watu wataanza kusave pesa kwa ajili ya January kwa ajili ya watoto kwenda shule na mambo mengine. Kwa hio DZ tutegemee sana sana mwezi wa 4 huko
 

Wewe ndio ununui gari, dy tunaainza mwaka huu ata mwezi wa 12 katikati inaweza isifike tutarudi kukumbushana
 
Ila namba D imevuma sana.....hata demu watu wakawa wana classify kwa kigezo cha namba D
 
We kama umejipanga kununua gari, nunu a gari...kwa sababu namba E haitaketa maajabu yoyote..kwa mfano, ukija kununua IST isajiliwe namba E, haitabadilika na kuwa Lamborghini kisa ni namba E....itabaki kuwa IST ile ile
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…