Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hesabu yako iko vizuri, ila pigia herufi 24, siyo26.
I na O hazitumiki.
Tufanye huo mpango aisee 😀Eeh tuuze tuhamiemo kwenye D
Nielimishe hapo, kwanini kutotumika kwa irabu hizo!?Hesabu yako iko vizuri, ila pigia herufi 24, siyo26.
I na O hazitumiki.
Namba D zimekaa miaka mingi, tangu 2012 mpka leo, takribani miaka 9 na ushee...
Namba D ndo inaishia ukingoni, Jana Gari zilizosajiliwa zilikua DWV.
View attachment 1888026
Sijui kwa herufi moja huneba magari mangapi mpk kuhamia herufi nyingine...
Nilisikia sijui ni magari 1000, yani ukitoka DW kwenda DX..
Jana tumesikia magari zaidi ya 3000 yameingia kwa mkupuo, ofcoz sio yote ni ya TZ, ila i bet 2000 yatakua ya hapa Tz...[emoji3]
Kwa idadi hiyo basi DZ inaingia mtaani mwezi huu na kudumu kwa miezi miwili...
Namba E rasmi October, D inakua yazamani [emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna ambae anasubiri namba E kama mimi tuvute mkoko japani????
Yeah ni kweli kwa takwimu walisema 65% zinaenda kwao (IT) nadhani hesabu itakua kama 1290 hiviTunaosubiri namba E tupo kadhaa, ila uzalendo unaelekea kutushinda...
Katika hizo gari, taarifa inasema ni gari kama 700+ hivi ndio zitabaki bongoland.
Hafu tuzipeleke kijijini kusanya abiria na kuku + mbuziHahahahah wakati huo wa namba E bora ufike ili zile IST za number D tuuziwe million 5/5 chap chap maana ni nyingi sana [emoji28]!
Yani hali ilivyo sasa hata IST namba DC mtu anakomalia auze million 8 na inauzika fasta! Najiuliza ukija mbadala wa IST ghafla sijui wenye nayo sasa hali itakuwaje!
Nadhani sababu kubwa ni mfanano wake kwa 1 na 0, hivyo kuondoa errors wakati wa kuzisoma.Nielimishe hapo, kwanini kutotumika kwa irabu hizo!?
Ninako ka DWT kangu safi ka wiki mbili zilizopita
Lazma zitafika huko kwa spid hiiKwahio pengine D zitaondoka na mama Samia
Hesabu yako iko vizuri, ila pigia herufi 24, siyo26.
I na O hazitumiki.
Licha ya madalali pia ushuru ni mkubwa mnoVumilia vumilia kaka, namba D zinaboa...
Madalali wamehiaribu hiyo namba [emoji23][emoji23][emoji23]
Hamnaga 001 zinaanziaga 111T 001 EAA
Na pia sijawai ona T666 D... hivi ni mimi tu au kwenu vipi
HahahahahaYeah ni kweli kwa takwimu walisema 65% zinaenda kwao (IT) nadhani hesabu itakua kama 1290 hivi
Mimi nina namba ALZ (Ilikua TZM)
Napia nna namba za CCM na DHH
Hapa nadhani ntahitaji ya mwisho FUK....literally ya kustaafia
DuhSure! 2014 nilivuta ka-mkoko DBV, D zilikuwa zimeanza anza. daah! R.I.P DBV now I have DVB.. What a coincidence.
Zipo nyingi tu.Na pia sijawai ona T666 D... hivi ni mimi tu au kwenu vipi
Na pia sijawai ona T666 D... hivi ni mimi tu au kwenu vipi
Asante Sana mtaalam.Hamnaga 001 zinaanziaga 111