Cash Generating Unit
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 13,286
- 39,418
Ya mchongo ahaha
Angalia vzr unajua nmeshangaa sana mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ya mchongo ahaha
Ya mchongo ahaha
Hii fake, inaanza herufi ndio inafuata namba!Tuko DZL ndugu zangu [emoji119]
View attachment 2121152
Kuna jamaa angu yuko TRA ntamwambia acheki aseee kama kweli
E haitaanza mwaka huu mark my wordsNamba E itoke ili magari namba D yashuke bei
Naona kama D imekaa mda sanaE haitaanza mwaka huu mark my words
Naona kama D imekaa mda sana
Yaani kwa dalili hizi na tupo almost Machi mzigo unatoboa mwaka yaaniNaona kama D imekaa mda sana
Yaani kwa dalili hizi na tupo almost Machi mzigo unatoboa mwaka yaani
Mwaka huu tunaanza E ukumbuke kuja kufuta comment yakoE haitaanza mwaka huu mark my words
DYN tayari nimepishana na Rumion jana DYNSasa hivi ipo DYM mwishoni inakwenda DYN
Asee namba inatembea ni balaa
Uje ufute comment yako mkuu, mpaka kufika mwezi wa 6 namba E itakuwa barabarani!E haitaanza mwaka huu mark my words
Na yatashuka kweli yani😅 mi nasubiria kiji IST tu kiporomoke kifike 5MNamba E itoke ili magari namba D yashuke bei
Hizi gari za Jan Japan ndo ambazo nyingi ziko kwenye Yards za kinondoni ila tofauti ni kuwa zikifika kule wanachakachua na kale kamtambo kao!Hawa jan Japan nimewakubali kwanza wanaandika km harisi wanauza hadi magari ya mileage 220k(wakweli) na pili wana gari hadi za milion 8 na 9 hapa hapa Tz.
Nenda ukurasa wao wa insta utafurahi wako real Sana.View attachment 2097812View attachment 2097813View attachment 2097814View attachment 2097815View attachment 2097816View attachment 2097817View attachment 2097818View attachment 2097819
Soon mzeeLongway to go. DJklmnpqrstuvwxyz. Halafu ianze dza