Tunaosubiri namba E tukutane hapa

Tunaosubiri namba E tukutane hapa

5G spiiiidiiii
20220620_150135.jpg
 
Jamani kati hizi crown ipi ni bora in term of everything... majesta,athlete, na royal saloon? Kidada changu last born kinahitaji mojawapo,nadhani naye anataka kuanzia namba E
Majesta ni mwisho wa matatizo, lina kila kitu ambacho angekipata kwenye Benz 😂😂😂 ila kipengele ni safari za sheli zitakuwa za Mara kwa Mara kama kubanwa mkojo kwa mgonjwa wa figo.
 
Majesta ni mwisho wa matatizo, lina kila kitu ambacho angekipata kwenye Benz [emoji23][emoji23][emoji23] ila kipengele ni safari za sheli zitakuwa za Mara kwa Mara kama kubanwa mkojo kwa mgonjwa wa figo.
Amen! Ntamfikishia ujumbe atajua mwenywe mambo ya wese[emoji3][emoji3]
 
Jamani kati hizi crown ipi ni bora in term of everything... majesta,athlete, na royal saloon? Kidada changu last born kinahitaji mojawapo,nadhani naye anataka kuanzia namba E

Kama ni dada mwambie achukue Royal saloon, hiyo ji luxury car yenye suspension za kunesa...
Crown athlele ni sport, kwa wanaopenda mbioo...

Majesta lile ni V8 Saloon car
 
Duuh!.

Kwa hiyo namba E inakupunguzia kiasi cha matumizi ya mafuta? Au gari ndiyo itakuwa Classic?

Ninyi ndiyo wale mnashikishwa magari mabovu kwa sababu tu ya kununua namba badala ya gari.

Ninyi ndiyo wale ambao hamtaki kukubali kuwa uzee umefika, mnalazimisha kufanya mambo ya ujana ili kuendana na usasa. Utaangukia pua tu.

Bro, kuna gari namba B ni kali sana kuliko namba D.

Chukua mkoko, acha kusubiri namba.

Anyway, sikupangii matumizi ya fedha zako Mkuu.
Sh ngapi..sanuka bei
 
Back
Top Bottom