G-Funk
JF-Expert Member
- Feb 10, 2022
- 2,398
- 5,554
Noma huu mwezi natabiri tunafunga na DZQJumatatu inaanza DZNView attachment 2264286
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Noma huu mwezi natabiri tunafunga na DZQJumatatu inaanza DZNView attachment 2264286
Tunakimbia, jana nimeona DZJ nikajua ndio tupo hapo sasa hivi. Uhakika December au January EAA ipo barabarani.
Cha ajabu hizi plate number mpya zinavyo kimbia zinaishia Dar tu?? Nikija huku mikoani sizioni kabisa au unaona moja moja kwa mbinde..
Jamani kati hizi crown ipi ni bora in term of everything... majesta,athlete, na royal saloon? Kidada changu last born kinahitaji mojawapo,nadhani naye anataka kuanzia namba E5G spiiiidiiii View attachment 2266572
Majesta ni mwisho wa matatizo, lina kila kitu ambacho angekipata kwenye Benz 😂😂😂 ila kipengele ni safari za sheli zitakuwa za Mara kwa Mara kama kubanwa mkojo kwa mgonjwa wa figo.Jamani kati hizi crown ipi ni bora in term of everything... majesta,athlete, na royal saloon? Kidada changu last born kinahitaji mojawapo,nadhani naye anataka kuanzia namba E
August E on Deck5G spiiiidiiii View attachment 2266572
Tunafunga mwezi na DZQ
Chukua AthleteJamani kati hizi crown ipi ni bora in term of everything... majesta,athlete, na royal saloon? Kidada changu last born kinahitaji mojawapo,nadhani naye anataka kuanzia namba E
Amen! Ntamfikishia ujumbe atajua mwenywe mambo ya wese[emoji3][emoji3]Majesta ni mwisho wa matatizo, lina kila kitu ambacho angekipata kwenye Benz [emoji23][emoji23][emoji23] ila kipengele ni safari za sheli zitakuwa za Mara kwa Mara kama kubanwa mkojo kwa mgonjwa wa figo.
Jamani kati hizi crown ipi ni bora in term of everything... majesta,athlete, na royal saloon? Kidada changu last born kinahitaji mojawapo,nadhani naye anataka kuanzia namba E
Asante sana kwa ushauri.Kama ni dada mwambie achukue Royal saloon, hiyo ji luxury car yenye suspension za kunesa...
Crown athlele ni sport, kwa wanaopenda mbioo...
Majesta lile ni V8 Saloon car
Kwani kuna crown haili mafuta?Kama ni dada mwambie achukue Royal saloon, hiyo ji luxury car yenye suspension za kunesa...
Crown athlele ni sport, kwa wanaopenda mbioo...
Majesta lile ni V8 Saloon car
Tumefika namba ngapi sasaikifika namba F nitanunua namba A
DTumefika namba ngapi sasa
Sh ngapi..sanuka beiDuuh!.
Kwa hiyo namba E inakupunguzia kiasi cha matumizi ya mafuta? Au gari ndiyo itakuwa Classic?
Ninyi ndiyo wale mnashikishwa magari mabovu kwa sababu tu ya kununua namba badala ya gari.
Ninyi ndiyo wale ambao hamtaki kukubali kuwa uzee umefika, mnalazimisha kufanya mambo ya ujana ili kuendana na usasa. Utaangukia pua tu.
Bro, kuna gari namba B ni kali sana kuliko namba D.
Chukua mkoko, acha kusubiri namba.
Anyway, sikupangii matumizi ya fedha zako Mkuu.