JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 2,118
- 4,863
Kagongwa nyumaBila shaka ni ulevi huu tu, gari unadumbukizaje mtaroni namna hio?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kagongwa nyumaBila shaka ni ulevi huu tu, gari unadumbukizaje mtaroni namna hio?
Siyo kweli hawa wanaotegea E walianza tangu DYA wanaonunua sasahv wananunua kifaa cha kazi siyo mabishoo.Uko sawa 100 % ila nafikiri ikifika DZV itaanza kupungua spidi sana ya usajili kwa kuwa kila mmoja atategea iingie no E , hivyo inaweza kwenda mpaka October au zaidi.
Ni kweli lakini Madingi wengi hawajali kuhusu D wala E tena kwenye gari za biashara ndiyo kabisa.Uko sawa 100 % ila nafikiri ikifika DZV itaanza kupungua spidi sana ya usajili kwa kuwa kila mmoja atategea iingie no E , hivyo inaweza kwenda mpaka October au zaidi.
Huyu hata kuendesha alikua hajui.DZN hiyo
.....View attachment 2270408
Na hawamlipiNa kainunua juzi tuView attachment 2270617
UghaliImekula kwake na insurance third-party. Kwanini watu hawatumii comprehensive?
laana khum 😅😅😅 kagongwaje nyuma tenanyuma
Hawa ndio wale breki za kijinga nyuma kuna fuso likambusuHuyu hata kuendesha alikua hajui.
Na gari ina bima ndogo
Gari zinazokimbiza hizo namba nyingi ni lorry na trailers pamoja na madaladalaNi kweli lakini Madingi wengi hawajali kuhusu D wala E tena kwenye gari za biashara ndiyo kabisa.
Balaa zito🤣🤣🤣laana khum 😅😅😅 kagongwaje nyuma tena
Nilikadiria huu mwezi tunafunga na DZQ aisee....Its for real! DZP inayoyoma hiooo!!! HalfwayInakaribia kuishaView attachment 2271176
Melona anapiga kazi sana aisee.
Unamjua vizuri mkuu?Melona anapiga kazi sana aisee.
July inaweza funga na Y😊Nilikadiria huu mwezi tunafunga na DZQ aisee....Its for real! DZP inayoyoma hiooo!!! Halfway
Hahahaha ni noma mzee sema mbali. Itaishia na U ikijitahidi VJuly inaweza funga na Y😊
Inakaribia kuishaView attachment 2271176
Herufi zinakimbia sana july D inaondoka,kwa wastani wiki 2 zinaondoka na herufi 4Noooma sanaView attachment 2275846
Bet "Won" nilitabiri tutafunga mwezi na DQ yametimia. Wale wanaosema namba E ni mwakani tukutane sheli hapo August 😂😂😂!Noooma sanaView attachment 2275846