Tunaosubiri namba E tukutane hapa

Tunaosubiri namba E tukutane hapa

Tatizo kuna bug detectors ambazo zinauzwa kuangalia kama kuna bugs home, office pia unaweza kutumia kwenye gari, zinauzwa tu kuna wezi pia wanazo.
Njia nyingine nzuri ni kuweka simu ndogo ambayo inakuwa ipo special kwa ajili ya kuitrack ikitokea kama gps imekuwa disconected.

Hapo yakupasa simu hiyo uiweke na chaji ambayo unafanya maarifa kuiunga na unaiweka kila baaa ya siku kadhaa ili simu isiishiwe chaji na hii unaiwekea mfumo wake pekee sana kiasi si rahisi mtu yoyote kuweza kujua.
 
Njia nyingine nzuri ni kuweka simu ndogo ambayo inakuwa ipo special kwa ajili ya kuitrack ikitokea kama gps imekuwa disconected.

Hapo yakupasa simu hiyo uiweke na chaji ambayo unafanya maarifa kuiunga na unaiweka kila baaa ya siku kadhaa ili simu isiishiwe chaji na hii unaiwekea mfumo wake pekee sana kiasi si rahisi mtu yoyote kuweza kujua.
hii njia ni nzuri zaidi,vp hawez kujua kama kuna simu.
 
Tatizo kuna bug detectors ambazo zinauzwa kuangalia kama kuna bugs home, office pia unaweza kutumia kwenye gari, zinauzwa tu kuna wezi pia wanazo.
Hapo sasa ndo bima watakapo nilipa mzee.. ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ halafu kina vutwa chuma kingine...
 
Sikuhizi hawalipagi kirahisi rahisi
Ushawahi kua na comprehensive? Mimi nishawahi lipwa miezi 2 tu baada ya kupata ajali na gari ikawa written off.miezi miwili baada ya kufika nchini...comprehensive haina usumbufu ninamtumia broker kwaio broker ili apate mteja ananipambania kweli kweli
 
6864dd7943bd4b64966f31de833032fe.jpg
๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒspeed ya mwanga
 
Namba D zimekaa miaka mingi, tangu 2012 mpka leo, takribani miaka 9 na ushee...

Namba D ndo inaishia ukingoni, Jana Gari zilizosajiliwa zilikua DWV.

View attachment 1888026


Sijui kwa herufi moja huneba magari mangapi mpk kuhamia herufi nyingine...
Nilisikia sijui ni magari 1000, yani ukitoka DW kwenda DX..

Jana tumesikia magari zaidi ya 3000 yameingia kwa mkupuo, ofcoz sio yote ni ya TZ, ila i bet 2000 yatakua ya hapa Tz...[emoji3]

Kwa idadi hiyo basi DZ inaingia mtaani mwezi huu na kudumu kwa miezi miwili...

Namba E rasmi October, D inakua yazamani [emoji23][emoji23][emoji23]

Kuna ambae anasubiri namba E kama mimi tuvute mkoko japani????
Bado sana piga pamutation hapo tutasubiri sana
 
Hahahahah wakati huo wa namba E bora ufike ili zile IST za number D tuuziwe million 5/5 chap chap maana ni nyingi sana [emoji28]!

Yani hali ilivyo sasa hata IST namba DC mtu anakomalia auze million 8 na inauzika fasta! Najiuliza ukija mbadala wa IST ghafla sijui wenye nayo sasa hali itakuwaje!
Kuna Renault sema yamoto iyo 24km/L inaenda dola Elfu nane na mia kadhaa sijajua durability yake na service maana Toyota is for Africa[emoji1]
 
Back
Top Bottom