Tunaosumbuliwa na vibarango Tukutane hapa

Tunaosumbuliwa na vibarango Tukutane hapa

Kongole kwa kuchukua uamuzi wa kutibu, kiuhalisia vitu kama hivi wengi huchelewa kuvitibu for no reason, unaweza kuta mtu ana utango utango mwili mzima mpaka uso unabadilika anakuwa na mabaka kama chui ila anachukulia poa tu

Akijitahidi ni kujipaka mifuta ya breki kama juha ilhali kuna dawa bei nafuu tu inayoweza kutibu sharti ujitoe na ujipende

The same applies kwa fangasi, ugonjwa wa ngozi, mapunye etc. Haya magonjwa yakikupata tu yaitbu fasta usirembe
 
Paka maji ya matunda yanaitwa tula (Usukumani) au ndulele (Uchagani) mara 2 kwa siku baada ya kuoga. Unatafuta matula yaliyoiva unakata unakamulia maji yake kwenye hayo mapunye. Majimaji yakishakaukia pangusa mbegumbegu. Hii yenyewe ni kiboko ya mpaka yale mapunye yaliyoshindikana kwa dawa za kumeza.

Come and thank me later.
 
Kongole kwa kuchukua uamuzi wa kutibu, kiuhalisia vitu kama hivi wengi huchelewa kuvitibu for no reason, unaweza kuta mtu ana utango utango mwili mzima mpaka uso unabadilika anakuwa na mabaka kama chui ila anachukulia poa tu

Akijitahidi ni kujipaka mifuta ya breki kama juha ilhali kuna dawa bei nafuu tu inayoweza kutibu sharti ujitoe na ujipende

The same applies kwa fangasi, ugonjwa wa ngozi, mapunye etc. Haya magonjwa yakikupata tu yaitbu fasta usirembe

Mi vinanikera sana mwanzo nilikua navichukulia poa kalianza kamoja heee mara vikatapakaa nikakasirika
 
Paka maji ya matunda yanaitwa tula (Usukumani) au ndulele (Uchagani) mara 2 kwa siku baada ya kuoga. Unatafuta matula yaliyoiva unakata unakamulia maji yake kwenye hayo mapunye. Majimaji yakishakaukia pangusa mbegumbegu. Hii yenyewe ni kiboko ya mpaka yale mapunye yaliyoshindikana kwa dawa za kumeza.

Come and thank me later.

Haya madude nayapata wapi
 
Back
Top Bottom