Tunaotaka kuomba Bachelor degree vyuo mbalimbali 2020/2021 tukutane basi

Tunaotaka kuomba Bachelor degree vyuo mbalimbali 2020/2021 tukutane basi

Clark boots

JF-Expert Member
Joined
Jun 5, 2017
Posts
6,770
Reaction score
6,202
Vijana wenzangu naona Siku zinakwenda mbio, form 6 ndo hao washaanza mitihani na kwa wale waliopo vyuo vya kati kumalizia diploma naona semester ndo hvyo tena inakatika mdogomdgo.
Bila shaka next month(July) bodi ya mikopo wataanza kutoa announcement about uombaji wa mikopo mwaka huu.

Hv diploma mwenzangu chuo chochote ulichokuwa unaionaje kasi ya hii semester hadi kufikia kuimaliza tutakuwa na muda wakutosha kuomba vyuo mbalimbali..!! Na kama mnavyojua sasa ushindani ni mkubwa.!!

Vp pia kuhusu Application za mkopo mbilingembilinge zake tutaendana na muda kweli..!!
Ni hasa tufanye ili tuendane na muda husika kwa kuwahi kuomba vyuo mapema(Madirisha ya kwanza)

Mkuu Masiya karibu sana Jukwaa lako penda utushauri ndugu zako.

% Karibuni %
 
Vijana wenzangu naona Siku zinakwenda mbio, form 6 ndo hao washaanza mitihani na kwa wale waliopo vyuo vya kati kumalizia diploma naona semester ndo hvyo tena inakatika mdogomdgo.
Bila shaka next month(July) bodi ya mikopo wataanza kutoa announcement about uombaji wa mikopo mwaka huu.

Hv diploma mwenzangu chuo chochote ulichokuwa unaionaje kasi ya hii semester hadi kufikia kuimaliza tutakuwa na muda wakutosha kuomba vyuo mbalimbali..!! Na kama mnavyojua sasa ushindani ni mkubwa.!!

Vp pia kuhusu Application za mkopo mbilingembilinge zake tutaendana na muda kweli..!!
Ni hasa tufanye ili tuendane na muda husika kwa kuwahi kuomba vyuo mapema(Madirisha ya kwanza)

Mkuu Masiya karibu sana Jukwaa lako penda utushauri ndugu zako.

% Karibuni %
Malizia hiyo semester kwanza bro upate GPA kubwa vyuo vipo mwanangu .....
 
Huku kozi za sayansi uwe na GPA kuanzia 3.5..pia mjitahidi mpate AVN mapema..kila la heri vijana..

#MaendeleoHayanaChama
 
kama bado upo chuoni......piga kitabu faulu vizuri.....then subiri mwakani wala usisumbukee.

MASOMO MEMA.
 
kama bado upo chuoni......piga kitabu faulu vizuri.....then subiri mwakani wala usisumbukee.

MASOMO MEMA.
Brother mmoja ametoka dip last year wakati namaliza Form 6, process za kuomba chuo tulipishana siku chache tu na sasa tupo wote first year. Inawezekana sana kupata mwaka huu.
 
Usipo pata AVN mapema degree unaweza ingia mwakani be carefull life is full of surprises....
Kwenye hizi AVN,hapa kuna kizingumkuti. mwenyewe sielewi tatizo lipo kwenye vyuo kuchelewa kupeleka taharifa za wahitimu NACTE,au systems zao zinakuwaga na shida.
 
Mkuu @Masiya karibu sana Jukwaa lako penda utushauri ndugu zako.
Kwa kuanzia naona changamoto itakuwa upande wa Certificate kwenda Diploma na Diploma kwenda degree. Hasa pale inapobidi uhame chuo. Tatizo ni kupata matokeo kwa muda muafaka na ya hakikiwe na NACTE ili AVN itoke. Mwaka jana kuna kijana alimaliza mitihani mapema sasa ngoma ni ilikuwa kupata ufaulu wa field practical. Ikabidi ashindwe kuomba chuo. Admission cycles zetu zina shida na sijui kwa nini NACTE wasijaribu strategy nyingine kwa mfano watoe namba kama za NECTA na mara mwanafunzi afaulipo system inakuwa na matokeo yake na anaweza kuapply chuo kingine nchini kutumia examination/registration numbers. labda hii ingepunguza hii kadhia. Na kwa wale watakao pata supp sioni maendeleo yao kwani matokeo ya supp yatakapo toka mwaka huu dirisha la uombaji huenda likawa limefungwa hadi intake ijayo.
Kwa vyuo tuombe waprocess matokea faster na kupeleka matokeo NACTE haraka.
 
Kwa kuanzia naona changamoto itakuwa upande wa Certificate kwenda Diploma na Diploma kwenda degree. Hasa pale inapobidi uhame chuo. Tatizo ni kupata matokeo kwa muda muafaka na ya hakikiwe na NACTE ili AVN itoke. Mwaka jana kuna kijana alimaliza mitihani mapema sasa ngoma ni ilikuwa kupata ufaulu wa field practical. Ikabidi ashindwe kuomba chuo. Admission cycles zetu zina shida na sijui kwa nini NACTE wasijaribu strategy nyingine kwa mfano watoe namba kama za NECTA na mara mwanafunzi afaulipo system inakuwa na matokeo yake na anaweza kuapply chuo kingine nchini kutumia examination/registration numbers. labda hii ingepunguza hii kadhia. Na kwa wale watakao pata supp sioni maendeleo yao kwani matokeo ya supp yatakapo toka mwaka huu dirisha la uombaji huenda likawa limefungwa hadi intake ijayo.
Kwa vyuo tuombe waprocess matokea faster na kupeleka matokeo NACTE haraka.
Yaaah, kweli kabisa.. Uharaka wa kutuma matokeo unahitajika sana ili kukimbizana na mda wa maombi
 
Brother mmoja ametoka dip last year wakati namaliza Form 6, process za kuomba chuo tulipishana siku chache tu na sasa tupo wote first year. Inawezekana sana kupata mwaka huu.
Vizuri sana, inabidi tucheze na goli tu hadi kieleweke
 
Karibuni sana Degree [emoji310], ila GPA ziwe za uhakika.
 
GPA kuanzia ngapi huwa inamata kuchukuliwa bachelor offcourse Sokoine University.. Course kama Agronomy,G-agricture na Forestry...?
Karibuni sana Degree [emoji310], ila GPA ziwe za uhakika.
 
Back
Top Bottom