Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Tawireeeeeeee.........
Hebu jamani kabla hatujaenda kutambika tujiulize Mizimu ni nani haswa?
Mizimu Ni watenda dhambi wa zamani.
Walikuwa wafiraji, wachawi, wauaji, waongo, wagomvi, wazinzi, wasengenyaji etc.
Sasa hawa mizimu tunaposumbuliwa na kushindwa tabia na wanetu, tunaenda kutambika kwao, eti watoto wanyooke. Watanyooka kweli?
Mizimu inataka pombe haitaki Pepsi, mizimi hii jamani. Mweeee.
Hebu tuendelee tu na kutambika
Hebu jamani kabla hatujaenda kutambika tujiulize Mizimu ni nani haswa?
Mizimu Ni watenda dhambi wa zamani.
Walikuwa wafiraji, wachawi, wauaji, waongo, wagomvi, wazinzi, wasengenyaji etc.
Sasa hawa mizimu tunaposumbuliwa na kushindwa tabia na wanetu, tunaenda kutambika kwao, eti watoto wanyooke. Watanyooka kweli?
Mizimu inataka pombe haitaki Pepsi, mizimi hii jamani. Mweeee.
Hebu tuendelee tu na kutambika