Tunaotegemea kugombea ubunge 2025 njooni tuweke mikakati yetu hapa binafsi nagombea jimbo la Mbozi

Tunaotegemea kugombea ubunge 2025 njooni tuweke mikakati yetu hapa binafsi nagombea jimbo la Mbozi

Kwa sasa nyie walafi wanaotaka ubunge bila kujari hatma ya Watanzania msitutoe kwenye reli tumeshauzoea ulafi wenu.
Mjadara wa sasa ni Tanzania inakuwaje nchi ya wanaowajibika, iwe watawala au watawaliwa!
Je miundombinu ya kuwajibika na kuwajibishana tunaiwekaje sawa kwa namna imeshakuwa collaterally damaged! namaanisha Katiba, sheria, kanuni na taratibu.
Je mnufaika wa mfumo mbovu inapokuwa ameshaamua kugomea hiyo rennaissence kistaarabu, nini kifanyike, kivipi!
tujifunze kwa wengine
Wayahudi dunian kote huwa wanachangishana kutetea hatma yao Israel.
Wahima dunian kote wali/huwa wanachangishana kutetea hatma yao.
Sasa kwa vile hatuna wanasiasa wanajeshi(determined real men), atengenezwe (kama uncle Thom P.R)
Ipite kampeni ya kukusanya nguvu ya hali na mali( kama wanavyofanya diaspora kusupport kidemokrasia lakin bila kujua wanampa kuku mganga ale tu),
Alafu tuongee lugha ambayo tutaelewana!(ultimatums).
Mpaka sasa nina imani na Mwabukusi tu katika njia hii ya ..*when squeezed to the wall....
hakika michango ipo( hali na mali) lakin hakuna mkusanyaji!
Kila mtanzania ana haki ya kugombea nafasi yeyote ile katika taifa letu. Taifa letu halibagui mapambano ni kwenye sanduku la kura.
 
Najua katika jukwaa hili wapo watanzania wenzetu wanaotarajia kugombea ubunge 2025. Kugombea nafasi yeyote sio jambo baya bali ni jambo la kimaendeleo ambalo kila mtanzania anapaswa kulifahamu.

Kila mtanzania anahaki ya kugombea nafasi ya ubunge na nafasi zingine katika taifa letu. Hivyo watanzania wenzangu wenye nia kama hiyo msiogope. Mkiendelea kuogopa taifa letu haliwezi kupata maendeleo mnayoyataka.

Mkiogopa mambo hayawezi kuwa vile mnavyotaka. Mabadiliko ya kweli yanatakiwa yaanze nawewe mwenyewe. Hivyo nimeandika mada hii nikiwa mwenye nia thabiti ya kugombea ubunge jimbo la Mbozi.

Kama Kuna wengine pia wanaogombea naomba tukae hapa tujadili mikakati, changamoto na faida mbalimbali za kugombea ubunge.

Tujadili ni jinsi gani tunaweza kupambana na changamoto hizo na kwa kutumia mikakati ipi. Lakini tusisahu faida tutakazo zipata mara baada ya kugombea. Lakini pia ni changamoto zipi wanazopitia wabunge huko bungeni.
Mkakati wa kwanza tujiwekee mgombea angalao awe mwenye stahahada yeyote,ama kuanzia kidato cha sita na kuendelea.Ili kulisaidia kweli taifa letu.Tuache habari ya kujua kusoma na kuandika kwani hapo ndipo maslahi ya wachache yanapopenyezwa,ama kwa kujua kwao,ama kwa kutokujua kwao nini chenye manufaa kwa taifa na ni nini chenye manufaa kwa wachache🤓
 
Najua katika jukwaa hili wapo watanzania wenzetu wanaotarajia kugombea ubunge 2025. Kugombea nafasi yeyote sio jambo baya bali ni jambo la kimaendeleo ambalo kila mtanzania anapaswa kulifahamu.

Kila mtanzania anahaki ya kugombea nafasi ya ubunge na nafasi zingine katika taifa letu. Hivyo watanzania wenzangu wenye nia kama hiyo msiogope. Mkiendelea kuogopa taifa letu haliwezi kupata maendeleo mnayoyataka.

Mkiogopa mambo hayawezi kuwa vile mnavyotaka. Mabadiliko ya kweli yanatakiwa yaanze nawewe mwenyewe. Hivyo nimeandika mada hii nikiwa mwenye nia thabiti ya kugombea ubunge jimbo la Mbozi.

Kama Kuna wengine pia wanaogombea naomba tukae hapa tujadili mikakati, changamoto na faida mbalimbali za kugombea ubunge.

Tujadili ni jinsi gani tunaweza kupambana na changamoto hizo na kwa kutumia mikakati ipi. Lakini tusisahu faida tutakazo zipata mara baada ya kugombea. Lakini pia ni changamoto zipi wanazopitia wabunge huko bungeni.
Unakuja kugombea ubunge kwetu halafu unapita bila kusalimia.!!

Karibu mbozi Mzee upambanie kula keki ya Taifa.
 
Mkakati wa kwanza tujiwekee mgombea angalao awe mwenye stahahada yeyote,ama kuanzia kidato cha sita na kuendelea.Ili kulisaidia kweli taifa letu.Tuache habari ya kujua kusoma na kuandika kwani hapo ndipo maslahi ya wachache yanapopenyezwa,ama kwa kujua kwao,ama kwa kutokujua kwao nini chenye manufaa kwa taifa na ni nini chenye manufaa kwa wachache🤓
Umeongea mambo ya msingi sana lakini hilo ni jambo la constitution amendment. Sidhani kama linawezekana bila katiba kuweka vifungu kama hivyo.
 
Kama Mbozi mnataka maendeleo msije kujiroga mkachagua nyumbu wa Chadema,mtaishia kususwa kama Tunduma na Mbeya Mjini wakati Walipochagua nyumbu.

Mbozi Kuna project ya Tactic Kwa upendeleo kama Bagamoyo,wakijiroga tuu wakachagua Chadema hiyo project itahamishiwa Mkuranga.Nikp.palee nasubiria matokeo ya serikali za mitaa.

Punguzeni ubaguzi na dharau. Kama mnataka Hilo litoker nendeni bungeni mbadilishe katiba iwe ya chama kimoja. Eti usichague CHADEMA hamta letewa maendeleo. Basi kwenye Kodi muwa except wanachama wa CHADEMA kutokulipa Kodi. Very stupid
 
Najua katika jukwaa hili wapo watanzania wenzetu wanaotarajia kugombea ubunge 2025. Kugombea nafasi yeyote sio jambo baya bali ni jambo la kimaendeleo ambalo kila mtanzania anapaswa kulifahamu.

Kila mtanzania anahaki ya kugombea nafasi ya ubunge na nafasi zingine katika taifa letu. Hivyo watanzania wenzangu wenye nia kama hiyo msiogope. Mkiendelea kuogopa taifa letu haliwezi kupata maendeleo mnayoyataka.

Mkiogopa mambo hayawezi kuwa vile mnavyotaka. Mabadiliko ya kweli yanatakiwa yaanze nawewe mwenyewe. Hivyo nimeandika mada hii nikiwa mwenye nia thabiti ya kugombea ubunge jimbo la Mbozi.

Kama Kuna wengine pia wanaogombea naomba tukae hapa tujadili mikakati, changamoto na faida mbalimbali za kugombea ubunge.

Tujadili ni jinsi gani tunaweza kupambana na changamoto hizo na kwa kutumia mikakati ipi. Lakini tusisahu faida tutakazo zipata mara baada ya kugombea. Lakini pia ni changamoto zipi wanazopitia wabunge huko bungeni.
Mie najaribu aidha Shinyanga vijijini au Sumbawanga vijijini au Songea vijijini. Au vipi.!@
 
Punguzeni ubaguzi na dharau. Kama mnataka Hilo litoker nendeni bungeni mbadilishe katiba iwe ya chama kimoja. Eti usichague CHADEMA hamta letewa maendeleo. Basi kwenye Kodi muwa except wanachama wa CHADEMA kutokulipa Kodi. Very stupid
relax bas mkuu
 
Najua katika jukwaa hili wapo watanzania wenzetu wanaotarajia kugombea ubunge 2025. Kugombea nafasi yeyote sio jambo baya bali ni jambo la kimaendeleo ambalo kila mtanzania anapaswa kulifahamu.

Kila mtanzania anahaki ya kugombea nafasi ya ubunge na nafasi zingine katika taifa letu. Hivyo watanzania wenzangu wenye nia kama hiyo msiogope. Mkiendelea kuogopa taifa letu haliwezi kupata maendeleo mnayoyataka.

Mkiogopa mambo hayawezi kuwa vile mnavyotaka. Mabadiliko ya kweli yanatakiwa yaanze nawewe mwenyewe. Hivyo nimeandika mada hii nikiwa mwenye nia thabiti ya kugombea ubunge jimbo la Mbozi.

Kama Kuna wengine pia wanaogombea naomba tukae hapa tujadili mikakati, changamoto na faida mbalimbali za kugombea ubunge.

Tujadili ni jinsi gani tunaweza kupambana na changamoto hizo na kwa kutumia mikakati ipi. Lakini tusisahu faida tutakazo zipata mara baada ya kugombea. Lakini pia ni changamoto zipi wanazopitia wabunge huko bungeni.
Mimi sitagombea, ila najipa jukumu la kuwa Mshauri wa Wagombea wote popote walipo. Ningetamani tuwe na Wabunge wenye Weledi, Upeo wa juu, Uchu wa maendeleo, Wazalendo, Wenye mikakati madhubuti ya kuitoa nchi hapa kwenda mbele zaidi..!
 
Mimi sitagombea, ila najipa jukumu la kuwa Mshauri wa Wagombea wote popote walipo. Ningetamani tuwe na Wabunge wenye Weledi, Upeo wa juu, Uchu wa maendeleo, Wazalendo, Wenye mikakati madhubuti ya kuitoa nchi hapa kwenda mbele zaidi..!
Unaanzisha ofisi ya kushauri wagombea ubunge?
 
Back
Top Bottom