Wa bwai Ndio watu gani??Wa bwai mbon siwaoni kwenye huu uzi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wa bwai Ndio watu gani??Wa bwai mbon siwaoni kwenye huu uzi
Tunaotoka mkoa wa MARA
Kwa neema za Mwenyezi MUNGU wanajamii forum wote mu wazima wa afya
Jamii forum ina watu tofauti tofauti kutoka sehemu mbalimbali hapa nchini
Leo naomba kwa wale wote tuliokaa ,tunaotoka au tunaoishi mkoa wa MARA tuambie ni changamoto gani unayokutana nayo kutoka kwa watu wa sehemu tofauti au uliyokutana nayo kwa sababu tu wewe ni kutoka mara (mkurya kama wengi wanavyodhani )
Au wewe ulipata changamoto gani kutoka kwa watu wa mara
......... Kuanza na mimi changamoto kubwa ni pale napojitambulisha kuwa ni mtu wa mara na mkurya watu kutamka hadharani kuwa Sisi wakurya ni KATILI na wanatuogopa huwa najisikia vibaya sana na sifa mbaya nyingne kama hizo
Karibu na wewe utwambie changamoto na ikiwezekana tuweze kubadirisha watu mitazamo yao kuhusu Sisi ::
Nb...si kila mtu kutoka mara ni mkurya
Ila mimi ni ndiyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa kiac upo sahihi.,ila hapo kwenye neno *ushamba* cyo,...kwa kweli wakurya tunaweza kuchukuliwa km washamba ndiyo ila changamoto kubwa huku ni kuwa *mwamko wa elimu kwa jamii nyingi za kikurya ni haba sana*,kwa7bu wazee wetu wengi na ndugu wengine hawakusoma,hata waliofanikiwa kwenda shule hawakuhitimu,wali-quit,nan wa kuwa inspire vijana ss!!?[emoji22] [emoji22] [emoji22] [emoji22]Wakurya achen wizi fanyen kazi
Vile vile achen kuzikimbia familia zenu na kukimbilia mikoa ya watu
Ukiangalia mkoa wa mara kwa sasa ndo mkoa masikin kuliko yote kanda ya ziwa, mkoa kwa sasa unazidiwa mbali sana na mikoa mipya ya usukuman kama geita na simiyu pia inazidiwa mbali sana na wilaya za kahama na maswa
Wakurya badiliken kuwen na akili achen ushamba
Sent using Jamii Forums mobile app
Wa bwai ndiyo akina nani tena???Wa bwai mbon siwaoni kwenye huu uzi
R I P chacha zakayo wangwe. RASTAR.I.P Chacha wangwe !hii mashine ingekuwepo ndo ungeona namna tunavowaowaga mananga
acha uongo
Asili yetu Huyo hataki mchezoTehetehetehe mkuu kwa ujibuji huyo wewe kweli wa nyumbani
Huyu ndo mkurya halali
Leta sifa za wanawake mkuuNimeishi Na wakurya mda mrefu sana!
Kwanza niwasifu kitu kimoja mna jali sana ndugu,
Ila MNA haya;
Ati mtoto akifeli shule au akiharibu chochote basi mwanaume anakuja kumgombeza mama nyumbani! Yaani utafikiri huyu mama alimtuma mtoto afeli......
*Kujifanya much know sana ! hapa Ndio mnameza rekodi!
*Wivu kwa wanawake wakati huo we mwanaume kutoka Na wanawake wengine basi Ndio unajiona wewe kidume!
*Kukeketa watoto wenu wa kike halafu mkifika mjini mnashoboka Na wanawake wa makabila mengine ambao hawajakeketwa Na kuona kama ulipotea vile kuoa aliyekeketwa!
[HASHTAG]#Nitaendelea[/HASHTAG]
nimrcheka labda walijua na wewe ni mnyama!Mimi nilizuru mkoa flani na kujitambulisha kuwa ninatokea Serengeti. Watu wale niliojitambulisha kwao wakawa wanashangaa na kuniuliza, "serengeti si ni hifadhi ya WANYAMA???!"
Ilibidi nichukue muda wa kutosha kuwafahamisha kuhusu wilaya yetu pendwa ya Serengeti.
sent from servant of God
Uongo ni upi hapo umeuona wewe?Hatuko poa sana kama unavodhani upoa wetu ni Kwa wageni siyo wenyeji!
acha uongo
Ni wapi hili halifanyiki chini ya jua mkuu. Hii ni asili ya binadamu woteeeeMimi nipo Mgango huku Musoma vijijini. Changamoto kubwa ninayoiona huku ni watu kuchukuliana wake. Unakuta mama mtu mzima ameacha familia kwake anatoka na kijana mdogo tu haooo hadi gesti. Sasa sijui huko wanafanya nini labda wanabadilishana mawazo ya kimaisha ila akili yangu inanituma kuhisi wanabambiana
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli mkuu, tukio likitokea mara hata kama ni mtu kampiga mke wake hadi kupoteza fahamu litaripotiwa vyombo vyote vya habari ila likitokea tanga hauwezi kuskia.Mkuu watu wanaishi kwa mazoea na jambo likitokea mara linakuzwa sana tofauti na uharisia kabisa.
Na ukijaribu kuwambia ukweli watu wanaona unawadanganya
Sent using Jamii Forums mobile app