Tunaotoka mkoa wa mkoa wa MARA njoo hapa


Na visu vyenu?
 
Kwa kiac upo sahihi.,ila hapo kwenye neno *ushamba* cyo,...kwa kweli wakurya tunaweza kuchukuliwa km washamba ndiyo ila changamoto kubwa huku ni kuwa *mwamko wa elimu kwa jamii nyingi za kikurya ni haba sana*,kwa7bu wazee wetu wengi na ndugu wengine hawakusoma,hata waliofanikiwa kwenda shule hawakuhitimu,wali-quit,nan wa kuwa inspire vijana ss!!?[emoji22] [emoji22] [emoji22] [emoji22]

Kuryan boy
From,Nyamwaqa.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Leta sifa za wanawake mkuu
 
Mie Mzanaki,kila nikijitambusha kuwa mi ni mzanaki bado huwa wananiita Mkurya ingawa Mama yangu ni Mkurya na mama yake mama ni Mjaluo!-kiufupi uzao wangu umetokana na makabila halisi ya mkoa wa mara.
Kwa kweli huku nilipo sifa moja kubwa ni kuwa Naogopeka hata mtu akija kuongea nami anongea kwa step
 
nimrcheka labda walijua na wewe ni mnyama!
 
Ni wapi hili halifanyiki chini ya jua mkuu. Hii ni asili ya binadamu woteeee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbe uzi huu ni wa Wakurya na si wa wana Mkoa wa Mara wote? Naomba msaada wenu wana Mara mliopo humu hivi kuna tofauti yoyote kati ya Wakurya na Wazanaki? Huku Kwetu nchini Rwanda Wazanaki wanakubalika na wanasifika sana hadi nashangaa wakati kiuhalisia Mkoa wa Mara umekuwa dominated hasa na Wakurya. Nitashukuru nikielimishwa juu ya hili ili nami niweze kuwaelimisha Wanyarwanda wenzangu hapa Mkoani Kwangu ninapoishi Gisenyi.
 
Mkuu watu wanaishi kwa mazoea na jambo likitokea mara linakuzwa sana tofauti na uharisia kabisa.

Na ukijaribu kuwambia ukweli watu wanaona unawadanganya

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli mkuu, tukio likitokea mara hata kama ni mtu kampiga mke wake hadi kupoteza fahamu litaripotiwa vyombo vyote vya habari ila likitokea tanga hauwezi kuskia.

sent from tekno ya shilingi elfu saba na mia tano.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…