Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nyumba ipo KIBEBERU mkuu, yaani ukishapita nyangasa unakutana na njia kama za kwenda PANDE...Mhh 4bedrooms for just 170k per month?
Okay eneo hilo sipajui vzuri nimekuwa suprised na bei iko chini sana. Itakuwa ni mbali kiasi.nyumba ipo KIBEBERU mkuu, yaani ukishapita nyangasa unakutana na njia kama za kwenda PANDE...
unaweza weka location yake ? kwa google itapendezaAvailable
Hii kitu imemsumbua sana mjomba wangu...kanunua nyumba maeneo ya Boko hailaliki kabisa.Wauzaji wa nyumba wangelikuwa wanatupatia walau siku Tatu kulala ili tujiridhishe kama hakuna mauzauza pindi tutakaponunua nyumba hizo.
Hizo zipo Chamazi na ChanikaHIZI NYUMBA HIZI SINA HELA NINGEKUA NAYO NINGENUNUA ILA KWA DAR KUEN MAKIN UNAWEZA KUTA MFUKO MMOJA ZILIKUA ZINATOKA TOFALI 75 lain zaid ya biskuti mzeee
Poleni sana.Hii kitu imemsumbua sana mjomba wangu...kanunua nyumba maeneo ya Boko hailaliki kabisa.
Maelezo yako kwa upande mmoja ni sahihi lakini umakini ni zaidi kwa nyumba mpya lakini sio kama hiyo ambayo imetumika. Kwa nyumba kama hiyo unajua kabisa mwenyewe alijenga ili afanye makazi yake kwahiyo haiwezi kuwa mjinga kiasi hicho. Lakini zile mpya ambazo zinapatikana sana Chamanzi, zile ndo unatakiwa kuwa makini zaidi kwa sababu wale jamaa wanajenga ili wauze, na ili ku-maximize profit, wanabana malighafi za ujenzi.HIZI NYUMBA HIZI SINA HELA NINGEKUA NAYO NINGENUNUA ILA KWA DAR KUEN MAKIN UNAWEZA KUTA MFUKO MMOJA ZILIKUA ZINATOKA TOFALI 75 lain zaid ya biskuti mzeee
Mauzauza yanawezakusogeza mbele muda wa kuanza mashindano ya CHANWauzaji wa nyumba wangelikuwa wanatupatia walau siku Tatu kulala ili tujiridhishe kama hakuna mauzauza pindi tutakaponunua nyumba hizo.
hahhahahahahaMauzauza yanawezakusogeza mbele muda wa kuanza mashindano ya CHAN
Hii kitu imemsumbua sana mjomba wangu...kanunua nyumba maeneo ya Boko hailaliki kabisa.
Duh kibamba ni kijijini kwa hiyo kibaha si itakuwa ndio sijui nn. Kibamba ni km 5 kutoka stendi mpya ya mbezi sio kijijiniSidhan kama dar kuna kijijini mkuu, ninavyojua ni kuwa kuna nje ya mji mfano, CHANIKA, chamazi, Kibamba etc.
Na kitunda ni KM 8 kutoka Airport hivyo na kwenyewe sio kijijini.Duh kibamba ni kijijini kwa hiyo kibaha si itakuwa ndio sijui nn. Kibamba ni km 5 kutoka stendi mpya ya mbezi sio kijijini
Duh kibamba ni kijijini kwa hiyo kibaha si itakuwa ndio sijui nn. Kibamba ni km 5 kutoka stendi mpya ya mbezi sio kijijini