House4Rent Tunapangiasha na kuuza Nyumba na majengo Tanzania

House4Rent Tunapangiasha na kuuza Nyumba na majengo Tanzania

Asee dili nililokua nalitegemea limeota mbawa.
 
Nyumba inapatikana kitunda Relini 5km kutoka Airport
Kutoka lami ni dakika 3 (kwa mwendo wa mguu)
Ina chumba kimoja ambacho ni self-contained.
Ina seating room
Open kitchen
Full ac
Wapangaji wawili tu.
( kutoka posta/kivukoni, gerezani (k.koo), mnazi mmoja, machinga complex kwa usafiri wa daladala ni gari moja unapanda.

KODI NI tsh 200,000/ (kwa mwezi)
Malipo ni kuanzia miezi mitatu.

Mawasiliano: 0785 857564


IMG-20200923-WA0027.jpeg
View attachment 1579760
IMG-20200923-WA0020.jpeg
IMG-20200923-WA0029.jpeg
IMG-20200923-WA0031.jpeg
 
Nyumba inapatikana kitunda Relini 5km kutoka Airport
Kutoka lami ni dakika 3 (kwa mwendo wa mguu)
Ina chumba kimoja ambacho ni self-contained.
Ina seating room
Open kitchen
Full ac
Wapangaji wawili tu.
( kutoka posta/kivukoni, gerezani (k.koo), mnazi mmoja, machinga complex kwa usafiri wa daladala ni gari moja unapanda.

KODI NI tsh 200,000/ (kwa mwezi)
Malipo ni kuanzia miezi mitatu.

Mawasiliano: 0785 857564


Masha Allah
Ni nzuri kiasi chake
 
Habari za majukumu wanajukwaa
Nyumba ina vyumba vinne
Ina seating room pamoja na dinning room
Ina public toilet.
Full tiles, gypsum
Ina feni vyumba vyote.
Maji + umeme √
Car parking √
Location: nyumba ipo kitunda (Kibeberu)
Kodi imepungua kutoka 200k hadi 180k
Malipo ni kuanzia miezi 3+
Umbali kutoka stand ya daladala ni dakika 2-3

Kwa mhitaji tuwasiliane: 0785 857564




View attachment 1681638
tapatalk_1611117996066.jpeg
tapatalk_1611117999097.jpeg
tapatalk_1611118001096.jpeg
tapatalk_1611118025816.jpeg
tapatalk_1611118028671.jpeg
tapatalk_1611118034998.jpeg
tapatalk_1611118038175.jpeg
 
Habari za majukumu wanajukwaa
Nyumba ina vyumba vinne
Ina seating room pamoja na dinning room
Ina public toilet.
Full tiles, gypsum
Ina feni vyumba vyote.
Maji + umeme √
Car parking √
Location: nyumba ipo kitunda (Kibeberu)
Kodi imepungua kutoka 200k hadi 170k
Malipo ni kuanzia miezi 3+
Umbali kutoka stand ya daladala ni dakika 2-3

Kwa mhitaji tuwasiliane: 0785 857564




View attachment 1681638View attachment 1681639View attachment 1681640View attachment 1681641View attachment 1681642View attachment 1681643View attachment 1681644
Toa location
 
Ngoja nijitafakari ntakutafuta,ila kwanza ni lazima nipate historia yake kwa majirani kabla sijafanya maamuzi magumu ya kuichukua...
 
Nyumba imeshuka bei kutoka 50m hadi 45m

Maelezo:
Nyumba inapatikana Kitunda (manispaa ya Ilala)
Umbali wa km 7 kutoka airport.
Nyumba ina vyumba vitatu vya kulala

Sebule, jiko, store, na choo cha ndani.
Maji na umeme vipo tayari
Nyumba ipo ndani ya fensi
Nyumba ya pili kutoka Barabara ya mtaa.

NYUMBA: Ina leseni ya makazi na eneo limesharasimishwa tayari (beacon zimeshapandikizwa)
Bei: 45m

More information: 0785 857564




View attachment 1511599View attachment 1511600View attachment 1511601View attachment 1511602View attachment 1511603View attachment 1511605View attachment 1511606View attachment 1511608
Hii nyumba bado ipo boss?
 
Back
Top Bottom