House4Rent Tunapangiasha na kuuza Nyumba na majengo Tanzania

House4Rent Tunapangiasha na kuuza Nyumba na majengo Tanzania

Habari wana jukwaa.
Nyumba inapatikana Mwanagati (Kitunda)
Kutoka airport ni km 8 na kutoka banana ni km 5.
Nyumba inajitegemea kwa kila kitu.
Ina vyumba viwili vya kulala (master bedroom inclusive), kitchen, seating room & public toilet.
Ina tiles, gypsums, slides windows.
Ipo ndani ya fensi.
Kodi kwa mwezi tzs 200,000/

MAWASILIANO: 0785 857564

N.B kwa wale wanaohitaji viwanja vilivyopimwa (full tittled) maeneo ya mwanagati, tuwasiliane.
Viwanja vinanzia 20m, 25, 35m+ (kulingana na ukubwa wa kiwanja.



IMG_20200414_103434.jpeg
IMG_20200414_105638.jpeg
IMG_20200414_105600.jpeg
IMG_20200414_104917.jpeg
IMG_20200414_104927.jpeg
IMG_20200414_104907.jpeg
IMG_20200414_104903.jpeg
IMG_20200414_104934.jpeg
IMG_20200414_105218.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inatakiwa kodi ya mieźi mingapi??

sent using Simenzi mayai
 
Hiyo nyumba bei yake ni halisi na wala siyo kubwa. Sema watu hawana hela!!

Bei ya Kiwanja cha ukubwa wa mita za mraba 1005

Bei ya matofali yaliyojengea

Bei ya mabati na uezekaji

Bei ya Tiles

Bei ya Madirisha na milango

Bei ya Gypsum Boards

Gharama za ujenzi
Kama ulicho comment ndio ufahahamu wako basi unasafari ndefu sana kwenye maisha yako.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nilicho gundua wengi humu ni watoto sana, wanaposti ujinga ujinga cause ni kula kulala
 
Ukipata mteja wa 25M usiache chukua na usigeuke nyuma.Otherwise utakuja kuuza kwa 15M huko mbeleni.
umewahi kujenga au kusimamia ujenzi kwa gharama zako? Kama ungekuwa umewahi usingelisema hilo maana hiyo ni bei ya kujengea hiyo nyumba
 
Njoo home nikuoneshe mijengo ninayomiliki.Mm sio kula kulala aisee.
umewahi kujenga au kusimamia ujenzi kwa gharama zako? Kama ungekuwa umewahi usingelisema hilo maana hiyo ni bei ya kujengea hiyo nyumba
 
Wasalaam!

Huku tukiendelea kupambana na kuchukua tahadhari dhidi ya ugonjwa wa corona;
Nyumba inapatikana kivule (Matembele ya pili).
Kutoka lami mpya ni 1.3km
Nyumba ina vyumba vitatu kimoja ni self contained.
(Jiko, sebule, public toilet)
Nyumba ina angalia barabara ya mtaa.
Pia kuna nyumba ndogo ya vyumba vitatu ambayo haijakamilika.
Ukubwa wa eneo ni sqm 2000
(Meter 50*40)
Bei: 50m
Mobile: 0785 857564


IMG_20200604_095335.jpeg
IMG_20200604_095322.jpeg
IMG_20200604_095249.jpeg
IMG_20200604_093921.jpeg
IMG_20200604_093845.jpeg
IMG_20200604_093853.jpeg
IMG_20200604_093639.jpeg
IMG_20200604_093643.jpeg
IMG_20200604_093649.jpeg
 
Nakushauri, fanya utafiti wa bei halisi (au elekezi) za eneo husika, ili tangazo lako lisipuuzwe.

Niko mwenyeji ya maeneo hayo, kitunda, kivule, kibeberu, mwanagati n.k ningeshauri, fanya mapitio ya bei ili angalau tuweze kujadili.

Nina mtu yuko na nia ya kupata maeneo ya huko na bei yako ukilinganisha na maeneo mengine ambayo ni mazuri na makubwa, haiwiani.

Nb; Ni ushsauri tu.
 
Njoo home nikuoneshe mijengo ninayomiliki.Mm sio kula kulala aisee.
Umenikumbusha kipindi nasoma, nilikuwa nimepanga geto ubungo, basi mwenye nyumba akinizingua namwambia hata sisi tuna majumba tena makubwa hiki chako ni stoo, twende kwetu nikakuoneshe...Kumbe kwetu hata jiko hatumiliki, tunakaa nyumba ya kupanga.
 
Pole sana!
Umenikumbusha kipindi nasoma, nilikuwa nimepanga geto ubungo, basi mwenye nyumba akinizingua namwambia hata sisi tuna majumba tena makubwa hiki chako ni stoo, twende kwetu nikakuoneshe...Kumbe kwetu hata jiko hatumiliki, tunakaa nyumba ya kupanga.
 
Nyumba imeshuka bei kutoka 50m hadi 45m

Maelezo:
Nyumba inapatikana Kitunda (manispaa ya Ilala)
Umbali wa km 7 kutoka airport.
Nyumba ina vyumba vitatu vya kulala

Sebule, jiko, store, na choo cha ndani.
Maji na umeme vipo tayari
Nyumba ipo ndani ya fensi
Nyumba ya pili kutoka Barabara ya mtaa.

NYUMBA: Ina leseni ya makazi na eneo limesharasimishwa tayari (beacon zimeshapandikizwa)
Bei: 45m

More information: 0785 857564




tapatalk_1584951989960.jpeg
tapatalk_1584951986279.jpeg
tapatalk_1584951982034.jpeg
tapatalk_1584951899606.jpeg
tapatalk_1584951877578.jpeg
tapatalk_1584951875344.jpeg
tapatalk_1584951892526.jpeg
tapatalk_1584951895126.jpeg
 
Back
Top Bottom