House4Rent Tunapangiasha na kuuza Nyumba na majengo Tanzania

House4Rent Tunapangiasha na kuuza Nyumba na majengo Tanzania

Kwa Kitunda niifahamuyo naomba ueleze vizuri nyumba inafikika kwa gari au inabidi nikapaki CCM? Pia mmiliki wa nyumba anaishi hapo? KM 5 from main Road si haba.
 
Nimeandika kutokana na mdororo wa uchumi uliopo kwa sasa,kama huna haraka ya pesa subiri gonjwa la Korona liishe,lakini kwa hali iliyopo ukiuza 55M njoo kwangu uchukue 1M ukanywe supu kujipongeza.
Kila la heri.
Kama ulicho comment ndio ufahahamu wako basi unasafari ndefu sana kwenye maisha yako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyumba iko kwenye mtaa, ni nyumba ya tatu kutoka barabarani, gari hata scania inaingia mpaka ndani. (Parking ya kutosha)
Kutoka main road ya nyerere ndio km 5.
Kutoka kitunda shule ni 1.5km

Sent using Jamii Forums mobile app
Asante ila hukajibu kuhusu alipo mmiliki. Pia kwa hali ya noti kwa sasa kuuza asset ya thamani kama nyumba na viwanja/mashamba ni mtihani sana. Hiyo nyumba yawezekana kweli ni 55m ila kumpata mteja si kazi ndogo.
 
Nyumba inapatikana PUGU
1km kutoka lami ya kwenda CHANIKA
NYUMBA ina vyumba vitatu (kimoja ni self-contained), jiko, sebule na sitting room
Wiring imeshafanyia na nguzo ya kuingiza umeme ndani ipo pembeni
Eneo la nyumba ni meter 14*10
Gari inafika hadi kibarazani. (Parking ndio hakuna

Bei: 15m

IMG_20200407_164828.jpeg
IMG_20200407_164814.jpeg
IMG_20200407_164652.jpeg
IMG_20200407_164810.jpeg
IMG_20200407_164604.jpeg
IMG_20200407_164404.jpeg
IMG_20200407_161753.jpeg

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tangazo zuri ila mkuu bei haijulikani sasa. Kichwa cha habari 15m ndani ya habari 16m.
 
Nyumba inapatikana PUGU
1km kutoka lami ya kwenda CHANIKA
NYUMBA ina vyumba vitatu (kimoja ni self-contained), jiko, sebule na sitting room
Wiring imeshafanyia na nguzo ya kuingiza umeme ndani ipo pembeni
Eneo la nyumba ni meter 14*10
Gari inafika hadi kibarazani. (Parking ndio hakuna)

Mawasiliano: 0785 857564

Bei: 15m


Sent using Jamii Forums mobile app
Ningenunua ila huko kuna ex wangu na sitapenda kumuona
 
kamwe usithubutu kununua nyumba iliyo karib na 'miwa', iyo ni creek moja matata sana
 
Back
Top Bottom