House4Rent Tunapangisha nyumba na kuuza viwanja pamoja na nyumba Mwanza

Show Game

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2023
Posts
316
Reaction score
1,099
Chumba na sebule inapangishwa KWA ELFU 25 TU.

IGOMA MTAA WA KAKEBE. UMEME NA MAJI VIPO.

DALALI 0683011003

 
Huyo msela anayepiga chabo hapo ndiye dalali au mwenye nyumba?

Anyway nimependa mjengo uko safi na mazingira "swafwi" na bei ni elekezi kabisa sina shaka hapo jirani kuna pusha na wale wadada zetu watoaji wa ile huduma yetu pendwa kwa bei chee.

Vipi huko Mwanza nikileta biashara yangu ya majeneza mzunguko wa pesa upo vizuri kuzidi huku Dodoma?
 
is this a dog talking?
 
size ya kiwanja: futi 20 kwa 20

Document zote zipo

Details:

Vyumba vitatu..

kimoja master bedroom...

SEBULE KUBWA SANA

Jiko

Choo cha ndani kama kawaida

Umeme na maji Vipo

Bei elekezi 9,500,000 Tsh.
(mazungumzo kidogo yapo)

IGOMA MTAA WA KILIMO B

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…