Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe unayeendelea kusoma comment shikilia hicho unachotaka kusema. Kiishie hukohuko😂
Nimeshindwa kushikilia aisee!!Wewe unayeendelea kusoma comment shikilia hicho unachotaka kusema. Kiishie hukohuko😂
Ukorofi huu jiraniNimeshindwa kushikilia aisee!!
Nyumba ukuta una fangasi balaa, kwanza waifanyie ukarabati 😂😂😂
Nilijua tu watu kama nyinyi hamuwezi kosekana, ona sasa ushasema😂😂Nimeshindwa kushikilia aisee!!
Nyumba ukuta una fangasi balaa, kwanza waifanyie ukarabati 😂😂😂
🤣🤣🤣🤣Nilijua tu watu kama nyinyi hamuwezi kosekana, ona sasa ushasema😂😂
Nani wa kutoa laki tano kwa mwezi kwa mjumba km huo.?? 😂😂😂Ukorofi huu jirani
Wewe apo jiraniNani wa kutoa laki tano kwa mwezi kwa mjumba km huo.?? 😂😂😂
Mi nna mjengo wangu bonyokwa 🤣🤣🤣Wewe apo jirani
Picha tafadhaliMi nna mjengo wangu bonyokwa 🤣🤣🤣
Ukisikia mbezi beach 😄Wewe unayeendelea kusoma comment shikilia hicho unachotaka kusema. Kiishie hukohuko😂
Lakini bado itabaki hadhi ya mkoa wa Dar. Au labda tusema wanaokaa upande wa pili wa barabara tuite wao wako Mbezi bara😂😂Ukisikia mbezi beach 😄
Hivi kwann wale ambao nyumba zao zipo ndani ya KM 2 angalau ndio wachukuliwe kwamba wanakaa maeneo ya beach
unauziwa lokwesheni ya mbez bee kwa laki 5Nani wa kutoa laki tano kwa mwezi kwa mjumba km huo.?? 😂😂😂
Wee jamaaa una akili mingi sanaaa 🤣🤣🤣Wewe unayeendelea kusoma comment shikilia hicho unachotaka kusema. Kiishie hukohuko😂