ππππ Yani hapo kwasababu iko mbezi beachunauziwa lokwesheni ya mbez bee kwa laki 5
ndugu yangu ktk imani ya chura na migubegube iliyoshindikana umepotea sanaWee jamaaa una akili mingi sanaaa π€£π€£π€£
wapuzi hawaππππ Yani hapo kwasababu iko mbezi beach
Kuna watu wanakuambia wanakaa beach lkn ukiangalia utofauti wa umbali inakuwa haina hata maanaLakini bado itabaki hadhi ya mkoa wa Dar. Au labda tusema wanaokaa upande wa pili wa barabara tuite wao wako Mbezi baraππ
Mkuu inatoshaNimeshindwa kushikilia aisee!!
Nyumba ukuta una fangasi balaa, kwanza waifanyie ukarabati πππ
π€£π€£π€£π€£Mkuu inatosha
View attachment 2896081
Umbali gani kutoka baharini?NYUMBA VYUMBA 3
@MBEZIBEACH_BagamoyoRoad_Umbali dakika 3 kutembea Kutoka Kituoni
Bei_ Tshs 500,000 Γ 6
Call _ 0716442950
Vyumba 3 vya kulala 1master bedroom
Sebule kubwa,Jiko, ChooPublic Ndani.
Sliding window
Maji ndani
Luku yako
Fensi ipo
Parking space
Pavement inawekwa
--------
Service charge 15,000/=
Kodi 500,000/=Γ6
----------
Contact - 0716442950View attachment 2896033View attachment 2896034View attachment 2896035View attachment 2896036View attachment 2896037
πͺUmbali gani kutoka baharini?
Hivi Mbezi beach, masaki na Osterbay ndo wanakaa wakishua?Dar jmn ni jiji la hovyo.
Ndio room gani hiyo jijini tena Mbezi beach?
Dirisha la wavu aah
Hizi njaaa sasaBei - Tshs 7,000,000/=
Simu - 0716442950
Ukubwa Mita 20 Γ 6.
Hakina mgogoro, Document za Serikali ya mtaa zipo.
View attachment 2898470