Tunapaswa kuhamia kwenye nishati safi, haya mambo yote yanawezekana wewe ukikubali

Tunapaswa kuhamia kwenye nishati safi, haya mambo yote yanawezekana wewe ukikubali

Meneja Wa Makampuni

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2020
Posts
7,899
Reaction score
10,415
Kiuhalisia nishati safi ni nafuu kuliko kuni na mkaa. Gharama tunayonunulia mkaa na kuni siyo halisi. Hiyo siyo bei yake halisi. Gharama za kuukuza mti ni kubwa kuliko hiyo bei tunayonunulia.

Lakini pia bei ya mkaa na kuni hailingani na athari za ukame tutakazolipia huko mbele na tunazolipia sasa. Gharama ya kuni na mkaa hailingani na athari za ongezeko la joto tutakazolipia huko mbele.

Miti itaisha, tutakosa hewa safi. Tutasababisha ukame. Umeme utakatika kwa mabwawa yetu kupungua maji. Mifugo na wanyama pori watakufa kwa kukosa malisho na maji.

Hizo zote ni gharama tutakazolipia kwa kukata miti na misitu yetu kwaajili ya mkaa. Hiyo miti itaisha kama tusipo amua kuchukua hatua leo.

Kwa kumalizia tu: Miti ndiyo inatengeneza hewa ya oxygen. Miti ndiyo inayofyonza hewa ya ukaa. Tunapohamia kwenye nishati safi tunalinda miti yetu na misitu yetu.

Tunapaswa kuhamia kwenye nishati safi, haya mambo yote yanawezekana wewe ukikubali.
 
Kiuhalisia Nishati safi ni nafuu kuliko kuni na mkaa

Gharama tunayonunulia mkaa na kuni sio halisi. Hiyo sio bei yake halisi. Gharama za kuukuza mti ni kubwa kuliko hiyo bei tunayonunulia.

Lakini pia bei ya mkaa na kuni hailingani na athari za ukame tutakazolipia huko mbele na tunazolipia sasa. Gharama ya kuni na mkaa hailingani na athari za ongezeko la joto tutakazolipia huko mbele.

Miti itaisha, tutakosa hewa safi. Tutasababisha ukame. Umeme utakatika kwa mabwawa yetu kupungua maji. Mifugo na wanyama poli watakufa kwa kukosa malisho na maji.

Hizo zote ni gharama tutakazolipia kwa kukata miti na misitu yetu kwaajili ya mkaa.

Hiyo miti itaisha kama tusipo amua kuchukua hatua leo.

Kwa kumalizia tu: Miti ndio inatengeneza hewa ya oxygen. Miti ndio inayofyonza hewa ya ukaa.

Tunapohamia kwenye nishati safi tunalinda miti yetu na misitu yetu.

Tunapaswa kuhamia kwenye nishati safi haya mambo yote yanawezekana wewe ukikubali
Nbona umeshikwa kigugumizi kutaja hiyo gesi ya Bwana wenu Rostam?

Acheni ubabaishaji nyie,kumbukeni kifo cha fedheha cha Gaddafi!
 
Nishant chafu yenyewe hatuwezi kuafford ..utawezi safi
hizi ni porojo za majukwani.kimtungi kidogo cha gesi ni 60,000,gesi 25,000 jumla ni 85,000.hicho kimtungi unapikia siku 10 tu kimeisha na utahiji tena 25,000.kwa akili za kawaida tu tuachane na vijijini humu mjini tu ni wangapi wana afford ?
je ni asilimia ngapi ya wakazi wa mjini wanatumia gesi?twende vijijini ni wangapi wenye uwezo wa kujaza gesi hiyo mitungi.watu wameshindwa kujenga nyumba bora,wanaishi kwenye matembe yaliyoezekwa kwa nyasi leo hii unamwambia aache kutumia au kuni mkaa!ni kweli inawezekana?tunaposhiba tusikufuru wengine,pia tusiwaone wengine kama hawana akili wakati matatizo hayo yote yanatengenezwa na wanasiasa.hizi promo za kupigia debe makampuni ya mafisadi na makuwadi wa siasa hayattufikisha mbali mbali yanazidi kutengeneza matatizo mengine makubwa.
 
Kiuhalisia nishati safi ni nafuu kuliko kuni na mkaa. Gharama tunayonunulia mkaa na kuni siyo halisi. Hiyo siyo bei yake halisi. Gharama za kuukuza mti ni kubwa kuliko hiyo bei tunayonunulia.

Lakini pia bei ya mkaa na kuni hailingani na athari za ukame tutakazolipia huko mbele na tunazolipia sasa. Gharama ya kuni na mkaa hailingani na athari za ongezeko la joto tutakazolipia huko mbele.

Miti itaisha, tutakosa hewa safi. Tutasababisha ukame. Umeme utakatika kwa mabwawa yetu kupungua maji. Mifugo na wanyama pori watakufa kwa kukosa malisho na maji.

Hizo zote ni gharama tutakazolipia kwa kukata miti na misitu yetu kwaajili ya mkaa. Hiyo miti itaisha kama tusipo amua kuchukua hatua leo.

Kwa kumalizia tu: Miti ndiyo inatengeneza hewa ya oxygen. Miti ndiyo inayofyonza hewa ya ukaa. Tunapohamia kwenye nishati safi tunalinda miti yetu na misitu yetu.

Tunapaswa kuhamia kwenye nishati safi, haya mambo yote yanawezekana wewe ukikubali.

Mnakuja kupigia debe gas ya Rostam kwa kujifanya mna nia njema, kumbe lengo lenu ni kupata hela za kuhonga kwenye uchaguzi ili mtangazwe washindi.
 
Back
Top Bottom