KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,794
- 9,075
Hivi nimejaribu kufuatilia kwa ukaribu ndani ya jamii yetu kwenye vyombo vya habari nikakuta stori ni ileile!!Najivunia kwangu tukio hilo halijanikuta!
Nauliza kwanini inapotokea umemchoka mwenziyo (G/friend,B/friend)Huwezi kumtamkia wazi bwanae mimi nawewe basi!??Nilazima umtafutie visa hambavyo humpelekea yeye kumuumiza roho kwani yeye huwa bado yupo kwenye penzi!!Nawengini wamejitoa roho kwa sababu hizo nambaya zaidi wanawake wakichoka hutesa sana kwani unaweza kumpigia simu hata hapokei!!Bila kujali kiasi gani unampenda!!au akakuaidi ukutane naye mahali lakini hasitokee nabaadae mkikutana anakwambia habari zisizo kuwa na msingi!!Nini haswa inakuwa hivi??:shocked::confused2:
Nauliza kwanini inapotokea umemchoka mwenziyo (G/friend,B/friend)Huwezi kumtamkia wazi bwanae mimi nawewe basi!??Nilazima umtafutie visa hambavyo humpelekea yeye kumuumiza roho kwani yeye huwa bado yupo kwenye penzi!!Nawengini wamejitoa roho kwa sababu hizo nambaya zaidi wanawake wakichoka hutesa sana kwani unaweza kumpigia simu hata hapokei!!Bila kujali kiasi gani unampenda!!au akakuaidi ukutane naye mahali lakini hasitokee nabaadae mkikutana anakwambia habari zisizo kuwa na msingi!!Nini haswa inakuwa hivi??:shocked::confused2: