Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Kama hadi askari wanakata mauno kwenye kampeni za ccm kama yule marehemu we wadhani niniKabla ya uteuzi, alirudisha kadi ya CCM?
Utumishi wa umma na ukada wapi na wapi?
Kama hadi askari wanakata mauno kwenye kampeni za ccm kama yule marehemu we wadhani nini
Huyu Mwamba ndiye alisababisha Maandamano Feb 16 , 2018 Kinondoni baada ya kukimbia Ofisi bila kuwapa Mawakala wa Upinzani barua za Utambulisho kwenye vituo vya uchaguzi.Huyu hapa ni miongoni mwa Wasimamizi wa Uchaguzi wa Tanzania , sasa hata kama wewe ni kipofu wa Ubongo unadhani huyu anaweza kutenda haki yoyote ?
View attachment 2931499
Ndio maana Chadema na Wapenda haki wengine wameamua kukinukisha kwa wiki nzima Nchi nzima na Duniani kote .
Hifadhi tarehe hii .
View attachment 2931501
Katika unyama ule alishirikiana na Paulo Makonda na Lazaro MambosasaHuyu Mwamba ndiye alisababisha Maandamano Feb 16 , 2018 Kinondoni baada ya kukimbia Ofisi bila kuwapa Mawakala wa Upinzani barua za Utambulisho kwenye vituo vya uchaguzi.
Kitendo kile kilipelekea madhara makubwa yaliyosababisha Kifo cha Mwanafunzi wa Chuo cha Usafirishaji NIT Aquillina Aquiline.
YupoYupo ama ameshakufa. ? Maana Covid 19 iliwazabua wengi sana tukakosa rekodi.
Siyo kwa TanzaniaMteuliwa katika mtumishi wa umma anazuiwa na sheria kushabikia chama cha siasa. Akikubali uteuzi huo hana namna nyingine zaidi ya kutii sheria.
Ila mbinu zao ni za kishamba sanaCCM hawako serious na maisha ya watanzania, bali wako serious kuhakikisha wanabaki madarakani.
Mbowe keshatoa amri mgombee ngazi zote, unampinga.,?Huyu hapa ni miongoni mwa Wasimamizi wa Uchaguzi wa Tanzania , sasa hata kama wewe ni kipofu wa Ubongo unadhani huyu anaweza kutenda haki yoyote ?
View attachment 2931499
Ndio maana Chadema na Wapenda haki wengine wameamua kukinukisha kwa wiki nzima Nchi nzima na Duniani kote .
Hifadhi tarehe hii .
View attachment 2931501
Pamoja na hayo lakini ni muhimu uchaguzi uwe huru na wa haki ili kuepusha maafa , Wananchi wamejiapiza kwamba hawatokubali dhulumaM
Mbowe keshatoa amri mgombee ngazi zote, unampinga.,?
Je Ushahidi upo?Katika unyama ule alishirikiana na Paulo Makonda na Lazaro Mambosasa
Wa wazi kuliko hata Jua la kiangaziJe Ushahidi upo?
Hahaaa jamaa na hilo alikuwemo pia?Wa wazi kuliko hata Jua la kiangazi
Tutaikatisha tu watake wasitakeBado safari ndefu sana