Uchaguzi 2020 Tunapoelekea vituo vya mafuta navyo vitapigwa stop kumjazia mafuta

Uchaguzi 2020 Tunapoelekea vituo vya mafuta navyo vitapigwa stop kumjazia mafuta

Kufuatia vikwazo mbalimbali anavyowekewa mgombea urais wa chama cha CHADEMA ndugu Tundu lisu na serikali ya ccm ili ashindwe kufanya kampeni zake vizuri, upo uwezekano wa vituo vya mafuta kupewa maelekezo kuacha kuweka mafuta kwenye misafara ya TL.

TL amekuwa akitumia usafiri wa ardhini kutoka mkoa mmoja kwenda mkoa mwingine kwa shughuli ya kutafuta wadhamini, na kila anapofika mikoani hupokelewa na mamia kwa maelfu ya watu jambo linalo wakera ccm.

Kwahiyo njia ambayo wataona itaweza kumzuia au kumuongezea vikwazo ni kutoa maelekezo kwa vituo vya mafuta kuacha kutoa huduma hiyo kwa misafara ya mgombea huyo. Msishangae kuona hilo likitekerezwa labda waache baada ya kuona Uzi huu.

Ombi langu uongozi wa chadema uwe macho na makini juu ya mbinu hizi chafu za hawa nzi wa kijani kwani hawana hoja za msingi zaidi ya fujo.
Lissu kamuiga Magu kwa kutembelea usafiri wa ardhini, mutaiga sana mwaka huu.
 
Kwani lazima aende mwenyewe kuweka hayo mafuta? Wanachama kibao atawatuma labda wawanyanganye magari ya kusafiria
 
Nakimbia kupanda ndege... Muache atumie gari aoene maendeleo ya Mago toka waziri mapaka Rais.
Jana jioni Lisu kapokelewa Nwamboni Tanga na vijana watatu wa nne wa boda boda. This time lazima ajue kuwa wa Tz sio wale alio wadanganya kuwa anepigwa risasi na watu wasio julikana upande wa kulia ambao ndio upande dereva wake walikuwepo.
Mnàambiwa muache hizo bangi hamtaki kusikia. Kwa hiyo risasi zinachagua pa kuingilia. Very stupid indeed.
 
Kufuatia vikwazo mbalimbali anavyowekewa mgombea urais wa chama cha CHADEMA ndugu Tundu lisu na serikali ya ccm ili ashindwe kufanya kampeni zake vizuri, upo uwezekano wa vituo vya mafuta kupewa maelekezo kuacha kuweka mafuta kwenye misafara ya TL.

TL amekuwa akitumia usafiri wa ardhini kutoka mkoa mmoja kwenda mkoa mwingine kwa shughuli ya kutafuta wadhamini, na kila anapofika mikoani hupokelewa na mamia kwa maelfu ya watu jambo linalo wakera ccm.

Kwahiyo njia ambayo wataona itaweza kumzuia au kumuongezea vikwazo ni kutoa maelekezo kwa vituo vya mafuta kuacha kutoa huduma hiyo kwa misafara ya mgombea huyo. Msishangae kuona hilo likitekerezwa labda waache baada ya kuona Uzi huu.

Ombi langu uongozi wa chadema uwe macho na makini juu ya mbinu hizi chafu za hawa nzi wa kijani kwani hawana hoja za msingi zaidi ya fujo.
Hujaenda shule tu!?
 
Nakimbia kupanda ndege... Muache atumie gari aoene maendeleo ya Mago toka waziri mapaka Rais.
Jana jioni Lisu kapokelewa Nwamboni Tanga na vijana watatu wa nne wa boda boda. This time lazima ajue kuwa wa Tz sio wale alio wadanganya kuwa anepigwa risasi na watu wasio julikana upande wa kulia ambao ndio upande dereva wake walikuwepo.
Onesheni coverage yake ITV na Star TV ili wananchi washuhudie siyo hizi blaa blaah za keyboard
 
Kufuatia vikwazo mbalimbali anavyowekewa mgombea urais wa chama cha CHADEMA ndugu Tundu lisu na serikali ya ccm ili ashindwe kufanya kampeni zake vizuri, upo uwezekano wa vituo vya mafuta kupewa maelekezo kuacha kuweka mafuta kwenye misafara ya TL.

TL amekuwa akitumia usafiri wa ardhini kutoka mkoa mmoja kwenda mkoa mwingine kwa shughuli ya kutafuta wadhamini, na kila anapofika mikoani hupokelewa na mamia kwa maelfu ya watu jambo linalo wakera ccm.

Kwahiyo njia ambayo wataona itaweza kumzuia au kumuongezea vikwazo ni kutoa maelekezo kwa vituo vya mafuta kuacha kutoa huduma hiyo kwa misafara ya mgombea huyo. Msishangae kuona hilo likitekerezwa labda waache baada ya kuona Uzi huu.

Ombi langu uongozi wa chadema uwe macho na makini juu ya mbinu hizi chafu za hawa nzi wa kijani kwani hawana hoja za msingi zaidi ya fujo.
Matusi ya nini mkuu, ukiwa mtu mzima jifunze kuwa frexible, hoja yako haiwezi kupoteza maana, ukiiwasilisha bila matusi.
 
Nakimbia kupanda ndege... Muache atumie gari aoene maendeleo ya Mago toka waziri mapaka Rais.
Jana jioni Lisu kapokelewa Nwamboni Tanga na vijana watatu wa nne wa boda boda. This time lazima ajue kuwa wa Tz sio wale alio wadanganya kuwa anepigwa risasi na watu wasio julikana upande wa kulia ambao ndio upande dereva wake walikuwepo.
NDIO MAANA LEPOLEPO ANAWASHUSHA HADI BUKU BUKU!
 
Lissu kamuiga Magu kwa kutembelea usafiri wa ardhini, mutaiga sana mwaka huu.
Kwahiyo tangu tupate Uhuru nchi hii magu pekee ndiye aliye/ anayetumia usafiri wa ardhini, kweli kichwa unatunzia kamasi badala ya ubongo.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Tl ccm wasimkata NEC huko basi wajue ikulu lissu anaingia , ili kuokoa jahazi necccm wamkate
 
Lissu hana mpinzani lkulu ni yake. Huyo bwana Nyapara wa barabara tutampangia kazi nyingine ya kufanya kule Mahakama ya kimataifa ya Uharifu Uholanzi.
 
Tuna utawala wa kipumbavu sana, enzi za Nyerere watawala wa namna hii aliwaita WASHENZI NA WENDAWAZIMU. Kushindwa kuwajibika kwa serikali hii katika matukio ya kifedhuli yanayoendelea nchini, inamaana TANZANIA HATUNA SERIKALI. Bali kuna GENGE TU linalotawala kihuni na kihalifu, utawala wa namna hii SASA BASI.

MITANO YA MKONO WA CHUMA, INATOSHA...
 
Back
Top Bottom