Uchaguzi 2020 Tunapoelekea vituo vya mafuta navyo vitapigwa stop kumjazia mafuta

Wanahangaika bure zitatumika gari binafsi kuweka mafuta halafu gari zake zitawekewa mafuta Kama kawaida.
 
Great thinker@ubora wako
 
Mnàambiwa muache hizo bangi hamtaki kusikia. Kwa hiyo risasi zinachagua pa kuingilia. Very stupid indeed.
Kweli wewe Bange kweli, gari liwe na matundu upande wa kushoto ila mtu aumie upande wa kulia hii niakili au matopee.
 
Kweli wewe Bange kweli, gari liwe na matundu upande wa kushoto ila mtu aumie upande wa kulia hii niakili au matopee.
Wewe unahangaika bure kuitetea serikali kwenye hili sakata.
You're wasting your time to defend the indefensible. It was a state sponsored thuggery, only cretins, like you, can argue.
 
Wewe unahangaika bure kuitetea serikali kwenye hili sakata.
You're wasting your time to defend the indefensible. It was a state sponsored thuggery, only cretins, like you, can argue.
Basi kila mtu aamini anacho amini ili tuwe poa tusubiri 28/10/2020
 
Basi kila mtu aamini anacho amini ili tuwe poa tusubiri 28/10/2020
Hiyo October 28 haihusiani na jaribio la kutaka kumuua Lissu ukweli wa serikali kuhusika unabaki palepale.
 
Mungu Yupo Na TL, Alimponya na Risasi Ili Mipango Ya Kuing’oa CCM itimie...

Akikosa Mafuta Atapanda Hata Punda Ili Mipango Ya Mungu Itimie
hilo haliwezekani kwani si rahisi tu kuweka ya kwenye mapipa au kutembea na tank lake la mafuta na kujijazia atakapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…