Tunapofanya siasa na kuleta porojo za akina Majaliwa hatuwatendei haki wafiwa

Tunapofanya siasa na kuleta porojo za akina Majaliwa hatuwatendei haki wafiwa

Nyumisi

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2010
Posts
13,499
Reaction score
19,292
Wakuu, kwa kweli hii imekuwa too much. Kwa sasa baada ya ripoti kutoka sasa yamekuwa ni mabishano ya nani hasa aliyefungua mlango wa ndege.

Je, hii ina umuhimu gani kwenye kudai uwajibikaji ukizingatia ajali ile imepoteza uhai wa watu ambao wanategemewa na familia zao na jamii kiujumla.​
 
Back
Top Bottom