Tunapoichukulia poa Ebola hata kuiita majina yasiyojulikana ni hatari


Naomba kuuliza; somo la Biology na Chemistry ulipata pass gani Form Four?
Nimeona nianzie hapo nisijekuwa nabishana na mtu asiyekuwa hata na msingi wa Elimu husika.
Labda nikupe mfano rahisi; Typhoid ina dalili zinazofanana na ugonjwa wa malaria kama 85%
Kwa hiyo Mgonjwa akiwa na Typhoid, tuseme tu ana Malaria kwa sababu ndio watu wanaihitaji kusikia?
 
Duh[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Soma mada usirukie treni kwa mbele. Uswahilini hakuna google. Maisha yako uswahilini siyo kwenye google wala mitandaoni.

Rwanda on Marburg alert after Tanzania outbreak

Ebola-like Marburg virus kills five people in Tanzania
Nimesoma taarifa zote ulizoweka link sijaona mahali hao jamaa wamesema huu mlipuko uliotokea Bukoba ni Ebola siyo Marbug. Nimeona wote wamenukuu WHO wamesifia hatua zilizo chukuliwa na serikali ya Tanzania kudhibiti mlipuko.
Wamesema kumekuwa na uwazi katika hatua zote za kutambua aina ya ugonjwa na namna ya kudhibiti mlipuko.

Nashauri tusitoe hisia zetu bila ushahidi wa kisayansi au kitakwimu rasmi juu ya mambo nyeti kama haya.
 
Anachanganya ebola wana present Sawa na Marburg ingawa ebola ni more virulence

Cha muhimu mpe Elimu aelewe ndicho nlichofanya

Serikali haina sababu ya kuficha aisee kwamba Ile ni ebola no haina hio sababu kabisa

Especially Serikali hii ya sasa
Hapa sasa nimekuelewa.


Huyu Braza J analazimisha itangazwe kuwa ni Ebola ili kuwaconfuse watu..
Lengo lake ni kwenda tu kinyume na serikali bila kujali serikali ipo sawa au haipo sawa.
Serikali ikikaa upande huu,yeye anakaa huu.

Nadhani Braza angejikita tu kwenye mada nyingine ambazo ana utaalam nazo.
 
Naona upo na ndugu yako bichwa komwe[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nimeanza kusoma
Mpuuzi tu...

I love someone who challenges my brain kama mtoa Mada

Lakini sio mtu ameshiba maharage yake huko tandika anaanza kudharau watu Humu hio Hapana kwakweli [emoji23]
 
Yeye itakua kaona Serikali labda imeamua ifiche kitu( labda kutokana na historia ya Serikali iliyopita kuficha mambo ya corona) asichofahamu ni kwamba hauwezi kuficha sababu ukificha unaiweka Dunia nzima hatarini hata nchi za jirani unaziweka hatarini

Kwenye tafiti kama hizi za magonjwa kama haya WHO huwa makini Sana na wao pia hutuma wataalamu wao

Kuthibitisha hili ingawa bado sijaangalia ila nenda website ya WHO lazima washatoa tangazo kwamba Tanzania eneo flani Kuna Marburg watalii, wasafiri kuweni makini
 
Mimi nipo upande wa serikali ilichosema
Huyu brazaJ asitutoe kwenye reli🀣
Kama vipi atupe kwanza vipimo vyake
Na si kuguess tu anachotaka kwa kutumia mambo yaliyopita.
 
Kumbe magufulism bado inalitafuna taifa
Bado tupo tupo sana:

.. Neno taharuki lipo kazini tena
.. bila shaka vita vya kiuchumi ni vile vile
.. ID za msaada zimeanza kuchomoza
.. huu tunaambiwa jina jipya siyo Ebola kule tuliambiwa kalikuwa ka upepo
.. mabingwa wetu wa matango pori na nyungu hawajachomoza labda mitishamba ingali inatokota
.. taarifa kuhusiana na ugonjwa, ni nyara za serikali
.. nk nk.

Hali ndiyo hiyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…