Dunduka katika ubora wako.
Kibu 1:1-2 Walilia na kusujudu kwa kuchoshwa. Na hakika Kibu akapita katikakati yao wakisaga meno kwa kilio kikuu.
Nliwahi waambia wenzangu kwenye group letu la Wa Kimataifa kuwa sawa tunatoa bakshishi wapinzani wa Tz wawabanie sana Simba. Simba wapate ugumu. Hii inawanoa Simba sana. Simba wanapata ushindi kwa mbinde kila match kwao ngumu. Hapo wanajifunza mbinu mbalimbali.
Sisi kuna matches tukicheza tunajiamulia tuwapige ngapi wapinzani. Wanafungika kichovu sana na tunadhani tupo imara. Kumbe si kweli. Tunajidanganya wenyewe na akina Chama wazee, akina Dube Mchafukoge na Mzize hapati kash kash za ukweli.
Tunapokuja Kimataifa kwenye matches za ukweli. Acha zile za yule kocha wa Al Hilal fala ameamua kutugawia sisi na AS Vita furaha. Match ambayo tulicheza na AS Vita kiukweli ilikuwa ile ya Congo. Ile tulicheza kuwapasua kweli kweli
Leo Kocha wetu anaongea kimafumbo. Kuwa hatuna ligi ngumu. Why? Anajua kuwa ligi yetu ni ya kimagumashi.
View attachment 3206227
Yanga kupitia GSM ana uhakika wa pwenti zaidi ya 18 za mezani kila mzunguko wa ligi. Kifupi Yanga ana uhakika wa pwenti za bure zaidi ya 36.Muda utaongea, ligi ya NBC ni rahisi mno kwa Yanga ila sio kwa Simba kila mechi final..
Najua wenzangu hawatapenda hili i dont care wananiita mkia n.k lakini niliwaambia huo ndo ukweli na umelipa kwa wenzetu zaidi. Angalia matches zetu za kuamua matokeo na matches za Simba. Sisi tunafurahia kumpiga mtu 5 za kizembe tu inapofikia tunahitaji hata bao moja kama juzi hali inakuwa ngumu.Naunga mkono hoja wewe ni mmoja ya mashabiki wachache wa yanga wanaojitambua umeongea ukweli mtupu.
Mlicheza na AS Vita?Nliwahi waambia wenzangu kwenye group letu la Wa Kimataifa kuwa sawa tunatoa bakshishi wapinzani wa Tz wawabanie sana Simba. Simba wapate ugumu. Hii inawanoa Simba sana. Simba wanapata ushindi kwa mbinde kila match kwao ngumu. Hapo wanajifunza mbinu mbalimbali.
Sisi kuna matches tukicheza tunajiamulia tuwapige ngapi wapinzani. Wanafungika kichovu sana na tunadhani tupo imara. Kumbe si kweli. Tunajidanganya wenyewe na akina Chama wazee, akina Dube Mchafukoge na Mzize hapati kash kash za ukweli.
Tunapokuja Kimataifa kwenye matches za ukweli. Acha zile za yule kocha wa Al Hilal fala ameamua kutugawia sisi na AS Vita furaha. Match ambayo tulicheza na AS Vita kiukweli ilikuwa ile ya Congo. Ile tulicheza kuwapasua kweli kweli
Leo Kocha wetu anaongea kimafumbo. Kuwa hatuna ligi ngumu. Why? Anajua kuwa ligi yetu ni ya kimagumashi.
View attachment 3206227