Tunapomshangilia Tundu Lissu tusisahau kuwa hakujiandaa kuwa Mwenyekiti ila alikasirishwa tu na Wenje Kugombea Umakamu Mwenyekiti!

Tunapomshangilia Tundu Lissu tusisahau kuwa hakujiandaa kuwa Mwenyekiti ila alikasirishwa tu na Wenje Kugombea Umakamu Mwenyekiti!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Nimemaliza kuisoma Katiba ya Chadema na nimejiridhisha kuwa Chadema ina Mwenyekiti Mtendaji

Tundu Lisu hakujiandaa kuwa Mwenyekiti ila uchokozi uliofanywa na Wenje ndio ukamkasirisha akataka amuonyeshe YEYE ni nani

Natoa angalizo Kwa wanachadema kwamba itabidi muwe wavumilivu sana kama CCM ilivyomvumilia shujaa Magufuli Kwa sababu ilimsukumizia tu Kwenye uRais

Mchawi wa Chadema ni yule Jaluo na rafiki yake Mkikuyu wa Mafinga

Ahsanteni sana 😄
 
Nimemaliza kuisoma Katiba ya Chadema na nimejiridhisha kuwa Chadema ina Mwenyekiti Mtendaji

Tundu Lisu hakujiandaa kuwa Mwenyekiti ila uchokozi uliofanywa na Wenje ndio ukamkasirisha akataka amuonyeshe YEYE ni nani

Natoa angalizo Kwa wanachadema kwamba itabidi muwe wavumilivu sana kama CCM ilivyomvumilia shujaa Magufuli Kwa sababu ilimsukumizia tu Kwenye uRais

Mchawi wa Chadema ni yule Jaluo na rafiki yake Mkikuyu wa Mafinga

Ahsanteni sana 😄

TLP in the making.
 
Nimemaliza kuisoma Katiba ya Chadema na nimejiridhisha kuwa Chadema ina Mwenyekiti Mtendaji

Tundu Lisu hakujiandaa kuwa Mwenyekiti ila uchokozi uliofanywa na Wenje ndio ukamkasirisha akataka amuonyeshe YEYE ni nani

Natoa angalizo Kwa wanachadema kwamba itabidi muwe wavumilivu sana kama CCM ilivyomvumilia shujaa Magufuli Kwa sababu ilimsukumizia tu Kwenye uRais

Mchawi wa Chadema ni yule Jaluo na rafiki yake Mkikuyu wa Mafinga

Ahsanteni sana 😄
[/QUOTE
Lack of objectivity and particularlity 😅😅😅😅😅🤣🤣🤣🤔🤔🚴🚴🚴
 
Nimemaliza kuisoma Katiba ya Chadema na nimejiridhisha kuwa Chadema ina Mwenyekiti Mtendaji

Tundu Lisu hakujiandaa kuwa Mwenyekiti ila uchokozi uliofanywa na Wenje ndio ukamkasirisha akataka amuonyeshe YEYE ni nani

Natoa angalizo Kwa wanachadema kwamba itabidi muwe wavumilivu sana kama CCM ilivyomvumilia shujaa Magufuli Kwa sababu ilimsukumizia tu Kwenye uRais

Mchawi wa Chadema ni yule Jaluo na rafiki yake Mkikuyu wa Mafinga

Ahsanteni sana 😄
Mashine ya umbea umeanza
 
Si mlisema hashindi uenyekiti Chadema? Kiko wapi?

Endeleeni na ramli zenu tu zisizotimia. Kaeni tu mkijua huyo Mungu hakumponya risasi zenu 36 kwa bahati mbaya.

Mungu ana kusudi nae na anaweza kuja kuwa Rais wa JMT ukaja kuchanganyikiwa kabisa.

Tulikuwa tunawapa caution wajumbe ,acha waione NGONDOIGWA chama kikimfia mikononi mwake.
 
Magufuli aliwahi kusema hakujiandaa kuwa Raisi Bali alisukumizwa tu huko.

Najaribu kuelewa ulichoandika.
 
Back
Top Bottom