johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Nimemaliza kuisoma Katiba ya Chadema na nimejiridhisha kuwa Chadema ina Mwenyekiti Mtendaji
Tundu Lisu hakujiandaa kuwa Mwenyekiti ila uchokozi uliofanywa na Wenje ndio ukamkasirisha akataka amuonyeshe YEYE ni nani
Natoa angalizo Kwa wanachadema kwamba itabidi muwe wavumilivu sana kama CCM ilivyomvumilia shujaa Magufuli Kwa sababu ilimsukumizia tu Kwenye uRais
Mchawi wa Chadema ni yule Jaluo na rafiki yake Mkikuyu wa Mafinga
Ahsanteni sana 😄
Tundu Lisu hakujiandaa kuwa Mwenyekiti ila uchokozi uliofanywa na Wenje ndio ukamkasirisha akataka amuonyeshe YEYE ni nani
Natoa angalizo Kwa wanachadema kwamba itabidi muwe wavumilivu sana kama CCM ilivyomvumilia shujaa Magufuli Kwa sababu ilimsukumizia tu Kwenye uRais
Mchawi wa Chadema ni yule Jaluo na rafiki yake Mkikuyu wa Mafinga
Ahsanteni sana 😄