Tunapomshangilia Tundu Lissu tusisahau kuwa hakujiandaa kuwa Mwenyekiti ila alikasirishwa tu na Wenje Kugombea Umakamu Mwenyekiti!

Tunapomshangilia Tundu Lissu tusisahau kuwa hakujiandaa kuwa Mwenyekiti ila alikasirishwa tu na Wenje Kugombea Umakamu Mwenyekiti!

CHUKUA HII ITAKUSAIDIA MKUU: "Mungu, ni Mungu wa visa" yaani anatengeneza kisa fulani ili kitokee kitu fulani. Hakuna jambo linatokea kwa bahati mbaya. Hata uraisi wa Magu, mbingu ilipanga. Sina hakika ukatili wake. Lakini uraisi sina mashaka.
 
Nimemaliza kuisoma Katiba ya Chadema na nimejiridhisha kuwa Chadema ina Mwenyekiti Mtendaji

Tundu Lisu hakujiandaa kuwa Mwenyekiti ila uchokozi uliofanywa na Wenje ndio ukamkasirisha akataka amuonyeshe YEYE ni nani

Natoa angalizo Kwa wanachadema kwamba itabidi muwe wavumilivu sana kama CCM ilivyomvumilia shujaa Magufuli Kwa sababu ilimsukumizia tu Kwenye uRais

Mchawi wa Chadema ni yule Jaluo na rafiki yake Mkikuyu wa Mafinga

Ahsanteni sana 😄
Oya hivi yule Mkikuyu wa Iringa alichaguliwa kamati kuu?
 
MWAKA 1961 TANGANYIKA IKIPATA UHURU.

BABA WA TAIFA ALIWATAJA MAADUI WAKUU WA TATU WA TAIFA.
1. UMASIKINI.
2. UJINGA.
3. MARADHI.

AKAMALIZA KWA KUSEMA "MAADUI HAWA NI MAADUI KWELI KWELI NA SI MAADUI WA DHIHAKA"
JK NYERERE
 
Nimemaliza kuisoma Katiba ya Chadema na nimejiridhisha kuwa Chadema ina Mwenyekiti Mtendaji

Tundu Lisu hakujiandaa kuwa Mwenyekiti ila uchokozi uliofanywa na Wenje ndio ukamkasirisha akataka amuonyeshe YEYE ni nani

Natoa angalizo Kwa wanachadema kwamba itabidi muwe wavumilivu sana kama CCM ilivyomvumilia shujaa Magufuli Kwa sababu ilimsukumizia tu Kwenye uRais

Mchawi wa Chadema ni yule Jaluo na rafiki yake Mkikuyu wa Mafinga

Ahsanteni sana 😄
Mtajua wenyewe. Tayari gari imewaka, inasonga. Mara utasikia hakujiandaa kuwa Rais wa JMT.
 
Nimemaliza kuisoma Katiba ya Chadema na nimejiridhisha kuwa Chadema ina Mwenyekiti Mtendaji

Tundu Lisu hakujiandaa kuwa Mwenyekiti ila uchokozi uliofanywa na Wenje ndio ukamkasirisha akataka amuonyeshe YEYE ni nani

Natoa angalizo Kwa wanachadema kwamba itabidi muwe wavumilivu sana kama CCM ilivyomvumilia shujaa Magufuli Kwa sababu ilimsukumizia tu Kwenye uRais

Mchawi wa Chadema ni yule Jaluo na rafiki yake Mkikuyu wa Mafinga

Ahsanteni sana 😄
A single condom could have solved us a lot of shity
 
Nimemaliza kuisoma Katiba ya Chadema na nimejiridhisha kuwa Chadema ina Mwenyekiti Mtendaji

Tundu Lisu hakujiandaa kuwa Mwenyekiti ila uchokozi uliofanywa na Wenje ndio ukamkasirisha akataka amuonyeshe YEYE ni nani

Natoa angalizo Kwa wanachadema kwamba itabidi muwe wavumilivu sana kama CCM ilivyomvumilia shujaa Magufuli Kwa sababu ilimsukumizia tu Kwenye uRais

Mchawi wa Chadema ni yule Jaluo na rafiki yake Mkikuyu wa Mafinga

Ahsanteni sana 😄
TAL ameupiga mwingi sana kwa kutojiandaa kuwa M/Kiti. Hakika, kama angejiandaa, leo asingekuwa M/Kiti.
 
20250123_000245.jpg
 
Back
Top Bottom