Tunapomshangilia Tundu Lissu tusisahau kuwa hakujiandaa kuwa Mwenyekiti ila alikasirishwa tu na Wenje Kugombea Umakamu Mwenyekiti!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Nimemaliza kuisoma Katiba ya Chadema na nimejiridhisha kuwa Chadema ina Mwenyekiti Mtendaji

Tundu Lisu hakujiandaa kuwa Mwenyekiti ila uchokozi uliofanywa na Wenje ndio ukamkasirisha akataka amuonyeshe YEYE ni nani

Natoa angalizo Kwa wanachadema kwamba itabidi muwe wavumilivu sana kama CCM ilivyomvumilia shujaa Magufuli Kwa sababu ilimsukumizia tu Kwenye uRais

Mchawi wa Chadema ni yule Jaluo na rafiki yake Mkikuyu wa Mafinga

Ahsanteni sana πŸ˜„
 

TLP in the making.
 
 
Mashine ya umbea umeanza
 
Si mlisema hashindi uenyekiti Chadema? Kiko wapi?

Endeleeni na ramli zenu tu zisizotimia. Kaeni tu mkijua huyo Mungu hakumponya risasi zenu 36 kwa bahati mbaya.

Mungu ana kusudi nae na anaweza kuja kuwa Rais wa JMT ukaja kuchanganyikiwa kabisa.

Tulikuwa tunawapa caution wajumbe ,acha waione NGONDOIGWA chama kikimfia mikononi mwake.
 
Magufuli aliwahi kusema hakujiandaa kuwa Raisi Bali alisukumizwa tu huko.

Najaribu kuelewa ulichoandika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…