Tunapomshangilia Tundu Lissu tusisahau kuwa hakujiandaa kuwa Mwenyekiti ila alikasirishwa tu na Wenje Kugombea Umakamu Mwenyekiti!

CHUKUA HII ITAKUSAIDIA MKUU: "Mungu, ni Mungu wa visa" yaani anatengeneza kisa fulani ili kitokee kitu fulani. Hakuna jambo linatokea kwa bahati mbaya. Hata uraisi wa Magu, mbingu ilipanga. Sina hakika ukatili wake. Lakini uraisi sina mashaka.
 
Oya hivi yule Mkikuyu wa Iringa alichaguliwa kamati kuu?
 
MWAKA 1961 TANGANYIKA IKIPATA UHURU.

BABA WA TAIFA ALIWATAJA MAADUI WAKUU WA TATU WA TAIFA.
1. UMASIKINI.
2. UJINGA.
3. MARADHI.

AKAMALIZA KWA KUSEMA "MAADUI HAWA NI MAADUI KWELI KWELI NA SI MAADUI WA DHIHAKA"
JK NYERERE
 
Mtajua wenyewe. Tayari gari imewaka, inasonga. Mara utasikia hakujiandaa kuwa Rais wa JMT.
 
A single condom could have solved us a lot of shity
 
TAL ameupiga mwingi sana kwa kutojiandaa kuwa M/Kiti. Hakika, kama angejiandaa, leo asingekuwa M/Kiti.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…