Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Swali lako ni la kijingaπππ
Kwani Mbowe alitokea wapi?
Wewe ndio mjinga πππ₯Swali lako ni la kijinga
Weka vielelezoWewe ndio mjinga πππ₯
Freeman tumekuwa naye TYL na baadae UVCCM π
Kasome historia ya Gorbachev!Faki Lulandala amekuwa mwanachama na kiongozi wa Chadema kwa miaka mingi tu , mwaka 2014 alipanda hadi ngazi ya mkoa wa Njombe .
2018 aliunga kilichoitwa Juhudi kwa serikali ya Jiwe , ilikuwa aambatane na George Sanga (Sanga alikataa baadaye akapewa kesi ya mauaji na yuko ndani hadi leo)
Bwana Lulandala baada ya kujiuza akatunukiwa UDC wa Momba , na sasa ni Katibu Mkuu wa UVCCM Taifa .
Je wewe Chawa mfia chama unadhani ni lini utapata nafasi ikiwa Wasaliti ndio wanateka Chama ? Majibu anayo Lucas mwashambwa
Narudia tena kwamba Sitawahurumia hata kidogo , Wachumia tumbo wakubwa nyie ! mtaendelea tu kutumika kama Naniliu .....
View attachment 2768625
Unamjua Mbowe WEWE?πππ
Kwani Mbowe alitokea wapi?
Faki Lulandala amekuwa mwanachama na kiongozi wa Chadema kwa miaka mingi tu , mwaka 2014 alipanda hadi ngazi ya mkoa wa Njombe .
2018 aliunga kilichoitwa Juhudi kwa serikali ya Jiwe , ilikuwa aambatane na George Sanga (Sanga alikataa baadaye akapewa kesi ya mauaji na yuko ndani hadi leo)
Bwana Lulandala baada ya kujiuza akatunukiwa UDC wa Momba , na sasa ni Katibu Mkuu wa UVCCM Taifa .
Je wewe Chawa mfia chama unadhani ni lini utapata nafasi ikiwa Wasaliti ndio wanateka Chama ? Majibu anayo Lucas mwashambwa
Narudia tena kwamba Sitawahurumia hata kidogo , Wachumia tumbo wakubwa nyie ! mtaendelea tu kutumika kama Naniliu .....
View attachment 2768625
Too late .Kasome historia ya Gorbachev!
Siyo kila mtu anachumia tumbo....
Pengine wewe ndiye tumbo wazi....
Namjua tangu akiwa Mlinzi pale BoT ππUnamjua Mbowe WEWE?
Kuwa Mlinzi sio dhambi! Ni KAZI kama KAZI nyingine maadam sio mwizi na tapeli kama WEWENamjua tangu akiwa Mlinzi pale BoT ππ
We jinga kubwa, enzi za chama kimoja kila tu/kijana alilazimishwa kujiunga na TYL. (au ulikuwa hujazaliwa). Mimi nililzimika kuchukua kadi ili niende UDSM....and I needed education nikalazimika lkn siyo kwa mapenzi yangu. Baada ya vyama vingi nikatoka nduki na kuja hapa nilipo.πππ
Kwani Mbowe alitokea wapi?
Wewe ulitaka kujua nimemfahamu tangu lini πππ₯Kuwa Mlinzi sio dhambi! Ni KAZI kama KAZI nyingine maadam sio mwizi na tapeli kama WEWE
HahahahahahaahaWewe ulitaka kujua nimemfahamu tangu lini πππ₯
Walinzi wa BoT ni Serikali hivyo siwezi kumdharau abadan!
Wewe ndio mjinga unayeita Matawi ya CCM ni vyama vingi πππ₯πΌWe jinga kubwa, enzi za chama kimoja kila tu/kijana alilazimishwa kujiunga na TYL. (au ulikuwa hujazaliwa). Mimi nililzimika kuchukua kadi ili niende UDSM....and I needed education nikalazimika lkn siyo kwa mapenzi yangu. Baada ya vyama vingi nikatoka nduki na kuja hapa nilipo.
Umeelewa πππ Gerezani hadi Ikulu ππHahahahahahaaha