Tunaposema CCM imeishiwa watu muwe mnaelewa Katibu Mkuu UVCCM ametokea CHADEMA

Tunaposema CCM imeishiwa watu muwe mnaelewa Katibu Mkuu UVCCM ametokea CHADEMA

Faki Lulandala amekuwa mwanachama na kiongozi wa Chadema kwa miaka mingi tu , mwaka 2014 alipanda hadi ngazi ya mkoa wa Njombe .

2018 aliunga kilichoitwa Juhudi kwa serikali ya Jiwe , ilikuwa aambatane na George Sanga (Sanga alikataa baadaye akapewa kesi ya mauaji na yuko ndani hadi leo)

Bwana Lulandala baada ya kujiuza akatunukiwa UDC wa Momba , na sasa ni Katibu Mkuu wa UVCCM Taifa .

Je wewe Chawa mfia chama unadhani ni lini utapata nafasi ikiwa Wasaliti ndio wanateka Chama ? Majibu anayo Lucas mwashambwa

Narudia tena kwamba Sitawahurumia hata kidogo , Wachumia tumbo wakubwa nyie ! mtaendelea tu kutumika kama Naniliu .....

View attachment 2768625
Chawa unajua huwa anabaki kuzunguka makslioni kwenye kyupi ya mukubwa tu.
 
Swali lako ni la kijinga
Na Lowassa je, alitoka wapi? Akawapa wabunge Mia hamjawahi kuwapata na mameya rufufu. Akaja Bwana Matusi Tundu Antipas akawavuruga vilivyo hata Mwenyekiti Mbowe akashindwa asubuhi na mapema nadhani ndiyo bunge la kwanza kutangazwa. Usaliti ni usaliti tu, mtu akiona kosa lake na kujirekebisha huo ndiyo uongozi.
 
Na Lowassa je, alitoka wapi? Akawapa wabunge Mia hamjawahi kuwapata na mameya rufufu. Akaja Bwana Matusi Tundu Antipas akawavuruga vilivyo hata Mwenyekiti Mbowe akashindwa asubuhi na mapema nadhani ndiyo bunge la kwanza kutangazwa. Usaliti ni usaliti tu, mtu akiona kosa lake na kujirekebisha huo ndiyo uongozi.
2020 mlifanya uchaguzi nchi hii ?
 
..wapinzani walikuwa wanazodolewa kwa kupokea watu toka Ccm na kuwapa vyeo.

..sasa mtindo huo umehamia Ccm ambapo watu wanatoka upinzani na kunyakua vyeo ktk chama tawala.

..Swali ni, Je, huko Ccm kuna uhaba wa kipaji kama ilivyokuwa kwa wapinzani hapo awali?
Hadija Kopa kaimba sana kwenye makongamano ya ccm tena Bure , lakini UWT kapewa Jokate aliyekuwa hataki hata kuvaa sare za ccm !
 
2020 mlifanya uchaguzi nchi hii ?
Kwani Aida Kenani alipita katika uchaguzi upi ndugu yangu Erythrocyte? Vipi wale viti maalumu wenu wa kule mjengoni? Si kuna wake wa viongozi wenu kule? Mmewahi kuwauliza chochote juu ya suala hilo? Kweli wajinga ndio waliwao na CHADEMA ilishawafanya wafuasi wake kama wajinga tu.

Erythrocyte Wewe Endelea na biashara zako tu na usiwe kama madodoki mengine ya Bavichaa. Wewe endelea kukaa karibu na mwenye kigoda .Si unajuwa chama cha Baba mkwe hicho?😄😄😄
 
Kwani Aida Kenani alipita katika uchaguzi upi ndugu yangu Erythrocyte? Vipi wale viti maalumu wenu wa kule mjengoni? Si kuna wake wa viongozi wenu kule? Mmewahi kuwauliza chochote juu ya suala hilo? Kweli wajinga ndio waliwao na CHADEMA ilishawafanya wafuasi wake kama wajinga tu.

Erythrocyte Wewe Endelea na biashara zako tu na usiwe kama madodoki mengine ya Bavichaa. Wewe endelea kukaa karibu na mwenye kigoda .Si unajuwa chama cha Baba mkwe hicho?😄😄😄
Kasimu Majaliwa na Nape Nnauye walipata kura ngapi kwenye ubunge ? au Magufuli alipata kura ngapi ?
 
Faki Lulandala amekuwa mwanachama na kiongozi wa Chadema kwa miaka mingi tu , mwaka 2014 alipanda hadi ngazi ya mkoa wa Njombe .

2018 aliunga kilichoitwa Juhudi kwa serikali ya Jiwe , ilikuwa aambatane na George Sanga (Sanga alikataa baadaye akapewa kesi ya mauaji na yuko ndani hadi leo)

Bwana Lulandala baada ya kujiuza akatunukiwa UDC wa Momba , na sasa ni Katibu Mkuu wa UVCCM Taifa .

Je wewe Chawa mfia chama unadhani ni lini utapata nafasi ikiwa Wasaliti ndio wanateka Chama ? Majibu anayo Lucas mwashambwa

Narudia tena kwamba Sitawahurumia hata kidogo , Wachumia tumbo wakubwa nyie ! mtaendelea tu kutumika kama Naniliu .....

View attachment 2768625
Si kila aliye upinzani ni mpinzani. Hiyo ni code. Alimaliza assignment aliyokuwa amepewa.
 
Faki Lulandala amekuwa mwanachama na kiongozi wa Chadema kwa miaka mingi tu , mwaka 2014 alipanda hadi ngazi ya mkoa wa Njombe .

2018 aliunga kilichoitwa Juhudi kwa serikali ya Jiwe , ilikuwa aambatane na George Sanga (Sanga alikataa baadaye akapewa kesi ya mauaji na yuko ndani hadi leo)

Bwana Lulandala baada ya kujiuza akatunukiwa UDC wa Momba , na sasa ni Katibu Mkuu wa UVCCM Taifa .

Je wewe Chawa mfia chama unadhani ni lini utapata nafasi ikiwa Wasaliti ndio wanateka Chama ? Majibu anayo Lucas mwashambwa

Narudia tena kwamba Sitawahurumia hata kidogo , Wachumia tumbo wakubwa nyie ! mtaendelea tu kutumika kama Naniliu .....

View attachment 2768625
Huyu Fakii niliwahi kukutana naye Iringa mwaka 2009 akiwa masomoni kama sijakosea

Sema jamaa Mossad huyu
 
Faki Lulandala amekuwa mwanachama na kiongozi wa Chadema kwa miaka mingi tu , mwaka 2014 alipanda hadi ngazi ya mkoa wa Njombe .

2018 aliunga kilichoitwa Juhudi kwa serikali ya Jiwe , ilikuwa aambatane na George Sanga (Sanga alikataa baadaye akapewa kesi ya mauaji na yuko ndani hadi leo)

Bwana Lulandala baada ya kujiuza akatunukiwa UDC wa Momba , na sasa ni Katibu Mkuu wa UVCCM Taifa .

Je wewe Chawa mfia chama unadhani ni lini utapata nafasi ikiwa Wasaliti ndio wanateka Chama ? Majibu anayo Lucas mwashambwa

Narudia tena kwamba Sitawahurumia hata kidogo , Wachumia tumbo wakubwa nyie ! mtaendelea tu kutumika kama Naniliu .....

View attachment 2768625
....UVCCM tupo na wala hatuumii kwa sababu:

-CCM ni IMANI ya Watanzania Wote

-Hata walio upinzani kwa kukubali ama kukataa....imani hiyo inawafuata kama kivuli.

Fakii Lulandala ni mmoja wa wafuasi wa imani hiyo hata kipindi akiwa CHADEMA.

#Siempre CCM[emoji120]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom