Tunaposema CCM imeishiwa watu muwe mnaelewa Katibu Mkuu UVCCM ametokea CHADEMA

Tunaposema CCM imeishiwa watu muwe mnaelewa Katibu Mkuu UVCCM ametokea CHADEMA

Attachments

  • FB_IMG_1695019307754.jpg
    FB_IMG_1695019307754.jpg
    61.8 KB · Views: 3
Unamfahamu Lulandala wewe?!, Mfumo kitambo na Chadema mtamalizwa wote na watu mnaowaamini CCM ni dola
 
Faki Lulandala amekuwa mwanachama na kiongozi wa Chadema kwa miaka mingi tu , mwaka 2014 alipanda hadi ngazi ya mkoa wa Njombe .

2018 aliunga kilichoitwa Juhudi kwa serikali ya Jiwe , ilikuwa aambatane na George Sanga (Sanga alikataa baadaye akapewa kesi ya mauaji na yuko ndani hadi leo)

Bwana Lulandala baada ya kujiuza akatunukiwa UDC wa Momba , na sasa ni Katibu Mkuu wa UVCCM Taifa .

Je wewe Chawa mfia chama unadhani ni lini utapata nafasi ikiwa Wasaliti ndio wanateka Chama ? Majibu anayo Lucas mwashambwa

Narudia tena kwamba Sitawahurumia hata kidogo , Wachumia tumbo wakubwa nyie ! mtaendelea tu kutumika kama Naniliu .....

View attachment 2768625
Kwanza hao unaowaita Wasaliti sio kweli kwamba ni Wasaliti Bali ni Wana ccm waliokuwa upinzani Kwa kazi maalumu Kama kina Shonza,Silinde,Slaa,Mbowe,Mnyika, Naibu Waziri wa Vijana,DC Rorya na wengine wengi.

Jiwe aliwahi dokeza kazi Yao huko.So.kushindwa kwenu kubaini haya Kwa sababu za udhaifu wenu wa kichama ndio mnajifariji hapa kwamba ni watu wa upinzani.

Mwisho chama ni Kimoja tuu ccm,mtazunguka weee harafu mnarudi pale pale kuja kujifariji eti chawa.Mbona wewe hupewi cheo huko ccm?
 
Kwanza hao unaowaita Wasaliti sio kweli kwamba ni Wasaliti Bali ni Wana ccm waliokuwa upinzani Kwa kazi maalumu Kama kina Shonza,Silinde,Slaa,Mbowe,Mnyika, Naibu Waziri wa Vijana,DC Rorya na wengine wengi.

Jiwe aliwahi dokeza kazi Yao huko.So.kushindwa kwenu kubaini haya Kwa sababu za udhaifu wenu wa kichama ndio mnajifariji hapa kwamba ni watu wa upinzani.

Mwisho chama ni Kimoja tuu ccm,mtazunguka weee harafu mnarudi pale pale kuja kujifariji eti chawa.Mbona wewe hupewi cheo huko ccm?

Hukuwahi kusikia hatuna rafiki wala adui wa kudumu bali agenda?

Kwa taarifa yako hata kip*limba akija anaongea au kuonyesha nia ya kutaka katiba mpya sasa anakaribishwa.

Kwamba hata Lissu au awaye yote akighairi, anapigwa chini vile vile!

Waiona maana yetu ya kutojali historia?

Yaliyopita si ndwele tuwapate wapi malaika? Au nyie mko nao?
 
Wewe unaamini viongozi wa CDM walizaliwa CDM? Sisi huyo ndo tumempenda aje awanyooshe kwa kuwa anawafahamu nje ndani
 
Kwanza hao unaowaita Wasaliti sio kweli kwamba ni Wasaliti Bali ni Wana ccm waliokuwa upinzani Kwa kazi maalumu Kama kina Shonza,Silinde,Slaa,Mbowe,Mnyika, Naibu Waziri wa Vijana,DC Rorya na wengine wengi.

Jiwe aliwahi dokeza kazi Yao huko.So.kushindwa kwenu kubaini haya Kwa sababu za udhaifu wenu wa kichama ndio mnajifariji hapa kwamba ni watu wa upinzani.

Mwisho chama ni Kimoja tuu ccm,mtazunguka weee harafu mnarudi pale pale kuja kujifariji eti chawa.Mbona wewe hupewi cheo huko ccm?
Sasa unalia nini ?
 
Wewe ndio mjinga unayeita Matawi ya CCM ni vyama vingi [emoji23][emoji23][emoji91][emoji209]
Unashindwa nini kuelewa kua vyama sio majina ni itikadi.na ccm ni mrithi tu baada yakua chama cha awali kuongoza nchi baada ya uhuru kwa maana ya Tanu na nchi kua kwenye mrengo wa chama kimoja kabla yakubadilika kwenda vyama vingi..Uwe unatumia akili zako sawa sawa umri wako auendani na ujinga unaouandika hapa mtandaoni.
 
Faki Lulandala amekuwa mwanachama na kiongozi wa Chadema kwa miaka mingi tu , mwaka 2014 alipanda hadi ngazi ya mkoa wa Njombe .

2018 aliunga kilichoitwa Juhudi kwa serikali ya Jiwe , ilikuwa aambatane na George Sanga (Sanga alikataa baadaye akapewa kesi ya mauaji na yuko ndani hadi leo)

Bwana Lulandala baada ya kujiuza akatunukiwa UDC wa Momba , na sasa ni Katibu Mkuu wa UVCCM Taifa .

Je wewe Chawa mfia chama unadhani ni lini utapata nafasi ikiwa Wasaliti ndio wanateka Chama ? Majibu anayo Lucas mwashambwa

Narudia tena kwamba Sitawahurumia hata kidogo , Wachumia tumbo wakubwa nyie ! mtaendelea tu kutumika kama Naniliu .....

View attachment 2768625

Hivi si nimeona inasemekana Mh. Rais yupo Doha - Qatar (01/10/2023)!!??

Sasa hicho kikao kilifanyika kwa njia ya mtandao!!??
Kama ni mtandao nitampongeza Mh. Rais kwa kutumia njia hii, na itakuwa ni mwanzo wa kuhakikisha serikali mtandao inafanya kazi fully kwa asilimia 100.
 
Wewe ndio mjinga 😂😂🔥

Freeman tumekuwa naye TYL na baadae UVCCM 😀
TYL na baadae UVCCM ... vyama vya upinzani vimeanzishwa lini? Kama waanzilishi walikua wana siasa ITOSHE kutambua kwamba aidha walikua wana CCM au chipukizi wao. Enzi zile za CHAMA kushika hatamu, kadi ya CCM ilizipiku hata shahada za uzamivu na zingine kwenye LISTI za viambatanisho! Mazuzu mengi yalokua na KADI kwa mikwara usiseme! Hiyo kitu umeandika hapo juu is a very cheap rejoinder
 
Uko ccm kuna mtu gani wa maana?.Rais mwenyewe unaona anavyoangaika kubadilisha badilisha kila siku.Cdm wako ndo maana mifano iko mingi ya waliotoka cdm kwenda ccm kufanya kazi.hiyo maana yake uko ccm mmejaa mapooza tupu.
Wa maana wako wengi nikiwemo Mimi hapa
 
Faki Lulandala amekuwa mwanachama na kiongozi wa Chadema kwa miaka mingi tu , mwaka 2014 alipanda hadi ngazi ya mkoa wa Njombe .

2018 aliunga kilichoitwa Juhudi kwa serikali ya Jiwe , ilikuwa aambatane na George Sanga (Sanga alikataa baadaye akapewa kesi ya mauaji na yuko ndani hadi leo)

Bwana Lulandala baada ya kujiuza akatunukiwa UDC wa Momba , na sasa ni Katibu Mkuu wa UVCCM Taifa .

Je wewe Chawa mfia chama unadhani ni lini utapata nafasi ikiwa Wasaliti ndio wanateka Chama ? Majibu anayo Lucas mwashambwa

Narudia tena kwamba Sitawahurumia hata kidogo , Wachumia tumbo wakubwa nyie ! mtaendelea tu kutumika kama Naniliu .....

View attachment 2768625
Kama aliazimwa (Seconded) kwa shughuli maalumu?
 
Back
Top Bottom