Tunaposema huyu Kocha ana matatizo ya ' Akili ' na Klabu iliyomuajiri imelamba ' Garasa ' na itakuja Kujuta huko mbele msiwe mnabisha

Tunaposema huyu Kocha ana matatizo ya ' Akili ' na Klabu iliyomuajiri imelamba ' Garasa ' na itakuja Kujuta huko mbele msiwe mnabisha

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Kila mara alipokuwa akihojiwa na Waandishi wa Habari mbalimbali alisema tena kwa Nyodo zote kuwa Yanga SC itakuwa Bingwa wa Ligi Kuu ya Tanzania ( TPL ) na kwamba hata Kombe la ASFC pia itabeba na kwamba hajaona Timu ya Kuizua Klabu yake. Ushahidi wa haya ' Majigambo ' yake upo wazi tu na nitashangaa kama Wewe huna au hujawahi Kumsikia.

Leo baada ya ' Kufurumushwa ' Mashindanoni kwa Kufungwa kwa aibu na Klabu ya Lipuli ya Mkoani Iringa Kocha wa Yanga SC ( ambaye Uzi huu ndiyo unamuhusu kwa 100% ) Mwinyi Zahera amejitetea kwa Kubadili haya maneno yake na hizo Kauli zake alizozitoa awali ambapo sasa amesema kuwa Malengo ya Yanga SC kwa mwaka huu hayakuwa Kuchukua Ubingwa wowote ule uwe wa Ligi au Kombe hili la FA isipokuwa Yeye kama Kocha na hata Klabu ya Yanga walikuwa na Malengo tu ya Kuhakikisha wanakuwa ndani ya Sita Bora katika Ligi.

Kama kuna Kocha ambaye nina uhakika ana matatizo makubwa ya Akili basi ni huyu Kocha wa Yanga SC na pia kama kuna Kocha ambaye anawachezea Akili Yanga SC huku akiwafanya atakavyo na hawawezi Kumfanya lolote kwakuwa ameshawashika pabaya ni Mwinyi Zahera. Nina uhakika mpaka Yanga SC wakija Kumshtukia basi atakuwa ' amewagharimu ' mno na watanikumbuka na kuyakumbuka haya maneno yangu na huu Uzi wangu.

Nawasilisha.
 
Ukweli ni kwamba baada ya yanga kushindwa kufanya usajili kwenye dirisha dogo kocha aliweka wazi kuwa kuchukua ubingwa itakuwa sio rahisi tena
 
Ukweli ni kwamba baada ya yanga kushindwa kufanya usajili kwenye dirisha dogo kocha aliweka wazi kuwa kuchukua ubingwa itakuwa sio rahisi tena

Acha Uwongo wako hapa na usidhani Watu wote hapa tunafanana Akili mbovu kama ulivyo Wewe na huyo Kocha wako / wenu Mwinyi Zahera na tambua ya kwamba Watu japo ni wana Simba SC ila huwa tunaifuatilia Yanga SC na mambo yake pengine hata kuliko Wewe Mwanayanga / Nyie Wanayanga.

Nenda katika Kurasa zote za Mitandao ya Yanga SC unayoijua Wewe utaona kuna Kauli na hadi Nukuu za huyo Kocha wenu ' Mpumbavu ' akisema kuwa Yanga SC itabeba Vikombe vyote kuanzia cha Ligi ( TPL ), cha FA ( ASFC ) na kile cha Sports Pesa. Na Kauli zote hizi za ' Majigambo ' kama ilivyo kawaida yake alizitoa baada ya Dirisha dogo tu Kuanza na aliwaaminisha hivyo wana Yanga SC na kwa ' Upopoma ' wenu mkamuamini.

Nenda katika Ukurasa wa Instagram wa Msemaji wenu Msaidizi Godliseni Chicharito nae alikuwa anaziweka hizo Kauli / Nukuu za Kocha wenu huyo ' Mpuuzi ' hivyo hivi unavyobisha na Kumtetea au Kujitetea nawe nakuona ni wale wale. Mwambieni huyo Kocha wenu apunguze Mdomo na Kelele bali afanye Kazi na amuinge Kocha Mwerevu, Makini na Fundi wa Ukweli Kocha wa Simba SC Patrrick Aussems.
 
Acha Uwongo wako hapa na usidhani Watu wote hapa tunafanana Akili mbovu kama ulivyo Wewe na huyo Kocha wako / wenu Mwinyi Zahera na tambua ya kwamba Watu japo ni wana Simba SC ila huwa tunaifuatilia Yanga SC na mambo yake pengine hata kuliko Wewe Mwanayanga / Nyie Wanayanga.

Nenda katika Kurasa zote za Mitandao ya Yanga SC unayoijua Wewe utaona kuna Kauli na hadi Nukuu za huyo Kocha wenu ' Mpumbavu ' akisema kuwa Yanga SC itabeba Vikombe vyote kuanzia cha Ligi ( TPL ), cha FA ( ASFC ) na kile cha Sports Pesa. Na Kauli zote hizi za ' Majigambo ' kama ilivyo kawaida yake alizitoa baada ya Dirisha dogo tu Kuanza na aliwaaminisha hivyo wana Yanga SC na kwa ' Upopoma ' wenu mkamuamini.

Nenda katika Ukurasa wa Instagram wa Msemaji wenu Msaidizi Godliseni Chicharito nae alikuwa anaziweka hizo Kauli / Nukuu za Kocha wenu huyo ' Mpuuzi ' hivyo hivi unavyobisha na Kumtetea au Kujitetea nawe nakuona ni wale wale. Mwambieni huyo Kocha wenu apunguze Mdomo na Kelele bali afanye Kazi na amuinge Kocha Mwerevu, Makini na Fundi wa Ukweli Kocha wa Simba SC Patrrick Aussems.
Ndugu yangu wewe ni yanga zaidi yangu pole kwa matokeo yaliyotokea tujipange kwa wakati mwingine
 
Kila mara alipokuwa akihojiwa na Waandishi wa Habari mbalimbali alisema tena kwa Nyodo zote kuwa Yanga SC itakuwa Bingwa wa Ligi Kuu ya Tanzania ( TPL ) na kwamba hata Kombe la ASFC pia itabeba na kwamba hajaona Timu ya Kuizua Klabu yake. Ushahidi wa haya ' Majigambo ' yake upo wazi tu na nitashangaa kama Wewe huna au hujawahi Kumsikia.

Leo baada ya ' Kufurumushwa ' Mashindanoni kwa Kufungwa kwa aibu na Klabu ya Lipuli ya Mkoani Iringa Kocha wa Yanga SC ( ambaye Uzi huu ndiyo unamuhusu kwa 100% ) Mwinyi Zahera amejitetea kwa Kubadili haya maneno yake na hizo Kauli zake alizozitoa awali ambapo sasa amesema kuwa Malengo ya Yanga SC kwa mwaka huu hayakuwa Kuchukua Ubingwa wowote ule uwe wa Ligi au Kombe hili la FA isipokuwa Yeye kama Kocha na hata Klabu ya Yanga walikuwa na Malengo tu ya Kuhakikisha wanakuwa ndani ya Sita Bora katika Ligi.

Kama kuna Kocha ambaye nina uhakika ana matatizo makubwa ya Akili basi ni huyu Kocha wa Yanga SC na pia kama kuna Kocha ambaye anawachezea Akili Yanga SC huku akiwafanya atakavyo na hawawezi Kumfanya lolote kwakuwa ameshawashika pabaya ni Mwinyi Zahera. Nina uhakika mpaka Yanga SC wakija Kumshtukia basi atakuwa ' amewagharimu ' mno na watanikumbuka na kuyakumbuka haya maneno yangu na huu Uzi wangu.

Nawasilisha.
Hata mwenyekiti mpyaa walie mpata ni walewalee. Maanaaa kaanza Tambo za kutoa hata 1.5b eti zahera akizitaka aseme tuu atampa
 
Leo baada ya mechi nilitamani sana ahojiwe nisikie atasema nini ila hakuhojiwa
 
Voice of papa mwinyi et simba imewahujum Leo
 
Kila mara alipokuwa akihojiwa na Waandishi wa Habari mbalimbali alisema tena kwa Nyodo zote kuwa Yanga SC itakuwa Bingwa wa Ligi Kuu ya Tanzania ( TPL ) na kwamba hata Kombe la ASFC pia itabeba na kwamba hajaona Timu ya Kuizua Klabu yake. Ushahidi wa haya ' Majigambo ' yake upo wazi tu na nitashangaa kama Wewe huna au hujawahi Kumsikia.

Leo baada ya ' Kufurumushwa ' Mashindanoni kwa Kufungwa kwa aibu na Klabu ya Lipuli ya Mkoani Iringa Kocha wa Yanga SC ( ambaye Uzi huu ndiyo unamuhusu kwa 100% ) Mwinyi Zahera amejitetea kwa Kubadili haya maneno yake na hizo Kauli zake alizozitoa awali ambapo sasa amesema kuwa Malengo ya Yanga SC kwa mwaka huu hayakuwa Kuchukua Ubingwa wowote ule uwe wa Ligi au Kombe hili la FA isipokuwa Yeye kama Kocha na hata Klabu ya Yanga walikuwa na Malengo tu ya Kuhakikisha wanakuwa ndani ya Sita Bora katika Ligi.

Kama kuna Kocha ambaye nina uhakika ana matatizo makubwa ya Akili basi ni huyu Kocha wa Yanga SC na pia kama kuna Kocha ambaye anawachezea Akili Yanga SC huku akiwafanya atakavyo na hawawezi Kumfanya lolote kwakuwa ameshawashika pabaya ni Mwinyi Zahera. Nina uhakika mpaka Yanga SC wakija Kumshtukia basi atakuwa ' amewagharimu ' mno na watanikumbuka na kuyakumbuka haya maneno yangu na huu Uzi wangu.

Nawasilisha.
Wewe na zahera wote ni wavuta bangi wazuri tu
 
Back
Top Bottom