Tunaposema Israel ya wayahudi ni taifa teule tuwe tunaelewana kwa facts, Hata Quran imekiri Allah kuwapa upendeleo wayahudi

Tunaposema Israel ya wayahudi ni taifa teule tuwe tunaelewana kwa facts, Hata Quran imekiri Allah kuwapa upendeleo wayahudi

QURAN.

Allah alichagua manabii wengi kutokea ndani ya wayahudi akiwemo Musa licha ya wayahudi kuwaua mara kadhaa ila Allah alipenda wawe wayahudi

Allah aliwaokoa utumwani wakiwa misri, Farao alikuwa na kiburi lakini Allah alimpa mitihani migumu mpaka kulazimika awaachie

Allah alifanya njia baharini kuwe na nchi kavu waweze kuvuka

Hata baada ya Allah kuwaoyesha ushahidi kwamba yeye ndie Mungu wao, wapo walioabudu ndama lakini Allah aliwasamehe

Kwa miaka 40 Allah aliwakinga na joto kali jangwani kwa kuweka mawingu wapate kivuli

Allah aliweza kuwapa maji wakiwa jangwani kwa kugeuza mawe yawe maji


akili za ziada na utajiri -

  • Marekani nchi yenye watu wa mataifa mbalimbali, Wayahudi ndio wanaongoza kwa kuwa na mabilionea wengi licha ya kuwa asilimia 2 tu ya wamarekani
  • Wanaongozea kwenye teknolojia
  • Israel ni nchi ndogo ila imeaminiwa na Makampuni maarufu ya teknolojia takribani 350 kuweka ofisi zao Israel maalum kwajili ya ubunifu na uendelezaji wa Teknolojia. mifano ni Google, Microsoft, Apple, Intel, Ibm, Nvidia, Amazon, Oracle, n.k.
  • Israel ni nchi ndogo inayoongoza kwa mrundikano wa tech startups / vituo vya kubuni teknolojia, hizi start up huwa zinawaingizia pesa kibao, start up moja inauzwa mpaka trilioni 10.
  • Himaya ya Romania ilipoivamia Israel na kuwpeleka wayahudi utumwani ulaya, huko waliweza kufanikiwa na kuw matajiri wakubwa licha ya kunyimwa ardhi.
  • Noble Prizes nyingi zaidi ni za wayahudi
kweli kabisa,kwenye QURAN TUKUFU yenyewe kuna sura inazungumzia wayahudi, na kila siku nasema wasome "suratul ban Israil""" lakini nakwambia hakuna msikiti hata mmoja dunia nzima wapo tayari kusoma sura hito!!"abadan" na ndo manake,,allah akashusha "SURATUL MUNAFIQUN"suratul munafiqun imeshushwa kwa ajili ya unafiki kama huu!!!!,,,,takuta wanaweka mashindano ya kuhifadhi quran,,,na wanafuzu wanapewa mamilioni ya pesa!!....lakini hakuna ata mmoja anaruhusiwa kusoma au kukariri suratul ban israil!!...WANAPINGANA MPKA NA KITABU CHAO!!,,,,
 
Quran imetaja neno Israel mara 43
Quran imetaja neno Palestine mara 0

Screenshot_20240522_134849_Chrome.jpg


Screenshot_20240522_140326_Chrome.jpg
 
Back
Top Bottom