Tunaposema Israel ya wayahudi ni taifa teule tuwe tunaelewana kwa facts, Hata Quran imekiri Allah kuwapa upendeleo wayahudi

kweli kabisa,kwenye QURAN TUKUFU yenyewe kuna sura inazungumzia wayahudi, na kila siku nasema wasome "suratul ban Israil""" lakini nakwambia hakuna msikiti hata mmoja dunia nzima wapo tayari kusoma sura hito!!"abadan" na ndo manake,,allah akashusha "SURATUL MUNAFIQUN"suratul munafiqun imeshushwa kwa ajili ya unafiki kama huu!!!!,,,,takuta wanaweka mashindano ya kuhifadhi quran,,,na wanafuzu wanapewa mamilioni ya pesa!!....lakini hakuna ata mmoja anaruhusiwa kusoma au kukariri suratul ban israil!!...WANAPINGANA MPKA NA KITABU CHAO!!,,,,
 
Quran imetaja neno Israel mara 43
Quran imetaja neno Palestine mara 0



 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…