MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
Yani walikuwa wamenizidi ujanja hpa mtaani na hizo jezi zao, SASA Hilo ndilo nitakalo watandika nalo, Ahsante Oscar!"Tafadhali kama kwa bahati mbaya umempoteza au umepotezana na Ndugu yako kwa muda mrefu jaribu kumuangalia katika Jezi mpya ya Yanga SC unaweza ukampata"
Chanzo: Mchambuzi EFM na TvE Oscar Oscar
Wakati Oscar Oscar ( ambaye Personally ) namjua ni Simba SC lia lia alipochukua Fomu ya Kugombea Urais TFF ili Kupambana na Rais wa TFF Wallace Karia wana Yanga SC wote ( wengi ) mlimpenda na Kumsifu mno hivyo nawaomba hata kwa haya Madongo yake Kwenu muwe wapole na muendelee Kumpenda na Kumsifia sawa?
Akhsante sana Comrade Oscar Oscar!!!!
JamiiForums kuna Mtu ana ID ya Genta?Genta unahangaika sana
Kwa hiyo Jezi Batiki yao iliyochangamka?yanga hawajawahi kuharibu kwenye upa nde wa jezi
Asante makorokocho fc"Tafadhali kama kwa bahati mbaya umempoteza au umepotezana na Ndugu yako kwa muda mrefu jaribu kumuangalia katika Jezi mpya ya Yanga SC unaweza ukampata"
Chanzo: Mchambuzi EFM na TvE Oscar Oscar
Wakati Oscar Oscar ( ambaye Personally ) namjua ni Simba SC lia lia alipochukua Fomu ya Kugombea Urais TFF ili Kupambana na Rais wa TFF Wallace Karia wana Yanga SC wote ( wengi ) mlimpenda na Kumsifu mno hivyo nawaomba hata kwa haya Madongo yake Kwenu muwe wapole na muendelee Kumpenda na Kumsifia sawa?
Akhsante sana Comrade Oscar Oscar!!!!
Ha ha ha! Kumbe umemsoma mkuu.Genta unahangaika sana
Hata na nyie pia muwe wapole na Haji mtoto wa Sunday...jezi ya Yanga hata iwe mbaya vp hatununui jezi za Simba.."Tafadhali kama kwa bahati mbaya umempoteza au umepotezana na Ndugu yako kwa muda mrefu jaribu kumuangalia katika Jezi mpya ya Yanga SC unaweza ukampata"
Chanzo: Mchambuzi EFM na TvE Oscar Oscar
Wakati Oscar Oscar ( ambaye Personally ) namjua ni Simba SC lia lia alipochukua Fomu ya Kugombea Urais TFF ili Kupambana na Rais wa TFF Wallace Karia wana Yanga SC wote ( wengi ) mlimpenda na Kumsifu mno hivyo nawaomba hata kwa haya Madongo yake Kwenu muwe wapole na muendelee Kumpenda na Kumsifia sawa?
Akhsante sana Comrade Oscar Oscar!!!!
yanga hawajawahi kuharibu kwenye upa nde wa jezi
Mapovu yote haya Ndugu ni kwakuwa Oscar Oscar kapiga katika Mshono wa Yanga SC au?Huyo Osca yy nani? Sionagi umahiri katika uchambuzi wake,kikubwa anacho tafuta ni popularity akiwa nyuma ya kivuli cha Maulid Kitenge,naona anaelekea kufanikiwa kwani Misukule yote inafatilia ujinga anaongea ili ku_compensate na maumivu ya mafanikio ya Yanga,hapa anatibu mioyo ya wajinga wanaoshindwa kuhoji simba sc ilivyopoa km supu ya kambale,No new kit mpk sasa,Afisa Habari kazubaa km kashikwa kende,nchi nzima now ni Yanga Yanga Yanga[emoji172][emoji169][emoji123]
Natabiri hizo Jersey zenu za msimu huu zitakua Vunja bei kwelikweli kweli,sagula sagula,mama baba mpende mwanao km hamtokuja na ubunifu wa kueleweka[emoji1787]
Kimsingi Huyo Osca ni Underdog Pundit,anapaswa ajijengee heshima ya kazi nzuri kabla ya kutafuta umaaarufu[emoji90],aige mfano kwa Edo,Kitenge,Jeff Lea,Dauda,G.macha,A.Mayay,Marehemu Kashasha na wengine,jinsi walivyoianza safari ya uchambuzi,akiwekeza sn kwenye ujinga ujinga na u_underdog wake atafeli sana