Kuanzia leo nitakua ninakuita kwa jina hili; "Mhe. Mkata tama" na watu wa jinsi hi tukiwa nao walau 10,000 tu basi kuumaliza umasikini utahitajika muujiza wa Mungu mwenyewe na sio akili zetu hizi alizotupa Mungu.
..
...Tumalize kwanza huku !!!
Hivi kuna mtalii mwenye akili timamu atakuja kwenye Airport ya namna hii?
Mwanakijiji inaelekea wewe bado unaishi kwenye dimbwi la alinacha
Tatizo unaanzisha thread ku target CCM
Dawa ungelenga wahusika kwa majina kuanzia FOREIGN, MALIASILI NA UTALIII, AFRCA MASHARIKI, IKULU
hapo ndio huwa wanashtuka na kupanic
Ukitaja CCM none of those clowns cares...mbaya zaidi ungetegemea waziri KIVULI wa utalii angeiita press conference na kikipaka Mmavi mmavi lakini wapi ..... kilichobaki ni hii hii JF ya SIRIKALI...(siku wakiwa na mood wanaondoa kabisa na threads zinawalenga)
Pengine ibadilishwe lakini tarehe ya uchaguzi ikajulikana kwani inatoka katika katiba. Ni Jumapili ya mwisho ya mwezi Oktoba, tarehe 25! Tanzania ni moja ya nchi chache Afrika ambayo tarehe yake ya uchaguzi mkuu inajulikana kwani iko ndani ya Katiba.Mkuu nakuna maono yoyote wala.mipango yoyote kwenye serikali hii ya kikwete.
Madharani mpaka sasa hatujui tarehe wala siku ya Uchaguzi mkuu.
Wala hakuna dalili zaidi ya maneno matupu.
Kwa hili wenzetu wamarekani. Uchaguzi mkuu ni mwakani siku ya Jumanne tareh 08 Nov 2016.
Kila raia anajui siku na tarehe. Mwaka mmoja zaid. Wameenda mbali mpaka tarehe ya kuapishwa na kushika madaraka rasmi vyote vimeshapangwa mpaka sasa.
Tanzania uchaguzi ni mwaka huu 2015. Mpka sasa tunaambiwa ni October bila kujua tarehe wala siku.
Achilia mipango hiyo. Mpaka sasa wagombea hawajulikani kwa Umma. Ten kwa maCCM ukitangaza unapigwa na ban.
Hapo tutawezaje kupanga mipango ya Taifa miaka 5 ama kumi kama matukio muhimu tu hakuna vision?
Duh! Una hakika na ulichokiandika? Kwamba kwa sababu jimbo lina mbunge wa upinzani basi serikali, mfumo na sera zinazoongoza jimbo hilo ni za chama cha upinzani. Je wanakusanya kodi na wanachagua watendaji wao? Nafikiria mfumo wa chama kimoja kwa muda mrefu ulitupotosha. Ninashangaa watu wanajenga hoja za 'ni walewale wataleta mabadiliko gani?'! Kumbuka mwanakijiji akajaribu kuzungumzia sera na hakika sera zinazotekelezeka ni za chama kilicho madarakani.Sema tu mwanakijiji anataka chadema wapewe nchi, hebu tumuulize huko rombo arusha mbeya Nyamagana Ilemela musoma hao chadema wamefanya nini? mbona ni yaleyale ya CCM na wao ndo wamepitiliza, jimboni kwa tundu lisu walimu wameibiwa mil 360 halafu yeye anasema watoto wake hawasomi huko, mwanza bil tatu zimetafunwa na haohao cdm,
Hapo ndipo huwa naamini Watz tumelogwa ugonjwa wa kupumbazwa na kusahau.Naam! Mfano mwingine hai huo.. na wapo wanaoamini kuwa watu wale wale wakija 2015 wataweza kutatua tatizo la nishati!
Sema tu mwanakijiji anataka chadema wapewe nchi, hebu tumuulize huko rombo arusha mbeya Nyamagana Ilemela musoma hao chadema wamefanya nini? mbona ni yaleyale ya CCM na wao ndo wamepitiliza, jimboni kwa tundu lisu walimu wameibiwa mil 360 halafu yeye anasema watoto wake hawasomi huko, mwanza bil tatu zimetafunwa na haohao cdm,
Sema tu mwanakijiji anataka chadema wapewe nchi, hebu tumuulize huko rombo arusha mbeya Nyamagana Ilemela musoma hao chadema wamefanya nini? mbona ni yaleyale ya CCM na wao ndo wamepitiliza, jimboni kwa tundu lisu walimu wameibiwa mil 360 halafu yeye anasema watoto wake hawasomi huko, mwanza bil tatu zimetafunwa na haohao cdm,
Sera nyingi zimefeli kubwa ni ya Elimu,jamaa watoto wakifeli sana,wanatanua goli ili watoto wafaulu kisha utasikia ufaulu umeongezeka,uliona wapi GPA ya 0,3 mtu anakwea kidato cha tatu?
Kioja subirini matokeo ya mwaka huu mtanikumbuka!, yameandaliwa kupigia kampeni.
Uliona wapi unaanzisha ujenzi wa maabara wakati walimu ulionao hawakujifunza vyuoni real practical?, je utawapeleka vyuoni tena? Jamaa sikui hawana long plan,wanaibuka tu
sasa kama hata rais wa nchi anapingana na taasisi alizoziunda mwenyewe mfano TAKUKURU, CAG , T.R.A, na kamati za uchunguzi kwa kusema pesa sio za umma kinyume na taarifa za wateule wake huoni kwamba si tu kuwa sera alizopangiwa na chama chake zimeshindwa, bali zimekufa nyang'anyang'a
wanaotarajia kuona sera za CCM kuwa zitafanya kazi au kuwa ni nzuri basi watarajie siku moja manii ya paka yataoteshwa kwa mbwa yazae chui.
Kuna watu wanaona kuiondoa CCM ni kama kutoitendea haki fulani hivi. Wanaona ni kama ina haki yankutawalana CCM kutotawala ni kuivunjia haki hiyo.Uzi huu moto sana kwa CCM.. wanajua kuwa nchi hii haina tofauti na headless chicken! Hatuna dira! Hatujui nchi hii inaelekea wapi ingawa tumejaaliwa fursa za kila aina!!! Imefikia mahala Viongozi wote wanaiba mchana kweupe, hakuna mwenye kuona future ya Tanzania iliyojaa neema kedekede ... Bila CCM kuondolewa Maendeleo ya nchi hii itabakia kuwa Ndoto ya alinacha ....
Kuna watu wanaona kuiondoa CCM ni kama kutoitendea haki fulani hivi. Wanaona ni kama ina haki yankutawalana CCM kutotawala ni kuivunjia haki hiyo.
..
...Tumalize kwanza huku !!!