Tunaposema Sera za CCM zimeshindwa hatutanii, mfano hai huu..

Tunaposema Sera za CCM zimeshindwa hatutanii, mfano hai huu..

Kuanzia leo nitakua ninakuita kwa jina hili; "Mhe. Mkata tama" na watu wa jinsi hi tukiwa nao walau 10,000 tu basi kuumaliza umasikini utahitajika muujiza wa Mungu mwenyewe na sio akili zetu hizi alizotupa Mungu.

Mazindu utakuwa hujanitendea haki kwa sababu hujasoma katikati ya mistari ya mchango wangu kwenye bandiko la Mzee Mwanakijiji.
 
..

...Tumalize kwanza huku !!!

jumbo+px.jpg

Kinana bwana

si afungue na bucha kabisa atuuzie nyama pori!!!
 
Ndo anacho advote Mwanakijiji. Mambo ya nchi hii ni ya hovyo maana hayajapangiliwa hatujui nini kianze na nini kifuatie. Shida tupu

Hivi kuna mtalii mwenye akili timamu atakuja kwenye Airport ya namna hii?

Mwanakijiji inaelekea wewe bado unaishi kwenye dimbwi la alinacha

Tatizo unaanzisha thread ku target CCM

Dawa ungelenga wahusika kwa majina kuanzia FOREIGN, MALIASILI NA UTALIII, AFRCA MASHARIKI, IKULU

hapo ndio huwa wanashtuka na kupanic

Ukitaja CCM none of those clowns cares...mbaya zaidi ungetegemea waziri KIVULI wa utalii angeiita press conference na kikipaka Mmavi mmavi lakini wapi ..... kilichobaki ni hii hii JF ya SIRIKALI...(siku wakiwa na mood wanaondoa kabisa na threads zinawalenga)

 
Last edited by a moderator:
Angalia jinsi katiba ya Chenge inavyopambwa. Eti ndo bora kuliko katiba zote zilizowahi kuwapo. Kwani tulishawahi kuwa na katiba ya wananchi. Saa tulitaka angalao hii iwe na ridhaa ya wananchi, lakn watawala wakaiteka wakaondoa kila oni la wananchi wakaweka ya kwao tu. Futa tunu za taifa, futa miiko, futa, uzalenzo na kila kilichokuwa kizuri

Halafu mtu anaibuka anasema ni nzuri sana, wakati hatujui hata kama inaweza kutumika ndani ya Zanzibar kwenyewe. Ni katiba ya JK na genge lake la wezi
 
Mkuu nakuna maono yoyote wala.mipango yoyote kwenye serikali hii ya kikwete.

Madharani mpaka sasa hatujui tarehe wala siku ya Uchaguzi mkuu.
Wala hakuna dalili zaidi ya maneno matupu.

Kwa hili wenzetu wamarekani. Uchaguzi mkuu ni mwakani siku ya Jumanne tareh 08 Nov 2016.

Kila raia anajui siku na tarehe. Mwaka mmoja zaid. Wameenda mbali mpaka tarehe ya kuapishwa na kushika madaraka rasmi vyote vimeshapangwa mpaka sasa.

Tanzania uchaguzi ni mwaka huu 2015. Mpka sasa tunaambiwa ni October bila kujua tarehe wala siku.

Achilia mipango hiyo. Mpaka sasa wagombea hawajulikani kwa Umma. Ten kwa maCCM ukitangaza unapigwa na ban.

Hapo tutawezaje kupanga mipango ya Taifa miaka 5 ama kumi kama matukio muhimu tu hakuna vision?
Pengine ibadilishwe lakini tarehe ya uchaguzi ikajulikana kwani inatoka katika katiba. Ni Jumapili ya mwisho ya mwezi Oktoba, tarehe 25! Tanzania ni moja ya nchi chache Afrika ambayo tarehe yake ya uchaguzi mkuu inajulikana kwani iko ndani ya Katiba.
 
Sema tu mwanakijiji anataka chadema wapewe nchi, hebu tumuulize huko rombo arusha mbeya Nyamagana Ilemela musoma hao chadema wamefanya nini? mbona ni yaleyale ya CCM na wao ndo wamepitiliza, jimboni kwa tundu lisu walimu wameibiwa mil 360 halafu yeye anasema watoto wake hawasomi huko, mwanza bil tatu zimetafunwa na haohao cdm,
Duh! Una hakika na ulichokiandika? Kwamba kwa sababu jimbo lina mbunge wa upinzani basi serikali, mfumo na sera zinazoongoza jimbo hilo ni za chama cha upinzani. Je wanakusanya kodi na wanachagua watendaji wao? Nafikiria mfumo wa chama kimoja kwa muda mrefu ulitupotosha. Ninashangaa watu wanajenga hoja za 'ni walewale wataleta mabadiliko gani?'! Kumbuka mwanakijiji akajaribu kuzungumzia sera na hakika sera zinazotekelezeka ni za chama kilicho madarakani.
 
Uzi huu moto sana kwa CCM.. wanajua kuwa nchi hii haina tofauti na headless chicken! Hatuna dira! Hatujui nchi hii inaelekea wapi ingawa tumejaaliwa fursa za kila aina!!! Imefikia mahala Viongozi wote wanaiba mchana kweupe, hakuna mwenye kuona future ya Tanzania iliyojaa neema kedekede ... Bila CCM kuondolewa Maendeleo ya nchi hii itabakia kuwa Ndoto ya alinacha ....
 
Mojawapo ya maeneo ambayo yanazidi kuthibitisha kuwa sera za CCM zimeshindwa ni ile ya kujiandaa na majanga na uokoaji. HIvi ni taifa gani la watu ambao hawafikirii njia bora za kujiandaa na kujiokoa na majanga? NI kama tuna usahaulifu wa makusudi hivi...
 
Mm wakenya nazd kusema wAko saw a acha wasonge mbele. Wakat Uhuru anapunguza mishahara ya mawazir kwenda kuberesha huduma za jamii kuku kwetu wabunge wanaongezeana posho and they talk ravish in the house shame upon us.
 
sasa kama hata rais wa nchi anapingana na taasisi alizoziunda mwenyewe mfano TAKUKURU, CAG , T.R.A, na kamati za uchunguzi kwa kusema pesa sio za umma kinyume na taarifa za wateule wake huoni kwamba si tu kuwa sera alizopangiwa na chama chake zimeshindwa, bali zimekufa nyang'anyang'a

wanaotarajia kuona sera za CCM kuwa zitafanya kazi au kuwa ni nzuri basi watarajie siku moja manii ya paka yataoteshwa kwa mbwa yazae chui.
 
Sema tu mwanakijiji anataka chadema wapewe nchi, hebu tumuulize huko rombo arusha mbeya Nyamagana Ilemela musoma hao chadema wamefanya nini? mbona ni yaleyale ya CCM na wao ndo wamepitiliza, jimboni kwa tundu lisu walimu wameibiwa mil 360 halafu yeye anasema watoto wake hawasomi huko, mwanza bil tatu zimetafunwa na haohao cdm,

Wewe unayeuliza wabunge wa upinzani wamefanya nini uliwahi kuona kuna budget inayokabidhiwa wabunge zaidi ya mfuko wa jimbo? Wapinzani wamechangamsha wananchi waone wanavyoibiwa na kuifanya serikali ipunguze wizi! Kazi ya wabunge ni kuishinikiza serikali itekeleze shughuli za maendeleo ila kwa Tanzania kuna ujinga wa serikali kususia baadhi ya majimbo yanayotawaliwa na upinzani....pia ukumbuke mbunge kazi yake ni kuwawakilisha wananchi wake bungeni na cyo kujenga barabara wala kuleta maji
 
Sema tu mwanakijiji anataka chadema wapewe nchi, hebu tumuulize huko rombo arusha mbeya Nyamagana Ilemela musoma hao chadema wamefanya nini? mbona ni yaleyale ya CCM na wao ndo wamepitiliza, jimboni kwa tundu lisu walimu wameibiwa mil 360 halafu yeye anasema watoto wake hawasomi huko, mwanza bil tatu zimetafunwa na haohao cdm,

Nikisoma maandiko yako napata taabu sana ya kukuelewa kuwa huo ndio uwezo wako wa kuelewa au unafanya makusudi? Hayo maeneo uliyotaja serikali inaongozwa na Chadema au kuna uwakilishi wa wabunge tuu? Tundu kusema watoto wake hawezi kuwapeleka shule za kata hata hilo umeshindwa kumwelewa anamaanisha nini? Tumia muda wako zaidi katika kujisomea ili ukuze uwezo wa kuelewa ili baadae hata michango yako iwe constructive.
 
Sera nyingi zimefeli kubwa ni ya Elimu,jamaa watoto wakifeli sana,wanatanua goli ili watoto wafaulu kisha utasikia ufaulu umeongezeka,uliona wapi GPA ya 0,3 mtu anakwea kidato cha tatu?
Kioja subirini matokeo ya mwaka huu mtanikumbuka!, yameandaliwa kupigia kampeni.

Uliona wapi unaanzisha ujenzi wa maabara wakati walimu ulionao hawakujifunza vyuoni real practical?, je utawapeleka vyuoni tena? Jamaa sikui hawana long plan,wanaibuka tu
 
Sera nyingi zimefeli kubwa ni ya Elimu,jamaa watoto wakifeli sana,wanatanua goli ili watoto wafaulu kisha utasikia ufaulu umeongezeka,uliona wapi GPA ya 0,3 mtu anakwea kidato cha tatu?
Kioja subirini matokeo ya mwaka huu mtanikumbuka!, yameandaliwa kupigia kampeni.

Uliona wapi unaanzisha ujenzi wa maabara wakati walimu ulionao hawakujifunza vyuoni real practical?, je utawapeleka vyuoni tena? Jamaa sikui hawana long plan,wanaibuka tu

Lakini wao wanapouza "mafanikio" wanasema "wameandikishwa watoto wengi kwa asilimia 101" na kuwa sasa hivi kuna "shule nyingi" na "vyuo vingi"....
 
sasa kama hata rais wa nchi anapingana na taasisi alizoziunda mwenyewe mfano TAKUKURU, CAG , T.R.A, na kamati za uchunguzi kwa kusema pesa sio za umma kinyume na taarifa za wateule wake huoni kwamba si tu kuwa sera alizopangiwa na chama chake zimeshindwa, bali zimekufa nyang'anyang'a

wanaotarajia kuona sera za CCM kuwa zitafanya kazi au kuwa ni nzuri basi watarajie siku moja manii ya paka yataoteshwa kwa mbwa yazae chui.

Unajua watu wengine wana imani za kisiasa ambazo hazina tofauti kabisa na imani za kishirikina.
 
Uzi huu moto sana kwa CCM.. wanajua kuwa nchi hii haina tofauti na headless chicken! Hatuna dira! Hatujui nchi hii inaelekea wapi ingawa tumejaaliwa fursa za kila aina!!! Imefikia mahala Viongozi wote wanaiba mchana kweupe, hakuna mwenye kuona future ya Tanzania iliyojaa neema kedekede ... Bila CCM kuondolewa Maendeleo ya nchi hii itabakia kuwa Ndoto ya alinacha ....
Kuna watu wanaona kuiondoa CCM ni kama kutoitendea haki fulani hivi. Wanaona ni kama ina haki yankutawalana CCM kutotawala ni kuivunjia haki hiyo.
 
Ujuha tu unawasumbua! watu kama hao nina wafananisha na Mwanamke mwenye kuteseka kwa kipigo, njaa, manyanyaso ya kila aina na wakati mwingine anazindukia ICU kutokana na kipigo cha Mume ------- LAKINI bado anaendelea kung'ang'ania kwenye uhusiano ambao hauna manufaa kwake... Tusi wahukumu sana maana Watu wa namna hiyo wakikutana na wenza wenye kujua thamani ya mahusiano huwa wanajutia sana muda waliopoteza kwenye ndoa yake ya awali iliyogubikwa na machungu tele... Nawauliza Swali Moja tu la Msingi:- CCM imeshindwa kuwaletea Watanzania Maendeleo toka tumepata Uhuru hadi leo, Je Bado wanaamini kuwa Inaweza kupatia Maji safi na Salama, Huduma Bora za Afya, Elimu, Miundombinu, hali nzuri ya Maisha?... Kama jibu ni ndiyo the LINI watafanikiwa? kama jibu ni HAPANA then Mnasubiri nini Kuwaondoa??? ... Shame kuwa Tanzania is the only place ambapo Wazawa wanaonekana Second class citizens na wageni wanaonekana Raia number moja wenye opportunities kibao ...
Kuna watu wanaona kuiondoa CCM ni kama kutoitendea haki fulani hivi. Wanaona ni kama ina haki yankutawalana CCM kutotawala ni kuivunjia haki hiyo.
 
Back
Top Bottom