Kuanzia leo nitakua ninakuita kwa jina hili; "Mhe. Mkata tama" na watu wa jinsi hi tukiwa nao walau 10,000 tu basi kuumaliza umasikini utahitajika muujiza wa Mungu mwenyewe na sio akili zetu hizi alizotupa Mungu.
Mazindu utakuwa hujanitendea haki kwa sababu hujasoma katikati ya mistari ya mchango wangu kwenye bandiko la Mzee Mwanakijiji.