Tunaposhangaa wanaotuongoza hawajatufikisha tunapohitaji tuwe makini sana, tusije tukawa tunajipinga wenyewe

Tunaposhangaa wanaotuongoza hawajatufikisha tunapohitaji tuwe makini sana, tusije tukawa tunajipinga wenyewe

Wasouth Africa wanajionaga wao ni zaidi ya waafrika. Wanadharau sana waafrika wenzao na wanajiona wao si part ya africa so watoe katika hesabu za uafrika.
 
Watu Weusi ni jamii DUNI yenye Ujinga,Ushamba na Uvivu kuliko jamii zingine zote duniani.

Just imagine hata hapa Tanzania katika matajiri 10 kama yupo Mtu mweusi labda ni mmoja tu au hayupo kabisa.

Sehemu kubwa ya uchumi umeshikwa na Asians

Engineering companies ni za nje hasa kutoka China.

Viwanda vya vifaa vya ujenzi vingi ni vya Wahindi

Viwanda vya Nguo vingi vya Wahindi

Viwanda vya vyakula (food processing) vya Wahindi

Viwanda vya plastic ukiacha Cello, vingi vya Wahindi

Wakulima wakubwa wa kisasa ukiondoa viongozi wakubwa wa serikali basi ni Makalasinga, Wazungu na wahindi

Katika Miradi mikubwa ukiwakuta wabongo basi ni VIBARUA.

Hata Serikali yenyewe haiwaamini watu wake na ndio maana pamoja na kutoka Wahandisi wengi kwa miaka yote hapa nchini bado tu serikali inawatrust na kuwapa tenda watu wa nje, in all areas kwenye barabara, Madaraja na Majengo makubwa.

Nikikuambia katika wanafunzi products wa SUA unitajie mbegu yoyote maarufu waliyoitengeneza na inayotumika hapa Tanzania huwezi, nitajie Vifaa vya kilimo vinavyotengenezwa hapa nchini HAKUNA. Tunaorder Pembejeo, Mbegu na Mbolea kutoka Nje.

Nikiwaambia wabongo kuwa sisi ni Watumwa wa ngozi nyeupe mpaka leo wanabisha

Tazama, kama Wahindi wamewekeza hapa kwetu, halafu wamewaajiri wabongo kisha watu wanafanya kazi kwa shift usiku na mchana kisha kwa mwezi Mtu analipwa elfu 60 na matusi ya Wahindi juu, tena katika ardhi yao...what's that.

Ngozi nyeusi imefanya na Ubongo kuwa Mweusi.
Nyerere alitaifisha mali zao,ikiwemo viwanda,mashamba,mabenki,shule,hospitali,majumba,bima.Akawagawia watu weusi kuendesha shughuli hizo LAKINI hata kukarabati nyumba walishindwa.Baada ya Nyerere kungatuka,kama kawaida watanzania weusi wakarudi kuwalamba miguu wahindi tukawareshea mali hizo na bonus nasisi tukarudia kazi ya korokoroni.
Yaani inasikitisha lakini ndio ukweli sio elimu itayotukombomoa bali utashi .
 
Good observation, angalia billionaires wengi Tz ama millionaires wana asili ipi,

Nina mifano ya Asians walioingia Tz wenye kipato cha kawaida, kwa wepesi wao kuona fursa sasa sio wa level ile ile tena

Ukienda hapo kariakoo mtu ana duka kubwa badala atafute suppliers mwenyewe anasubiri mhindi ama muarabu awe connector wake viwandani.


Ukiwatafuta vijana wetu wasomi wenye kujua kanuni za uwekezaji unawakuta kwenye mitandao ya kijamii wakibishana na kutukana

Afadhali awamu hii ajira wametangulizwa wazawa kwenye taasisi za kimataifa wengi wamefaidika, otherwise ku-compete na international applicants yamkini tusingaliweza
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] True mkuu
 
Naweza kusema ndugu yetu wa Chato ana maamuzi ya kutufanya tupige hatua, hofu yangu ni yule mwingine anayeaminiwa anajua vifungu vya sheria....na sio utendaji. Kwamba ni mjenzi wa hoja akipewa uwanja wa kuongea.

Africa haihitaji bingwa wa porojo za mdomoni bali mtendaji
Hofu yako ni yule mwingine anaeminiwa anajua vifungu vya sheria this is very wrong and pathetic,

kuna mambo ya msingi sana alitetea sio rahisi kuyatambua wewe na mambo yako ya kulialia ungeweza ubakaa nyuma ya keyboard unalialia!!!??

mwanaume unatokwa na machozi sijaona hoja hapo ta kukutoa machozi, sikiliza bwana mdogo huwezi kumjaji mtu kabla hujampatia majaribio lissu pia angekua presda angefanya yale kwenye ilani na sio mambo yake binafsi, angeleta maajabu pia vile vile labda nikukumbushe mengi anayofanya wa chato ni maazimio kutoka vyama vya upinzani baada ya kupiga kelele kwa muda mrefu viongozi waliopita waliyapuuzia, tafuta ilani ya chadema ilisemaja 2015 usije na hoja za majonzi hapa
 
Safi sana kiongozi. Wasouth hawabebeki hata kwa mbeleko ya aina gani.
Wana matatizo makubwa sana,wakati mwingine unakuwa na wasiwasi wakiondoka wazungu kama SA inaweza inasimama yenyewe.
 
Wapo wanaotafsiri maendeleo ni uwepo wa 100% wa haya;
-Haki
-Uhuru
-Utu
Yakiitwa kwamba haya ni maendeleo ya watu na sio vitu

swali ni moja., mbona kuna Asians wanakuja maskini Tz wanakuwa millionaires na billionaires katika mazingira wazawa wanayolalamikia?

Nikizuiwa kuandamana ni kufungiwa kitambaa usoni nisione fursa na kuzitumia?

Nadhan usomi sio utaalam wa kupinga na ustadi wa kujua vifungu vya sheria, bali ni wepesi wa kuona fursa na kuzitumia ama kuelimisha wengine wazitumie
True
 
Black skin resembles black brain sio?
Sio sahihi lakini matukio mengi yanatupeleka huko.
Nigeria na wingi wa pesa ya mafuta lakini hali ya nchi hiyo haifanani kabisa na nchi kama Saudia,Kuwaiti au Malaysia.
Watu weusi wa zamani sana kama Wamisri wa falao, na Mansa Musa,Malika Sheba wa Ethopia,na Chief Mkwawa wa Kalenga Iringa Tanganyika ni tofauti na Waafrika wa sasa.
 
Sio sahihi lakini matukio mengi yanatupeleka huko.
Nigeria na wingi wa pesa ya mafuta lakini hali ya nchi hiyo haifanani kabisa na nchi kama Saudia,Kuwaiti au Malaysia.
Watu weusi wa zamani sana kama Wamisri wa falao, na Mansa Musa,Malika Sheba wa Ethopia,na Chief Mkwawa wa Kalenga Iringa Tanganyika ni tofauti na Waafrika wa sasa.
Kabisa
 
Hao ni akina Lissu na Zitto wanapiga porojo halafu utendaji zero
Hoja tuwafahamu wachache wanaoweza kutuongoza, vigezo vya kuwajua viwe utendaji sio uhodari kwenye porojo.

Angalia walio mdomoni mwa vijana ni wataalamu wa kujenga hoja na sio utofauti wa kimatendo. Mfano mtu anajua kuelezea vifungu vy sheria anaitwa kwamba ni mkomboz wa watu
 
Hakika Mkuu si tunawaona kila siku wanavyobwata
Naweza kusema ndugu yetu wa Chato ana maamuzi ya kutufanya tupige hatua, hofu yangu ni yule mwingine anayeaminiwa anajua vifungu vya sheria....na sio utendaji. Kwamba ni mjenzi wa hoja akipewa uwanja wa kuongea.

Africa haihitaji bingwa wa porojo za mdomoni bali mtendaji
 
Hakika Mkuu si tunawaona kila siku wanavyobwata
Wewe umefanya nini, mchango wako kwa jamii, wakina lissu na, zito wameokoa sekta nyingi kwa kubwata kwao huko huko sekta ya madini zitto huwezi masahau, sekta ya sheria ndiyo usiseme kwa lissu mchakato wa katiba na utambuzi wa haki,

Je wewe pimbi umefanya nini kwa taifa lako??? Tofauti yako na wao ni unaufyata mkia nyuma ya keyboard yani unabwata nyuma ya keyboard kama kama kamb..a koko
 
Mkuu si wanaonekana tu hata kwenye nafasi zao za ubunge, nani aliyesema tutashtakiwa na MIGA?

Mbona tulifanya maamuzi na hawakutufanya chochote ina maana Lissu angekuwa madarakani angewaacha kwa kuwa tutashtakiwa MIGA

Na hii inaonesha jinsi gani tunaowaogopa wazungu wakati tukiwakazia wanapwaya
je tuliwahi kumpa nafasi?kwann tunawabeza wapinzani kila mara hata nafasi hatuwapi??mbona chama tawala ni mafisadi na majizi lakini tunayahamisha wizara tu??
 
Wewe ni kiazi tena kiazi kilichoungua

Unasema Mimi nimefanya nini kwa kunilinganisha na akina Zitto hahahahah! Si ni wajibu wao kufanya hayo kama viongozi.

Mimi nimefanya mengi kwa level yangu na hata zaidi ya level yangu ikiwemo ustawi wa familia yangu na wanao nizunguka

Kiazi kabisa
Wewe umefanya nini, mchango wako kwa jamii, wakina lissu na, zito wameokoa sekta nyingi kwa kubwata kwao huko huko sekta ya madini zitto huwezi masahau, sekta ya sheria ndiyo usiseme kwa lissu mchakato wa katiba na utambuzi wa haki,

Je wewe pimbi umefanya nini kwa taifa lako??? Tofauti yako na wao ni unaufyata mkia nyuma ya keyboard yani unabwata nyuma ya keyboard kama kama kamb..a koko
 
Naweza kusema ndugu yetu wa Chato ana maamuzi ya kutufanya tupige hatua, hofu yangu ni yule mwingine anayeaminiwa anajua vifungu vya sheria....na sio utendaji. Kwamba ni mjenzi wa hoja akipewa uwanja wa kuongea.

Africa haihitaji bingwa wa porojo za mdomoni bali mtendaji

Tatizo lako ni Lissu, huku ukimsifia Magufuli ndio ukatoa maelezo marefu vile post namba moja! Mbona hapa ni mambo ya mahaba niue?
 
Utendaji wa wizara ya mambo ya nje hauonekani kama barabara ,kinachoonekana ni uhusiano mzuri na nchi zingine kama awamu iliyopita si kama sasa
Aliwahi kuwa waziri wa mambo ya nje na mwenzie alikuwa waziri wa ujenzi. Wakati mmoja alipendwa na kusifiwa kwa ujenzi wa barabara na madaraja huyu mwingine twambie alisifiwa na kupendwa kwa kipi
 
Tatizo lako ni Lissu, huku ukimsifia Magufuli ndio ukatoa maelezo marefu vile post namba moja! Mbona hapa ni mambo ya mahaba niue?
Hilo ni jiwe la kurusha gizani lazima kama kuna mtu atalia tu
 
Back
Top Bottom