paul sylvester
JF-Expert Member
- Mar 18, 2020
- 3,503
- 3,499
Ukweli mchunguUkiwatafuta vijana wetu wasomi wenye kujua kanuni za uwekezaji unawakuta kwenye mitandao ya kijamii wakibishana na kutukana
Hebu tuondolee uchuro wakoNdio maana nimeamua kutakasa familia yangu kwa kuowa Muhindi na kupiga ban watoto wangu kuwa na mahusiano ya kimapenzi na 100% black being!
Nyerere alitaifisha mali zao,ikiwemo viwanda,mashamba,mabenki,shule,hospitali,majumba,bima.Akawagawia watu weusi kuendesha shughuli hizo LAKINI hata kukarabati nyumba walishindwa.Baada ya Nyerere kungatuka,kama kawaida watanzania weusi wakarudi kuwalamba miguu wahindi tukawareshea mali hizo na bonus nasisi tukarudia kazi ya korokoroni.Watu Weusi ni jamii DUNI yenye Ujinga,Ushamba na Uvivu kuliko jamii zingine zote duniani.
Just imagine hata hapa Tanzania katika matajiri 10 kama yupo Mtu mweusi labda ni mmoja tu au hayupo kabisa.
Sehemu kubwa ya uchumi umeshikwa na Asians
Engineering companies ni za nje hasa kutoka China.
Viwanda vya vifaa vya ujenzi vingi ni vya Wahindi
Viwanda vya Nguo vingi vya Wahindi
Viwanda vya vyakula (food processing) vya Wahindi
Viwanda vya plastic ukiacha Cello, vingi vya Wahindi
Wakulima wakubwa wa kisasa ukiondoa viongozi wakubwa wa serikali basi ni Makalasinga, Wazungu na wahindi
Katika Miradi mikubwa ukiwakuta wabongo basi ni VIBARUA.
Hata Serikali yenyewe haiwaamini watu wake na ndio maana pamoja na kutoka Wahandisi wengi kwa miaka yote hapa nchini bado tu serikali inawatrust na kuwapa tenda watu wa nje, in all areas kwenye barabara, Madaraja na Majengo makubwa.
Nikikuambia katika wanafunzi products wa SUA unitajie mbegu yoyote maarufu waliyoitengeneza na inayotumika hapa Tanzania huwezi, nitajie Vifaa vya kilimo vinavyotengenezwa hapa nchini HAKUNA. Tunaorder Pembejeo, Mbegu na Mbolea kutoka Nje.
Nikiwaambia wabongo kuwa sisi ni Watumwa wa ngozi nyeupe mpaka leo wanabisha
Tazama, kama Wahindi wamewekeza hapa kwetu, halafu wamewaajiri wabongo kisha watu wanafanya kazi kwa shift usiku na mchana kisha kwa mwezi Mtu analipwa elfu 60 na matusi ya Wahindi juu, tena katika ardhi yao...what's that.
Ngozi nyeusi imefanya na Ubongo kuwa Mweusi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] True mkuuGood observation, angalia billionaires wengi Tz ama millionaires wana asili ipi,
Nina mifano ya Asians walioingia Tz wenye kipato cha kawaida, kwa wepesi wao kuona fursa sasa sio wa level ile ile tena
Ukienda hapo kariakoo mtu ana duka kubwa badala atafute suppliers mwenyewe anasubiri mhindi ama muarabu awe connector wake viwandani.
Ukiwatafuta vijana wetu wasomi wenye kujua kanuni za uwekezaji unawakuta kwenye mitandao ya kijamii wakibishana na kutukana
Afadhali awamu hii ajira wametangulizwa wazawa kwenye taasisi za kimataifa wengi wamefaidika, otherwise ku-compete na international applicants yamkini tusingaliweza
Hofu yako ni yule mwingine anaeminiwa anajua vifungu vya sheria this is very wrong and pathetic,Naweza kusema ndugu yetu wa Chato ana maamuzi ya kutufanya tupige hatua, hofu yangu ni yule mwingine anayeaminiwa anajua vifungu vya sheria....na sio utendaji. Kwamba ni mjenzi wa hoja akipewa uwanja wa kuongea.
Africa haihitaji bingwa wa porojo za mdomoni bali mtendaji
Wana matatizo makubwa sana,wakati mwingine unakuwa na wasiwasi wakiondoka wazungu kama SA inaweza inasimama yenyewe.Safi sana kiongozi. Wasouth hawabebeki hata kwa mbeleko ya aina gani.
TrueWapo wanaotafsiri maendeleo ni uwepo wa 100% wa haya;
-Haki
-Uhuru
-Utu
Yakiitwa kwamba haya ni maendeleo ya watu na sio vitu
swali ni moja., mbona kuna Asians wanakuja maskini Tz wanakuwa millionaires na billionaires katika mazingira wazawa wanayolalamikia?
Nikizuiwa kuandamana ni kufungiwa kitambaa usoni nisione fursa na kuzitumia?
Nadhan usomi sio utaalam wa kupinga na ustadi wa kujua vifungu vya sheria, bali ni wepesi wa kuona fursa na kuzitumia ama kuelimisha wengine wazitumie
Sio sahihi lakini matukio mengi yanatupeleka huko.Black skin resembles black brain sio?
KabisaSio sahihi lakini matukio mengi yanatupeleka huko.
Nigeria na wingi wa pesa ya mafuta lakini hali ya nchi hiyo haifanani kabisa na nchi kama Saudia,Kuwaiti au Malaysia.
Watu weusi wa zamani sana kama Wamisri wa falao, na Mansa Musa,Malika Sheba wa Ethopia,na Chief Mkwawa wa Kalenga Iringa Tanganyika ni tofauti na Waafrika wa sasa.
Hoja tuwafahamu wachache wanaoweza kutuongoza, vigezo vya kuwajua viwe utendaji sio uhodari kwenye porojo.
Angalia walio mdomoni mwa vijana ni wataalamu wa kujenga hoja na sio utofauti wa kimatendo. Mfano mtu anajua kuelezea vifungu vy sheria anaitwa kwamba ni mkomboz wa watu
Haiwezi....!Wana matatizo makubwa sana,wakati mwingine unakuwa na wasiwasi wakiondoka wazungu kama SA inaweza inasimama yenyewe.
Naweza kusema ndugu yetu wa Chato ana maamuzi ya kutufanya tupige hatua, hofu yangu ni yule mwingine anayeaminiwa anajua vifungu vya sheria....na sio utendaji. Kwamba ni mjenzi wa hoja akipewa uwanja wa kuongea.
Africa haihitaji bingwa wa porojo za mdomoni bali mtendaji
Wewe umefanya nini, mchango wako kwa jamii, wakina lissu na, zito wameokoa sekta nyingi kwa kubwata kwao huko huko sekta ya madini zitto huwezi masahau, sekta ya sheria ndiyo usiseme kwa lissu mchakato wa katiba na utambuzi wa haki,Hakika Mkuu si tunawaona kila siku wanavyobwata
je tuliwahi kumpa nafasi?kwann tunawabeza wapinzani kila mara hata nafasi hatuwapi??mbona chama tawala ni mafisadi na majizi lakini tunayahamisha wizara tu??
Wewe umefanya nini, mchango wako kwa jamii, wakina lissu na, zito wameokoa sekta nyingi kwa kubwata kwao huko huko sekta ya madini zitto huwezi masahau, sekta ya sheria ndiyo usiseme kwa lissu mchakato wa katiba na utambuzi wa haki,
Je wewe pimbi umefanya nini kwa taifa lako??? Tofauti yako na wao ni unaufyata mkia nyuma ya keyboard yani unabwata nyuma ya keyboard kama kama kamb..a koko
Naweza kusema ndugu yetu wa Chato ana maamuzi ya kutufanya tupige hatua, hofu yangu ni yule mwingine anayeaminiwa anajua vifungu vya sheria....na sio utendaji. Kwamba ni mjenzi wa hoja akipewa uwanja wa kuongea.
Africa haihitaji bingwa wa porojo za mdomoni bali mtendaji
Aliwahi kuwa waziri wa mambo ya nje na mwenzie alikuwa waziri wa ujenzi. Wakati mmoja alipendwa na kusifiwa kwa ujenzi wa barabara na madaraja huyu mwingine twambie alisifiwa na kupendwa kwa kipi