Francis fares Maro
JF-Expert Member
- Jun 20, 2021
- 1,227
- 1,339
HahahahaUnamaanisha nini ?
Upepo sioni impact yake wala sidhani kama tunahiitaji
Mpaka sasa Hydro Tanesco wanatoa total ya 562MW; Gesi na Diesel ni 796MW; Jumla ni kama 1,600 MW
Sasa mradi wa Nyerere ukiisha ni expected kutoa 2100MW; Sasa hapo utaona mwenyewe hata hao so called wawekezaji labda waje watusaidie kununua baadhi ya hizi MW na kuwauzia nchi jirani