Nafahamu linauziwa.
Kampuni ya kufua umeme ya IPTL ni mfano mzuri.
Songas pia ni mfano mwingine. Ila sio kila taasisi au shirika la uma ni la kubinafsisha.
Umetolea mifano ya mabank, ukatoa mfano wa kampuni ya bia.
Nikikuwekea vitu hivi Umeme,Sigara,Pombe, Na uchague bank ya kuhifadhi pesa zako bila shaka chenye thamani zaidi ni umeme hapo.
Umeme ni nguzo muhimu ya kiuchumi kwa taifa, inatakiwa iwe stable siku zote kuiruhusu ubinafsishaji ni kuruhusu mlipuko wa bei za ajabu ajabu za bidhaa, huduma na maisha kwa ujumla.
Narudia maboresho mazuri yanahitajika lakini sio ubinafsishakuna
Madeni yasiyo lipika kivipi! mbona Makamba juzi alisema wanakusanya tilioni mbili? zote zinaenda Wapi;hapa naona madarali wa Mafisadi wameisha anza kurusha ndoano.Mbona miaka 5 ya Magufuri utukusikia upuuzi huu?