Francis fares Maro
JF-Expert Member
- Jun 20, 2021
- 1,227
- 1,339
HahahahaUnamaanisha nini ?
Upepo sioni impact yake wala sidhani kama tunahiitaji
Mpaka sasa Hydro Tanesco wanatoa total ya 562MW; Gesi na Diesel ni 796MW; Jumla ni kama 1,600 MW
Sasa mradi wa Nyerere ukiisha ni expected kutoa 2100MW; Sasa hapo utaona mwenyewe hata hao so called wawekezaji labda waje watusaidie kununua baadhi ya hizi MW na kuwauzia nchi jirani
Unataka tukuletee mikataba humu ufe Kwa pressure!!!...Lini ulisikia Tanesco wametangaza kulipa Madeni yake!!!..Uliwahi kumsikia hata JPM akisema kulipa Madeni ya shirika hili!!..Unajua Tanesco bado ina nunua umeme mwingi kuliko linanavyo zalisha!!!Madeni yapi? wakati mikataba ya Agreco na Simbion na lPTl,na Makampuni yaliyokuwa yanainyonya tanesco mikataba yote iliisha awamu ya 5? tanesco wamepiga kazi mpaka sasahivi wamebakiza vijiji kama 2000 kumaliza Nchi mzima,leo hii mnaanza kusema ibinafishishwe! Makamba na kizazi cha chote kilaniwe kama mpango wao utafanikiwa.
Bei itashuka na huduma Itakua boraUjiandae kununua unit 1 kwa tzs 500+
Kwani hao akina IPTl na AgreCo,SongaS,si ni private sector!je unauakika hupi kuwa mikataba itakayoingiwa itakuwa na manufaa na afya kwa Taifa?hawa akina Makamba sindio walikuwa hawamu ya 4 ya Kikwete ilioongoza kualibu tanesco kwa mikataba mibovuKwa mtu yeyote mwenye akili anajua ile mikataba ilikuwa imejaa rushwa tupu na ulaji wa watu, TANESCO na maofisa wa serikali ndio waliotayarisha hiyo mikataba na kuisimamia lakini bado mnawaona ndio wanaweza kuliko private sector, na kwa taarifa yako ingekuwa ni private sector huo upuuzi usingefanyika
Nani alikwambia Tanesco hawa nunui umeme?KKw
Kwani kipindi tanesco,wananunua umeme kwa akina IPTl na SongaS,AgreCo,tulipata unafuu upi?kama si kupandisha garama za umeme kila siku?
Ndio maana ametuletea madege yana tupa pressure!!Nchi hii watu wanajitengenezea mazingira ya kufaidi keki ya taifa wao na watoto wao, mimi sidhani mtu kama Magufuri na ubausa wake ule leo angeelezwa eti 20per iuzwe for what?.
Ndiyo alikuwa mbabe lakini kwa mambo ya kipuuzi kama hizi mambo zinazoanza kunyunyiziwa asali ili nyuki waje sioni afya huko mbele.
Nakumbuka kina mzee Sumaye na ndg zake kipindi kile alianza kama Makamba hivi leo, alipopanga mkakati wa kuiuza crdb, huko uvunguni akaandaa mamilioni ya shilingi ili anunue HISA, leo wanaofahamu kuhusu crdb na Sumaye wanakaa kimya.
Nina uhakika mashirika yote ya umma yaliyosalio yatauzwa tu japo kwa taratibu wakiwa na hofu ila watavaa sura ya mbuzi.
Mtu imara ambaye angeweza kuifikisha hii nchi japo tukiwa tumechoka kiafya ni Legendary Pombe.
[emoji1485] Lakini kwenye kufikia maendeleo lazima watakao umia na kupata maumivu wawepo.
Mashirika yote makubwa Duniani yenye mlengo wa huduma na biashara yameweka partnership kuboresha huduma zao!!Hilo wazo la watu kubinafisha TANESCO ni upunguwani...
Unazijua Nchi Ngapi ambalo Kuna Mashirika mengi mengi ya Umeme?
Mimi mjinga lakini wewe mwerevu mbona ukinunua mafuta Una lipia umeme ambao hujatumiaWewe ni mjinga hujui Kitu, huwezi ukabinafsisha Shirika la Umeme
Kwani walikuwa hawalipwi? mbona hapo Kabla ya kuingia awamu ya 5 tulisikia tanesco ilikuwa ikilipa billion 700 kwaajili ya kununua umeme kwenye Makampuni hayo, ambayo mwisho wa siku mikataba ilivyoisha hawakupewa mikataba mipya, mbona Mpaka Magufuri anaondoka utukusikia upuuzi huu wa tanesco kudaiwa?au mlisubili afe ndio muanze kudai?Unataka tukuletee mikataba humu ufe Kwa pressure!!!...Lini ulisikia Tanesco wametangaza kulipa Madeni yake!!!..Uliwahi kumsikia hata JPM akisema kulipa Madeni ya shirika hili!!..Unajua Tanesco bado ina nunua umeme mwingi kuliko linanavyo zalisha!!!
Hadi sasa Tanesco ina daiwa!!..Mimi najua!!.. Serikali ina jua!!Kwani walikuwa hawalipwi,? mbona hapo Kabla ya kuingia awamu ya 5 tulisikia tanesco ilikuwa ikilipa billion 700 kwaajili ya kununua umeme kwenye Makampuni hayo,ambayo mwisho wa siku mikataba ilivyoisha hawakupewa mikataba mipya, mbona Mpaka Magufuri anaondoka utukusikia upuuzi huu wa tanesco kudaiwa?au mlisubili afe ndio muanze kudai?
Kuna madeni mengi na bado ina endelea kukopa!!..Unajua Nani ana fanya services za mitambo?!..Je Magari Yao?;!!... Services za line na stations?Kwani walikuwa hawalipwi,? mbona hapo Kabla ya kuingia awamu ya 5 tulisikia tanesco ilikuwa ikilipa billion 700 kwaajili ya kununua umeme kwenye Makampuni hayo,ambayo mwisho wa siku mikataba ilivyoisha hawakupewa mikataba mipya, mbona Mpaka Magufuri anaondoka utukusikia upuuzi huu wa tanesco kudaiwa?au mlisubili afe ndio muanze kudai?
Hivi kuwa na Mshindani Ndio kunaleta ufanisi?? Mmeanza siasa ili mpige Hela zetu..safari Hii mambo ya utapeli tapeli Ooh Downs..Eehh Richmond ooh Sijui mitambo gani imepandia wapi Inashukia Skanska HATUTAKUBALI...Mkileta sanaa ya kupiga ma deal Tanesco hapo mjue hatukubali Ng'oo..Chochote kilichobinafsishwa Kwa ufasaha kinafanya vizuri sana!!!...NBC,NMB,CRDB unajua kwanini umeme unaleta shida kila siku?.. Shirika hili la Tanesco halina mshindani ndio maana hata ufanisi ni sifuri...
Tanesco tupewe Sisi taasisi binafsi tuilekebishe!!Hivi kuwa na Mshindani Ndio kunaleta ufanisi?? Mmeanza siasa ili mpige Hela zetu..safari Hii mambo ya utapeli tapeli Ooh Downs..Eehh Richmond ooh Sijui mitambo gani imepandia wapi Inashukia Skanska HATUTAKUBALI...Mkileta sanaa ya kupiga ma deal Tanesco hapo mjue hatukubali Ng'oo..
TANESCO haifanyi kwasababu ya wizi tu wala hakuna kingine..Kila Mkubwa anataka agawe yeye Nguzo...asupply kila kitu mana pale pana hela......acheni kutuona sisi mazuzu.
Magufuli alikua ana Kula Mwenyewe!!.. Tunataka tule wote na ufanisi uwepo!!!..Sekta binafsi ipewe Tanesco!!Huu ni Upigaji Hamna Kingine...Na Hizi deal Magufuli alikataa ujinga ujinga huu wote na ikawezekana hata kama alikua na mapungufu yake...
Lakini wakina Seth walikua wanajichotea mabilioni Kijinga jinga tu..Nyie msituone sisi malofa...Acheni huo wizi wa wazi...
naamini uwezo upo ila kuna ubadhilifu sanaTunarudi enzi za Nyerere socialism ,serikali uwezo wa kuliendesha shirika hawana tusubiri tuone wapi panapovuja
Na kuhusu tozo ya majengo unalionaje jambo hili ,maoni yako tafadhali!?naamini uwezo upo ila kuna ubadhilifu sana
Sawa. Umeeleza vzr lkn hujasema tatizo ni nini?Ndugu mwandishi nataka nikurekebishe kabla huja endelea unataka ujue shirika lako lina nunua umeme mwingi kuliko linanavyo zalisha lenyewe!!!.. Ndugu Mwandishi wabia wengi waliowahi kuingia Tanesco (Net group) walishindwa kwasababu Serikali yako ilikua hailipi!!!.. Ndugu mwandishi kuna watu binafsi wanaidai Tanesco mabillion tokea miaka 20 iliyopita na hadi Leo hawajui zinapatikana wapi?!!.. Ndugu mwandishi unajua ukinunua Mafuta Una changia REA?!!..Sasa kama Unaweka Fedha huko na Bado bei ya umeme ni kubwa, unadhani bado twendelee na hii habari kweli!!!.. Ndugu mwandishi twelezee interest zako kwenye shirika hili!!
Kaka kwani ukisema Magufuli alidhibiti haya utapungukiwa nn? Kila kitu ulichoandika ni sawa kabisa. Shida yako ipo kwenye kukubali kwamba magufuli alifanya kazi ya ziada kwenye nchi hii. TANESCO ilikua imetulia kabisa kipindi cha JPM na shida ya mgao wa umeme tuliisahau. Why now?Wakati Magufuli anaonyesha kiburi cha madaraka kwa kuhujumu upinzani mlikuwa mnachekelea kuwa ccm imeimarika.
Leo wamebaki CCM wenyewe na hawataki kukosolewa, matokeo yake chain ya wapigaji inaanza kurudi ndio mnalialia...