Tunapouliza Halima Mdee kafanya nini Kawe kwa Miaka yake 10 tujiulize na Sisi kwa 'Kujipendekeza' Kwetu kwa Mamlaka kama 'Wadau' kumetusaidia nini?

Tunapouliza Halima Mdee kafanya nini Kawe kwa Miaka yake 10 tujiulize na Sisi kwa 'Kujipendekeza' Kwetu kwa Mamlaka kama 'Wadau' kumetusaidia nini?

Alichofanya Halima Mdee hakina tofaiti kimaendeleo ya vitu na alichofanya Mwigulu, Ndugai, Mwakyembe, Makamba, Nape, Majaliwa. Atleasr Halima alionesha kwa vitendo kuyataka maendeleo halisi na kupigania haki na utawala bora. Hata hivyo wana kawe wa Mwenge, Masaki, Mikocheni O-bay hawana shida ya barabara maji wala umeme. Shida yao ni haki, uhuru, demokrasia
Haswaaaaaah hapo sasa.
 
..wakati Makonda na Hapi wanampiga vita, kumhujumu, na kumtukana Halima Mdee, watu walitegemea nini?

..mimi kwa maoni yangu jimbo la Kawe limekwama kwa sababu Raisi aliteua mkuu wa mkoa, na wakuu wa wilaya, waliotumia muda mwingi kutaka kuionyesha jamii kwamba wabunge toka vyama vya upinzani hawafai.
 
Ni 'Akili' ya kawaida tu isiyotaka ujihangaishe sana tu Kujua kuwa Kukaa Kwako Kawe ambako pengine kutokana na 'Unafiki' wako kama 'Mdau' kama hakuna Maendeleo basi haimaanishi kuwa Kawe nzima hakukuwa na Maendeleo. Tena nadhani Mbunge Halima Mdee anastahili Kongole/ Pongezi nyingi tu kwani pamoja na 'Kuandamwa' mara kwa mara na Kesi zisizo na Kichwa, Miguu na Kiuno mara Kusumbuliwa na Spika Ndugai huku akikosa 'Ushirikiano' wa Serikalini lakini bado tu Dada wa Watu ameweza Kujitahidi Jimboni.

Wakati tukiwa ni 'Viherehere' tena tuliojaa 'Unafiki' mwingi leo hii tukiwa tunauliza Halima Mdee kafanya nini ndani ya miaka yake 10 kama Mbunge na Sisi pia tujiulize je, kwa miaka yetu zaidi ya 25 hadi 30 katika 'Tasnia' zetu fulani fulani za 'Kijamii' na Sisi tumefanya lipi la maana ambalo tunavyoelekea 'Uzeeni' sasa Watanzania 'watatuumbuka' na kuonekana uwepo Wetu umeleta Tija na Kuchangia katika Maendeleo ya Taifa letu hili.

Halafu siku zingine tuwe makini na 'Kuhoji' kwetu kwani ni aibu pia kwa Mwanaume mzima mwenye 'Akili' zako tena Baba wa Familia kabisa 'Kuhoji' Ufanisi wa Mwanamke ambaye kwa 'takribani' miaka yake yote Kumi (10) kama Mbunge wa Kawe aliweza Kuchaguliwa na 'Kura' zipatazo 107,989 (2015) wakati wengine kama akina Sisi GENTAMYCINE katika 'Kura' za Utiaji Nia tu pekee 'tumeambulia' Kura Moko (Moja) pamoja na 'Umaarufu' wetu wote Mitandaoni humu (siyo JamiiForums) na Mitaani pia.

Ushauri wa bure tu tukisaidie Chama chetu CCM 'Kushinda' ila 'tukome' kuhoji 'Mafanikio' ya Watu wakati wengine yetu tu Watanzania hawayajui.
Paskali njaa, huu uzi umenichekesha sana, umenikumbusha lipigo cha wajumbe alichopata Paskali
 
Wadau nafikiri tuwe wakweli, pamoja na kuwa kuna mtu alipata kura moko kwenye kura za maoni lakini yeye kama mkazi wa kawe anayo haki ya kuhoji mbunge wake ameleta maendeleo gani?

Haya mengine ya kujipendekeza au yeye ameisaidia vipi Tanzania ni hayahusiani kabisa na alichouliza. Hapa ilitakiwa mumjibu vizuri tu huyu Halima amefanya nini cha kimaendeleo? Tena kwa vielelezo.
Ameulizwa kwanza " Halima anakusanya Kodi?" mbona simple tu...Au hujasikia ya Musoma Jana kutoka kwa authority iliyotukuka.
 
Ni 'Akili' ya kawaida tu isiyotaka ujihangaishe sana tu Kujua kuwa Kukaa Kwako Kawe ambako pengine kutokana na 'Unafiki' wako kama 'Mdau' kama hakuna Maendeleo basi haimaanishi kuwa Kawe nzima hakukuwa na Maendeleo. Tena nadhani Mbunge Halima Mdee anastahili Kongole/ Pongezi nyingi tu kwani pamoja na 'Kuandamwa' mara kwa mara na Kesi zisizo na Kichwa, Miguu na Kiuno mara Kusumbuliwa na Spika Ndugai huku akikosa 'Ushirikiano' wa Serikalini lakini bado tu Dada wa Watu ameweza Kujitahidi Jimboni.

Wakati tukiwa ni 'Viherehere' tena tuliojaa 'Unafiki' mwingi leo hii tukiwa tunauliza Halima Mdee kafanya nini ndani ya miaka yake 10 kama Mbunge na Sisi pia tujiulize je, kwa miaka yetu zaidi ya 25 hadi 30 katika 'Tasnia' zetu fulani fulani za 'Kijamii' na Sisi tumefanya lipi la maana ambalo tunavyoelekea 'Uzeeni' sasa Watanzania 'watatuumbuka' na kuonekana uwepo Wetu umeleta Tija na Kuchangia katika Maendeleo ya Taifa letu hili.

Halafu siku zingine tuwe makini na 'Kuhoji' kwetu kwani ni aibu pia kwa Mwanaume mzima mwenye 'Akili' zako tena Baba wa Familia kabisa 'Kuhoji' Ufanisi wa Mwanamke ambaye kwa 'takribani' miaka yake yote Kumi (10) kama Mbunge wa Kawe aliweza Kuchaguliwa na 'Kura' zipatazo 107,989 (2015) wakati wengine kama akina Sisi GENTAMYCINE katika 'Kura' za Utiaji Nia tu pekee 'tumeambulia' Kura Moko (Moja) pamoja na 'Umaarufu' wetu wote Mitandaoni humu (siyo JamiiForums) na Mitaani pia.

Ushauri wa bure tu tukisaidie Chama chetu CCM 'Kushinda' ila 'tukome' kuhoji 'Mafanikio' ya Watu wakati wengine yetu tu Watanzania hawayajui.
Nasubiri kusikia umepigwa ngumi. Ukweli mtupu
 
Angezifuatilia Makonda maana ni mkoa wake. Halima alikuwa anashinda mahakamani kwani yeye ni mzee wa mahakama? Jiwe alidhani akiagiza Halima abambikiwe kesi ndio watu wa kawe watashindwa kupambanua hujuma na utendaji? Ama huko Kawe kiongozi ni Halima Mdee tu, hakuna madiwani, mkuu wa wilaya, mkurugenzi nk? Siasa za kizee hazikutoi dogo.
Ahaaaa. Kwa hiyo ulitaka diwani afanye kazi ya mbunge? Dc na mkuu wa mkoa pia? Mbunge anashinda mahakamani kesi za kipuuzi zinamuandama!
 
Ahaaaa. Kwa hiyo ulitaka diwani afanye kazi ya mbunge? Dc na mkuu wa mkoa pia? Mbunge anashinda mahakamani kesi za kipuuzi zinamuandama!

Mwaka una siku 365, je alikuwa mahakamani zaidi ya siku 60 kwa hizo siku 365? Au ukisikia anashinda mahakamani na ww unarudiarudia hilo neno kama bendera fuata upepo?
 
Mwaka una siku 365, je alikuwa mahakamani zaidi ya siku 60 kwa hizo siku 365? Au ukisikia anashinda mahakamani na ww unarudiarudia hilo neno kama bendera fuata upepo?
Ok fine, hizo siku alipokuwa free alishindwa nini kuwatumikia wana kawe?
 
Pascal Mayalla unaulizwa huku mafanikio yako ni yapi ?

Ni 'Akili' ya kawaida tu isiyotaka ujihangaishe sana tu Kujua kuwa Kukaa Kwako Kawe ambako pengine kutokana na 'Unafiki' wako kama 'Mdau' kama hakuna Maendeleo basi haimaanishi kuwa Kawe nzima hakukuwa na Maendeleo. Tena nadhani Mbunge Halima Mdee anastahili Kongole/ Pongezi nyingi tu kwani pamoja na 'Kuandamwa' mara kwa mara na Kesi zisizo na Kichwa, Miguu na Kiuno mara Kusumbuliwa na Spika Ndugai huku akikosa 'Ushirikiano' wa Serikalini lakini bado tu Dada wa Watu ameweza Kujitahidi Jimboni.

Wakati tukiwa ni 'Viherehere' tena tuliojaa 'Unafiki' mwingi leo hii tukiwa tunauliza Halima Mdee kafanya nini ndani ya miaka yake 10 kama Mbunge na Sisi pia tujiulize je, kwa miaka yetu zaidi ya 25 hadi 30 katika 'Tasnia' zetu fulani fulani za 'Kijamii' na Sisi tumefanya lipi la maana ambalo tunavyoelekea 'Uzeeni' sasa Watanzania 'watatuumbuka' na kuonekana uwepo Wetu umeleta Tija na Kuchangia katika Maendeleo ya Taifa letu hili.

Halafu siku zingine tuwe makini na 'Kuhoji' kwetu kwani ni aibu pia kwa Mwanaume mzima mwenye 'Akili' zako tena Baba wa Familia kabisa 'Kuhoji' Ufanisi wa Mwanamke ambaye kwa 'takribani' miaka yake yote Kumi (10) kama Mbunge wa Kawe aliweza Kuchaguliwa na 'Kura' zipatazo 107,989 (2015) wakati wengine kama akina Sisi GENTAMYCINE katika 'Kura' za Utiaji Nia tu pekee 'tumeambulia' Kura Moko (Moja) pamoja na 'Umaarufu' wetu wote Mitandaoni humu (siyo JamiiForums) na Mitaani pia.

Ushauri wa bure tu tukisaidie Chama chetu CCM 'Kushinda' ila 'tukome' kuhoji 'Mafanikio' ya Watu wakati wengine yetu tu Watanzania hawayajui.
 
Ok fine, hizo siku alipokuwa free alishindwa nini kuwatumikia wana kawe?

Hivi unajua unachokiongea au unajipitisha pitisha kwenye post za wanaume hapa jukwaani? Umesema hajawatumikia wananchi maana alikuwa anashinda mahakamani, nikakuonyesha kuwa ww ni kichwa nazi kwa kukutajia siku za mwaka kisha utoe mwenyewe. Saa hii unasema kwanini hajawatumikia siku alizokuwa free? Kama ulishikiwa akili kwa kuambiwa alikuwa anashinda mahakamani, utashindwa kushikiwa kwa kuambiwa kuwa hajawatumikia wana kawe?
 
Hivi unajua unachokiongea au unajipitisha pitisha kwenye post za wanaume hapa jukwaani? Umesema hajawatumikia wananchi maana alikuwa anashinda mahakamani, nikakuonyesha kuwa ww ni kichwa nazi kwa kukutajia siku za kisha utoe mwenyewe. Saa hii unasema kwanini hajawatumikia siku alizokuwa free? Kama ulishikiwa akili kwa kuambiwa alikuwa anashinda mahakamani, utashindwa kushikiwa kwa kuambiwa kuwa hajawatumikia wana kawe?
Wewe tindo nae ni mwanaume? Acha kunitisha, tena usinitishe. Kama aliwatumikia wana kawe ungejibu swali alilouliza Mayalla. Kama aliwatumikia wana Kawe mbona Gwajima alichimba visima.
Wewe ndio bichwa maji, kama alitumikia wananchi ulipaswa useme,tena with vivid evidence. Sio kuleta hasira baada ya kuona hali ni mbaya.
 
Wewe tindo nae ni mwanaume? Acha kunitisha, tena usinitishe. Kama aliwatumikia wana kawe ungejibu swali alilouliza Mayalla. Kama aliwatumikia wana Kawe mbona Gwajima alichimba visima.
Wewe ndio bichwa maji, kama alitumikia wananchi ulipaswa useme,tena with vivid evidence. Sio kuleta hasira baada ya kuona hali ni mbaya.

Kaa kwa kutulia dogo, huna ujualo zaidi ya kupiga siasa mfu hapa jukwaani.
 
Kaa kwa kutulia dogo, huna ujualo zaidi ya kupiga siasa mfu hapa jukwaani.
Wewe mwenye siasa hai ziko wapi? Umesikia Halima anatema jimbo unajihalishia kama una kipindupindu. Unadhania Ccm ni taasisi ya wauza mbege? Wewe una siasa gani hai?
Nakuambia mambo yote ambayo tulikuwa tunabishana hapa jukwaani utakuja kuona majibu yake.
Mosi Jimbo la Kawe lazima lirudi CCM
Pili, Chadema itafutika kwenye siasa za Tanzania baada ya Oktoba 2020.
 
Back
Top Bottom